Uchaguzi 2020 Nguvu mpya, kasi mpya, ari mpya ya Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Nguvu mpya, kasi mpya, ari mpya ya Tundu Lissu

Wakija wale wenye hoja nyepesi watakuambia ni msaliti mara sio mzalendo utafikiri hiyo mikataba ya madini alisaini yeye kwa hati ya dharura huko bungeni.

pia wanasahau wakati Lissu akipambania wananchi wa Nyamongo enzi za Mkapa wapate haki zao kwenye madini Jiwe alikuwa kwenye baraza la Mawaziri akila anasa tuu lakini sasa hivi kageuka kuwa mzalendo kwavile hajui kiingereza lakini ana Phd.
Wanasahau kuwa kuna mzigo wetu wa 1.5T Asad katusanua kwamba haujulikani ulipo,matokeo yake, wakampiga Asad,na 1.5T wakaipiga.
 
Ili kuiondoa Serikali iliyokataliwa na watu madarakani Lazima watu wa mijini wajipange vizuri , Serikali dhalimu yoyote Duniani haijawahi kuangushwa na watu wa mashambani.
 
Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu.Mmeteswa sana miaka 5 bila ongezeko la mshahara,kupanda madaraja,increments,malimbikizo n.k.

Mpigie lissu kura ubarikiwe pia.
 
kwan ajab mzee si inafahamika ma keyboard warriors walivojaa humu ambao wana account of 1.2% of 65 million peoples in Tanzania.
 
Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu.Mmeteswa sana miaka 5 bila ongezeko la mshahara,kupanda madaraja,increments,malimbikizo n.k.

Mpigie lissu kura ubarikiwe pia.
 
Binafsi namkubali magufuri kwa kuboresha miundombinu, barabara ya kwenda kwetu kakonko-kasulu km 180 ipo kwenye ujenzi. Hivyo nimetangaza mara kadhaa kura yangu ni magufuri na familia yangu na wale wanaonitegemea nawashawishi wampigie kura JPM.

Lakini nikitafakari

1. Umuhimu wa katiba mpya
2. Lisu anavyo nyanyaswa kila kona. Kuna mahali ma dc wamejaribu kumpiga mawe, serngeti akazuiwa kupita maeneo muhimu, ukerewe kivuko kikaondoshwa wkt zilibaki dk 15 tu na nafasi zilikuwepo.
3. Kuzuiwa kufanya kampeni na tume
4. Wagombea wa upinzani kuengeliwa huku wa ccm wote wamepitishwa.
5. Kesi za kijinga alizo funguliwa
6. Maofisa wa polisi kuonesha u CCM wao (Shana-r.i.h, Kigondo, ocd hai, na wote walioleta figisu za kijinga

Frankly, natamani nimchague Lissu asaidie kuweka misingi ya democracy nchini. Hawa ma RC, DC, ded wanakaa na kupanga kuipitisha ccm, nachukizwa sana. Mambo haya hayana budi kukomeshwa.

Lkn JPM namkubali. Nina utata hakika

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ila mkuu kwa serikali iliyo madarakani, na chama kilichokaa madarakani kwa miaka 59, wanaokusanya kodi kukujengea barabara na miundombinu mingine huoni kwamba ni haki yako?

Kama awamu zilizopita hazikufanya hivi basi ni madhaifu makubwa na chama kolichopo madarakani, ila ni hela zetu siyo msaada.

Kikubwa ni haki, haki huinua taifa vizuri tafakuri zako kuhusu haki, hapo nakuunga mkono 100%
 
Pata Ofa ya kitabu cha UJASUSI  kwa 25,000__ badala ya bei halisi ya 80,000__    ( 800 X 640 ).jpg
 
Adhabu ya kifungo cha kutofanya kampeni imemalizika jana saa tano na dakika 59 usiku, kwa hiyo kuanzia asubuhi hii ya leo ya tarehe 9 yuko huru kuendelea na kampeni zake.

That punishment wasn't a fair play in political grounds lakini waswahili wanasema kumpiga chura teke ni kumwongezea hatua kwakuwa tembea ya chura ni ya kurukaruka.

