Mshana Witch projectCCM inateswa na damu za watu wasiokuwa na hatia.That is the fact.....Goliath alipigwa na mtoto I mean mtoto Znz ndio anakwenda kuliua jitu japo wengi hawaoni kwa jicho la tatu.
Wanasahau kuwa kuna mzigo wetu wa 1.5T Asad katusanua kwamba haujulikani ulipo,matokeo yake, wakampiga Asad,na 1.5T wakaipiga.Wakija wale wenye hoja nyepesi watakuambia ni msaliti mara sio mzalendo utafikiri hiyo mikataba ya madini alisaini yeye kwa hati ya dharura huko bungeni.
pia wanasahau wakati Lissu akipambania wananchi wa Nyamongo enzi za Mkapa wapate haki zao kwenye madini Jiwe alikuwa kwenye baraza la Mawaziri akila anasa tuu lakini sasa hivi kageuka kuwa mzalendo kwavile hajui kiingereza lakini ana Phd.
Ila mkuu kwa serikali iliyo madarakani, na chama kilichokaa madarakani kwa miaka 59, wanaokusanya kodi kukujengea barabara na miundombinu mingine huoni kwamba ni haki yako?Binafsi namkubali magufuri kwa kuboresha miundombinu, barabara ya kwenda kwetu kakonko-kasulu km 180 ipo kwenye ujenzi. Hivyo nimetangaza mara kadhaa kura yangu ni magufuri na familia yangu na wale wanaonitegemea nawashawishi wampigie kura JPM.
Lakini nikitafakari
1. Umuhimu wa katiba mpya
2. Lisu anavyo nyanyaswa kila kona. Kuna mahali ma dc wamejaribu kumpiga mawe, serngeti akazuiwa kupita maeneo muhimu, ukerewe kivuko kikaondoshwa wkt zilibaki dk 15 tu na nafasi zilikuwepo.
3. Kuzuiwa kufanya kampeni na tume
4. Wagombea wa upinzani kuengeliwa huku wa ccm wote wamepitishwa.
5. Kesi za kijinga alizo funguliwa
6. Maofisa wa polisi kuonesha u CCM wao (Shana-r.i.h, Kigondo, ocd hai, na wote walioleta figisu za kijinga
Frankly, natamani nimchague Lissu asaidie kuweka misingi ya democracy nchini. Hawa ma RC, DC, ded wanakaa na kupanga kuipitisha ccm, nachukizwa sana. Mambo haya hayana budi kukomeshwa.
Lkn JPM namkubali. Nina utata hakika
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ile adhabu kama Mungu vile kwansa siamini ilijuwaje Lissu akaikubali. Lakini alipoikubali inelata manufaa mengi zaidi. Amepumzisha mwili pamoja na ku refresh mind na kutembea hapa na pale.Adhabu ya kifungo cha kutofanya kampeni imemalizika jana saa tano na dakika 59 usiku, kwa hiyo kuanzia asubuhi hii ya leo ya tarehe 9 yuko huru kuendelea na kampeni zake.
That punishment wasn't a fair play in political grounds lakini waswahili wanasema kumpiga chura teke ni kumwongezea hatua kwakuwa tembea ya chura ni ya kurukaruka.
Lissu aliamua kukubaliana na uamuzi wa tume pamoja na kuwa adhabu husika haikuwa sahihi...lakini akatumia muda huo kujiachia na kufanya mengi ambayo kama si adhabu husika asingeyafanya kamwe.
Mengi aliyoyafanya yalikuwa burudani tosha kwake na kwa jamii lakini pia yakamuongezea umaarufu na ufahamu mpya wa maisha ya mtanzania wa kawaida huko mitaani na huko uswazi.
Matukio yake yote yametengeneza headlines na kufunika matukio mengine yote ya kiserikali kwa wiki hii yote ya adhabu. Tukio la ufunguzi wa stand mpya Mbezi lilidoda na kudorora kuliko tukio la Lissu kuzuiwa kuingia mkoa wa Pwani pale eneo la Gogoni.
Kuna ufunuo wa ajabu kwa CHADEMA na LISSU. Japo mamlaka na wapinzani wa Lissu na Chadema hawawezi kulikubali hili,lakini huo ndio ukweli mchungu. Lissu is unbeatable. CHADEMA is unconquered.
