Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nasimamia maslahi ya wateja wangu...kuna wakati popo kuna wakati kinyonga...kikubwa shekeli...
Wewe ni Chadema nani asiyekujua. Halafu hii tabia ya kuwa na sura ya kondoo kumbe ndani ni mbwamwitu mkali unayo sana we Mshana Jr . Hiyo tabia haipendezi hata kidogo. Kama we we ni Chadema weka wazi tu unaogopa nnMimi nasimamia maslahi ya wateja wangu...kuna wakati popo kuna wakati kinyonga...kikubwa shekeli...
Sio ulinzi asilia[emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23] Afisa kipenyo na bonge la hirizi kiunoni....ulinzi shirikishi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninaomba nisi commentLissu akishinda urais mimi navua nguo
Sasa Jane niseme mara ngapi unielewe kuwa nilitoka CCM Mei Mosi 1984? Ila siasa sio uadui ...nikipata mteja wa CCM kilingeni siwezi kuacha kumhudumia kisa tofauti za kiitikadiWewe ni Chadema nani asiyekujua. Halafu hii tabia ya kuwa na sura ya kondoo kumbe ndani ni mbwamwitu mkali unayo sana we Mshana Jr . Hiyo tabia haipendezi hata kidogo. Kama we we ni Chadema weka wazi tu unaogopa nn
Nipe location SIKU unayovua nguo.Lissu akishinda urais mimi navua nguo
Ha haha, kumbe ni "ufundi" wa Mshana Jr ndio umetuzalishia "I following you but I can't reach you"?Amesema alienda kwa ajili ya kamati ya "ufundi" ya CDM, sasa ni ufundi gani alioenda kuufanya??, hebu muulize mwenyewe,🤣
Mshana Witch projectHa haha, kumbe ni "ufundi" wa Mshana Jr ndio umetuzalishia "I following you but I can't reach you"?
Mshana Mungu anakuona wallah!
Mei mosi 84 ulikuwa umeshazaliwa? Hivi we kaka umeanza lini uongo?Sasa Jane niseme mara ngapi unielewe kuwa nilitoka CCM Mei Mosi 1984? Ila siasa sio uadui ...nikipata mteja wa ccm kilingeni siwezi kuacha kumhudumia kisa tofauti za kiitikadi
Na baada ya October 28 nitarudi ccm
KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA CCMSasa Jane niseme mara ngapi unielewe kuwa nilitoka CCM Mei Mosi 1984? Ila siasa sio uadui ...nikipata mteja wa ccm kilingeni siwezi kuacha kumhudumia kisa tofauti za kiitikadi
Na baada ya October 28 nitarudi ccm
Sijapata kuona kiongozi mkuu wa nchi anaongea Kiingereza cha ajabu kama hiki.From Birmingham palace!?[emoji848][emoji30][emoji2960][emoji2827]
Sasa nikudanganye kitu gani hapa...Mbona nimeshaandika sana kisanga cha uhujumu uchumi kilichomkumba Mshana Senior my loving Daddy tena nikiwa naye!?Mei mosi 84 ulikuwa umeshazaliwa? Hivi we kaka umeanza lini uongo?