Lissu aliamua kukubaliana na uamuzi wa tume pamoja na kuwa adhabu husika haikuwa sahihi...lakini akatumia muda huo kujiachia na kufanya mengi ambayo kama si adhabu husika asingeyafanya kamwe.

Mengi aliyoyafanya yalikuwa burudani tosha kwake na kwa jamii lakini pia yakamuongezea umaarufu na ufahamu mpya wa maisha ya mtanzania wa kawaida huko mitaani na huko uswazi.

Matukio yake yote yametengeneza headlines na kufunika matukio mengine yote ya kiserikali kwa wiki hii yote ya adhabu. Tukio la ufunguzi wa stand mpya Mbezi lilidoda na kudorora kuliko tukio la Lissu kuzuiwa kuingia mkoa wa Pwani pale eneo la Gogoni.

Kuna ufunuo wa ajabu kwa CHADEMA na LISSU. Japo mamlaka na wapinzani wa Lissu na Chadema hawawezi kulikubali hili,lakini huo ndio ukweli mchungu. Lissu is unbeatable. CHADEMA is unconquered.

Mitandaoni, vijiweni, makazini, sehemu za starehe, majumbani na kila mahali ni mijadala ya Lissu na Chadema. Mfano hai ni hapa JF. Asilimia 90 ya habari za siasa ni Lissu na Chadema, bila hivi vitu viwili ni kama hakuna mijadala ama mijadala inakuwa imepoa na kupooza kabisa.

Kuna maono makubwa sana kwa CHADEMA NA LISSU, umaarufu wao umefika kileleni na kuvunja rekodi kupindukia. Ni ukweli mchungu kwenye masikio ya wapinzani wao.

Ujasiri wa ajabu wa Lissu umeipeleka Chadema next level, umewapa Wananchi mwamko mpya lakini wakati huohuo umepeleka ganzi kubwa CCM yote juu mpaka chini.

Ukufunzi wake mahiri wa sheria za uchaguzi kwenye majukwaa ya kampeni ni kigezo kingine kinachoongeza mvuto na ufuasi mkubwa kila alikopita.

Kibonzo cha DW kinamuonesha Lissu kama nyani mzee aliyekwepa mitego mishale na vizingiti vingi, lakini kiroho kinatoa tafsiri pana zaidi ya MBEBA MAONO. Kumbuka sterling hafi, mbeba maono hafi.


View attachment 1594518
Ile adhabu kama Mungu vile kwansa siamini ilijuwaje Lissu akaikubali. Lakini alipoikubali inelata manufaa mengi zaidi. Amepumzisha mwili pamoja na ku refresh mind na kutembea hapa na pale.

Imemuongezea credit kama Rais wa watu.
 
Binafsi namkubali magufuri kwa kuboresha miundombinu, barabara ya kwenda kwetu kakonko-kasulu km 180 ipo kwenye ujenzi. Hivyo nimetangaza mara kadhaa kura yangu ni magufuri na familia yangu na wale wanaonitegemea nawashawishi wampigie kura JPM.

Lakini nikitafakari

1. Umuhimu wa katiba mpya
2. Lisu anavyo nyanyaswa kila kona. Kuna mahali ma dc wamejaribu kumpiga mawe, serngeti akazuiwa kupita maeneo muhimu, ukerewe kivuko kikaondoshwa wkt zilibaki dk 15 tu na nafasi zilikuwepo.
3. Kuzuiwa kufanya kampeni na tume
4. Wagombea wa upinzani kuengeliwa huku wa ccm wote wamepitishwa.
5. Kesi za kijinga alizo funguliwa
6. Maofisa wa polisi kuonesha u CCM wao (Shana-r.i.h, Kigondo, ocd hai, na wote walioleta figisu za kijinga

Frankly, natamani nimchague Lissu asaidie kuweka misingi ya democracy nchini. Hawa ma RC, DC, ded wanakaa na kupanga kuipitisha ccm, nachukizwa sana. Mambo haya hayana budi kukomeshwa.

