Nguvu kubwa inatumika dhidi ya Hayati Magufuli au inatumika kumtetea Hayati Magufuli?

Muombeeee ila usimnenee haki kamwee! Matendo yake duniani wacha yamfuate popote alipo ila wewe Muombee tu.
 
Ukitumia nguvu dhidi ys hayati una tatizo.
 
Magufuli amepumzika zake mbinguni, hana shida na mtu.

Walamba asali wanahangaika kuchafua legacy yake bila mafanikio.

Wanatumia nguvu kubwa sana!
Huyo pimbi hawezi akaingia mbinguni. Magufuli yuko jehanam pamoja na akina Mobutu, Iddi Amin na Bokassa
 
Hao unaowataja walidhulumiwa, ni Wahujumu Uchumi mkubwa ambao waliamua kukimbia sheria na kanuni zake Kwa faida zao binafsi.

Naam, Hayati JPM naye akaamua kudeal nao Kichwa Kwa Kichwa.


Mbona Azam wapo, Mo wapo, ???

Magufuli alichukia janjajanja .
Wapinzani wote walikuwa wezi enzi za Jpm,mbona sasa hivi bunge ni ccm watupu na wizi umetamalaki?
 
Wewe utakuwa mwanafunzi mwenye ujauzito.
 
Naona umehamua kumsifia ila sifa zooote hizi zinaweza kumezwa na baya moja tu
 
Magufuli amepumzika zake mbinguni, hana shida na mtu.

Walamba asali wanahangaika kuchafua legacy yake bila mafanikio.

Wanatumia nguvu kubwa sana!
Wewe unayemtetea kila siku hutumii nguvu kubw, embu acheni kutukumbusha shetani huyo
 
Tafuta mtu mwema mmoja kama Mwl. Nyerere;
Utakuta bado kuna watu wanamzodoa.
Tafuta biashara yoyote yenye assets nyingi kuliko madeni (liabilities)
Wenye akili watawekeza kwenye assets, wasiojua wataona madeni.

Tafuta mwanadamu yoyote anaeishi chini ya uso wa jua na usione mapungufu, bila shaka hutampata.
Naona umehamua kumsifia ila sifa zooote hizi zinaweza kumezwa na baya moja tu
 
Greatest people illicity great reaction. he has opened our eyes to see how hollow our opposition parties and organisation are weak. They operate without workable alternative policies in organisation and operation.
These opposition parties will survives only when a ruling party decides so.

For great thinkers: Magufuli Administration unveiled for everyone to see how fragile the opposition parties and associates are.
 
Hiki kiingereza sisi wa kidimbwini unatuchanganya nacho. Magufuli alihimiza matumizi ya Lugha ya Kiswahili, wewe unatumia Lugha ya Mabeberu!!
 
True opposition could have been in motion if Fred Mpendazoe could have obtained support from the guys who were behind CCJ, big Sam being amongst.
Otherwise, we have a long way to go to have a true opposition as game changers.
The guys who holds opposition office via different parties in Tz, are just a bunch of opportunists aiming to make money in the name of "political-preneurship"
 
The guys who holds opposition office via different parties in Tz, are just a bunch of opportunists aiming to make money in the name of "political-preneurship"
Nchi inakwamishwa na CCM nyie mpo bize kuwashutumu viongozi wa upinzani. Kama mnadhani ni kazi rahisi kuwa kiongozi wa upinzani Tanzania, Jaribuni kuwa wapinzani hata kwa mwaka mmoja tu muone!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…