Uchaguzi 2020 Nguvu mpya, kasi mpya, ari mpya ya Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Nguvu mpya, kasi mpya, ari mpya ya Tundu Lissu

Binafsi namkubali magufuri kwa kuboresha miundombinu, barabara ya kwenda kwetu kakonko-kasulu km 180 ipo kwenye ujenzi. Hivyo nimetangaza mara kadhaa kura yangu ni magufuri na familia yangu na wale wanaonitegemea nawashawishi wampigie kura JPM...
Amua moja au wewe ni moja wao, Rc/Dc
 
Keep on tlaing I am tlaing to pleach but I kant lich you 😳😳😳





Huwezi amini nimejua kwamba Tanzania Kuna ugeni wa rais wa Malawi baada ya kusikia KINGEREZA CHA BABA JESKA kikijadiliwa otherwise Lissu ndio alitrend zaidi. I CAN'T REACH YOU.....!
 
Keep on tlaing I am tlaing to pleach but I kant lich you [emoji15][emoji15][emoji15]

[emoji2960][emoji2960][emoji2960] BAK Zionee huruma mbavu zangu hakujapazuka na huku nilipo hakuna silingi bodi na muda huu huu nimemsikia demu wa jirani yangu akimwambia jamaa 'KWANI UMEMALIZA'? nikicheka kwa sauti watadhani nawacheka wao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
[emoji2960][emoji2960][emoji2960] BAK Zionee huruma mbavu zangu hakujapazuka na huku nilipo hakuna silingi bodi na muda huu huu nimemsikia demu wa jirani yangu akimwambia jamaa 'KWANI UMEMALIZA'? nikicheka kwa sauti watadhani nawacheka wao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Makubwa!!! Yamekuwa hayo!!!
 
Ongeza na hii mkuu kwenye hiyo para "so that to push the developments of our peoples!" Haaa, hiki Kibeberu au maneno ya Kibeberu? Eti naye Dr. anajitia aibu bure bora angekomaa na Kiswahili tu ili vyombo vimsaidie! Sijui Kibeberu 100% lakini cha huyu kimezidi!
I can't reac you😂😂😂😂 mzee anaongea Swahili English, akajua anatuumbua kuwa ajui kingereza kumbe ndio ana haribu zaidi
 
Yani ata ukiweka kimba la asubuhi na CCM mama yangu watu watapigia kimba kura CCM ni zaidi ya uchafu ulio oza na kuoza vibaya sana mzoga una afadhali
 
Binafsi namkubali magufuri kwa kuboresha miundombinu, barabara ya kwenda kwetu kakonko-kasulu km 180 ipo kwenye ujenzi. Hivyo nimetangaza mara kadhaa kura yangu ni magufuri na familia yangu na wale wanaonitegemea nawashawishi wampigie kura JPM...
Mi simpendi Magufuli kwa kutufanya Watanzania kama mifugo yake
 
Back
Top Bottom