Lkn JPM namkubali. Nina utata hakika

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
We mrundi tu mhamiaji. Tena we mbembe ndio maana unajibanza kwa ccm kuepuka maovu yako.

Magufuli hafai hata umpambe vipi.
 
Ila mkuu kwa serikali iliyo madarakani, na chama kilichokaa madarakani kwa miaka 59, wanaokusanya kodi kukujengea barabara na miundombinu mingine huoni kwamba ni haki yako?

Kama awamu zilizopita hazikufanya hivi basi ni madhaifu makubwa na chama kolichopo madarakani, ila ni hela zetu siyo msaada.

Kikubwa ni haki, haki huinua taifa vizuri tafakuri zako kuhusu haki, hapo nakuunga mkono 100%
Right
 
Ongeza na hii mkuu kwenye hiyo para "so that to push the developments of our peoples!" Haaa, hiki Kibeberu au maneno ya Kibeberu? Eti naye Dr. anajitia aibu bure bora angekomaa na Kiswahili tu ili vyombo vimsaidie! Sijui Kibeberu 100% lakini cha huyu kimezidi!
He wanted to push forward developmemt.....imakuwa gari eeh!😅😅
 
Sijapata kuona kiongozi mkuu wa nchi anaongea Kiingereza cha ajabu kama hiki.

Daaa aibu kwa taifa, huu mfumo wa elimu yetu unatengeneza viongozi wa namna hii?

Kuna tatizo sehemu si bura, bora wangemuandikia akasoma maandishi kuliko alichokisema pale.

Great shame for us.
Usimdhalilishe PhD holder wetu, hata wa China hawawezi kuongea kibeberu
 
Adhabu ya kifungo cha kutofanya kampeni imemalizika jana saa tano na dakika 59 usiku, kwa hiyo kuanzia asubuhi hii ya leo ya tarehe 9 yuko huru kuendelea na kampeni zake.

That punishment wasn't a fair play in political grounds lakini waswahili wanasema kumpiga chura teke ni kumwongezea hatua kwakuwa tembea ya chura ni ya kurukaruka.

Lissu aliamua kukubaliana na uamuzi wa tume pamoja na kuwa adhabu husika haikuwa sahihi...lakini akatumia muda huo kujiachia na kufanya mengi ambayo kama si adhabu husika asingeyafanya kamwe.

Mengi aliyoyafanya yalikuwa burudani tosha kwake na kwa jamii lakini pia yakamuongezea umaarufu na ufahamu mpya wa maisha ya mtanzania wa kawaida huko mitaani na huko uswazi.

Matukio yake yote yametengeneza headlines na kufunika matukio mengine yote ya kiserikali kwa wiki hii yote ya adhabu. Tukio la ufunguzi wa stand mpya Mbezi lilidoda na kudorora kuliko tukio la Lissu kuzuiwa kuingia mkoa wa Pwani pale eneo la Gogoni.

Kuna ufunuo wa ajabu kwa CHADEMA na LISSU. Japo mamlaka na wapinzani wa Lissu na Chadema hawawezi kulikubali hili,lakini huo ndio ukweli mchungu. Lissu is unbeatable. CHADEMA is unconquered.

Mitandaoni, vijiweni, makazini, sehemu za starehe, majumbani na kila mahali ni mijadala ya Lissu na Chadema. Mfano hai ni hapa JF. Asilimia 90 ya habari za siasa ni Lissu na Chadema, bila hivi vitu viwili ni kama hakuna mijadala ama mijadala inakuwa imepoa na kupooza kabisa.

Kuna maono makubwa sana kwa CHADEMA NA LISSU, umaarufu wao umefika kileleni na kuvunja rekodi kupindukia. Ni ukweli mchungu kwenye masikio ya wapinzani wao.

Ujasiri wa ajabu wa Lissu umeipeleka Chadema next level, umewapa Wananchi mwamko mpya lakini wakati huohuo umepeleka ganzi kubwa CCM yote juu mpaka chini.

