Nguvu kubwa inayotumiwa na Polisi kuwadhibiti BAWACHA bila mafanikio ni kuipaisha taasisi hiyo

Faida za ni kwamba hatuwezi kuwapa nchi wabaguzi kama nyie.Na mwaka huu mtaishia jela
Mwanaume haogopi jela hata siku moja kwani huko hakuna tofauti na guest house ambayo ipo siku utaingia humo!
Endelea kujidanganya kuwa hutokwenda jela huku ukivinyandalua viwanafunzi vya std iv!
 
Ulimi huumba, usisahau hilo! Hivi yule demu wako mwanafunzi wa std iv unajua wazazi wake wanakuzoom TU ujae vizuri ili wakusukume jela maisha! Na hilo litakupa sifa Sana kushindwa hizo unazomwombea Mbowe! Jidanganye ili unase vizuri!
Kuonesha kama nayaweza tunaanza kumpiga jail maisha kiongozi wenu.
 
Kuishika nchi kwenye kiganja hivi ni vituko ninacho jua walipigwa marufuku na usanii wao jogging na wanalialia kama vijitoto vya chekechea Ila vituko vya bawacha na bavicha ni comedy tosha
 
Ulimi huumba, usisahau hilo! Hivi yule demu wako mwanafunzi wa std iv unajua wazazi wake wanakuzoom TU ujae vizuri ili wakusukume jela maisha! Na hilo litakupa sifa Sana kushindwa hizo unazomwombea Mbowe! Jidanganye ili unase vizuri!
Sasa hapa umeandika nini?Kwel Chadema mmevurugwa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu wew umewahi kuingilia na mambo ya siasa kwenye shughuli zako?
 
Wewe mbona kila usiku unasomwa 0713 bila huruma na hujawahi omba iwe mara moja hata kwa mwaka?
 
na nyie BAWACHA ni wa.p.u.m.b.a.f joging gani na mafulana ya kiharakati ya kampeni za kudai katiba mpya? mbona hamkuandamana kwa kuomba kibali mjulikane? acheni umburula
 
na nyie BAWACHA ni wa.p.u.m.b.a.f joging gani na mafulana ya kiharakati ya kampeni za kudai katiba mpya? mbona hamkuandamana kwa kuomba kibali mjulikane? acheni umburula
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…