Ukufunzi wake mahiri wa sheria za uchaguzi kwenye majukwaa ya kampeni ni kigezo kingine kinachoongeza mvuto na ufuasi mkubwa kila alikopita.

Kibonzo cha DW kinamuonesha Lissu kama nyani mzee aliyekwepa mitego mishale na vizingiti vingi, lakini kiroho kinatoa tafsiri pana zaidi ya MBEBA MAONO. Kumbuka sterling hafi, mbeba maono hafi.


View attachment 1594518

Ukienda YouTube, video zake zinatazamwa na viewers mamilioni na mamilioni duniani kuliko video zingine zozote....!

kama wewe ni mmiliki wa channel YouTube na channel yako haina subscribers na viewers wa kutosha, ukitaka upate viewers na subscribers wengi, tafuta video za Tundu Lissu na CHADEMA post kisha pandisha hadhi ya channel yako....!

Kinyume chake, kama unataka kupata nuksi na laana, upload video zinazomhusu John Pombe Magufuli na CCM, utaidodesha channel yako balaa na kuvuna aibu tu....!
 
Mr Mshana, As your nephew kindly accept this comment, never take it as inappropriate or particularly offensive.

Katika siasa za ushindani ukiona vitu vitatu vifuatavyo vinatokea na unaeshindana nae ndio mnufaika mkubwa, jiulize sana.

1) Unapoona wafanya biashara na Elites hawakuungi mkono, na ulio nao wanakukimbia jiulize sana. Kwakuwa kundi hili lina kila uwezo na ujuzi wa kukusaidia kwa vyovyote vile utavyo hitaji wewe.

2) Ukiona kundi ambalo unataka likuunge mkono na kundi hilo halina cha kupoteza lisipo muunga mkono mpinzani wako ( wananchi wa chini )jiulize zaidi kwa maamuzi yao na ujitafute kwako kuna upungufu gani ? kundi hili ndilo linalo tembea na mabadiliko bila kujiuliza litapata faida gani, kwa kawaida huwa halina cha kupoteza.

3) Mawasiliano ni ujuzi wa wewe msemaji na msikilizaji mnavyo weza kukonnect. Mama anapo zungumza kwa lugha ya kitoto kwa mtoto wake mdogo, wazazi wa kiume huona mama anapiga kelele na mwanae. Lakini wewe baba unaesema vizuri ukiongea na mtoto wako mdogo anaweza akapata taabu sana kuelewe au asikuelewe kabisa.

Magufuli ni mfano wa 99.7% ya Watanzania, hawawezi kuongea kiingereza fasaha, kwa broken yake hiyo wengi haiwasumbui kwa kuwa hawana uwezo wa kufananisha english proficiency kwa sahihi kabisa.

NB: Kwa tunaofahamu kiingereza hata Lissu proficiency yake iko chini kabisa. Na hili muulize yeyote anaefahamu kingereza atakwambia. (hana uwezo wa kutumia maneno sahihi kwa wakati sahihi, kwa tukio sahihi, use of noun vocaburary, verb, a message whose ingenuity or verbal skill or incongruity has the power to invoke laughter).

Kwa mfano: watoka Dar es salaam au nje ya nchi tukienda Upareni vijijini tunapo ongea kiswahili chetu bila lafudhi sahihi ya kipare haiwi rahisi kuconnect na pals kirahisi, mpaka waaminishwe na mzee huyu ni kijana wangu.
Kwa hiyo bwana mkubwa anapongea kama mshamba ni rahisi kwake kuunganika na washamba wenzake akiwa anaongea nao, kwa bahati mbaya washamba Tanzania ndio wengi hasa vijijini Tanzania.

Ushamba wake Magufuli wa kuongea na matendo unampa credit sana kwa washamba ambao ni wengi. Mshamba yeyote yule awe Mchaga, Msukuma, Mbondei, Muhaya, Mgogo au kabila lolote lile, wanao ongea nae hujiunganisha moja kwa moja na watu wa kabila la muongeaji anako toka. Tabia za ujumla na kuaminika kwa kundi hilo la "washamba" ndio humpa ama faida au hasara muongeaji.
 
Back
Top Bottom