Mitandaoni, vijiweni, makazini, sehemu za starehe, majumbani na kila mahali ni mijadala ya Lissu na Chadema. Mfano hai ni hapa JF. Asilimia 90 ya habari za siasa ni Lissu na Chadema, bila hivi vitu viwili ni kama hakuna mijadala ama mijadala inakuwa imepoa na kupooza kabisa.
Kuna maono makubwa sana kwa CHADEMA NA LISSU, umaarufu wao umefika kileleni na kuvunja rekodi kupindukia. Ni ukweli mchungu kwenye masikio ya wapinzani wao.
Ujasiri wa ajabu wa Lissu umeipeleka Chadema next level, umewapa Wananchi mwamko mpya lakini wakati huohuo umepeleka ganzi kubwa CCM yote juu mpaka chini.
Ukufunzi wake mahiri wa sheria za uchaguzi kwenye majukwaa ya kampeni ni kigezo kingine kinachoongeza mvuto na ufuasi mkubwa kila alikopita.
Kibonzo cha DW kinamuonesha Lissu kama nyani mzee aliyekwepa mitego mishale na vizingiti vingi, lakini kiroho kinatoa tafsiri pana zaidi ya MBEBA MAONO. Kumbuka sterling hafi, mbeba maono hafi.
View attachment 1594518
We mrundi tu mhamiaji. Tena we mbembe ndio maana unajibanza kwa ccm kuepuka maovu yako.Binafsi namkubali magufuri kwa kuboresha miundombinu, barabara ya kwenda kwetu kakonko-kasulu km 180 ipo kwenye ujenzi. Hivyo nimetangaza mara kadhaa kura yangu ni magufuri na familia yangu na wale wanaonitegemea nawashawishi wampigie kura JPM.
Lakini nikitafakari
1. Umuhimu wa katiba mpya
2. Lisu anavyo nyanyaswa kila kona. Kuna mahali ma dc wamejaribu kumpiga mawe, serngeti akazuiwa kupita maeneo muhimu, ukerewe kivuko kikaondoshwa wkt zilibaki dk 15 tu na nafasi zilikuwepo.
3. Kuzuiwa kufanya kampeni na tume
4. Wagombea wa upinzani kuengeliwa huku wa ccm wote wamepitishwa.
5. Kesi za kijinga alizo funguliwa
6. Maofisa wa polisi kuonesha u CCM wao (Shana-r.i.h, Kigondo, ocd hai, na wote walioleta figisu za kijinga
Frankly, natamani nimchague Lissu asaidie kuweka misingi ya democracy nchini. Hawa ma RC, DC, ded wanakaa na kupanga kuipitisha ccm, nachukizwa sana. Mambo haya hayana budi kukomeshwa.
Lkn JPM namkubali. Nina utata hakika
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
RightIla mkuu kwa serikali iliyo madarakani, na chama kilichokaa madarakani kwa miaka 59, wanaokusanya kodi kukujengea barabara na miundombinu mingine huoni kwamba ni haki yako?
Kama awamu zilizopita hazikufanya hivi basi ni madhaifu makubwa na chama kolichopo madarakani, ila ni hela zetu siyo msaada.
Kikubwa ni haki, haki huinua taifa vizuri tafakuri zako kuhusu haki, hapo nakuunga mkono 100%
He wanted to push forward developmemt.....imakuwa gari eeh!😅😅Ongeza na hii mkuu kwenye hiyo para "so that to push the developments of our peoples!" Haaa, hiki Kibeberu au maneno ya Kibeberu? Eti naye Dr. anajitia aibu bure bora angekomaa na Kiswahili tu ili vyombo vimsaidie! Sijui Kibeberu 100% lakini cha huyu kimezidi!
Nakubaliana na wewe mzee yoyote alie UA watu huwa na mwisho mmbaya sanaDamu ya mtu hunuka na daima huwa na mwisho mbaya kwa aliyeimwaga.
Mbona nguo unavua kila siku? Keshashin da huyo.Lissu akishinda urais mimi navua nguo
Haitoshi!! Ukiishavua nguo? Enhee halafu, Endelea kidogo labda utaleta maanaLissu akishinda urais mimi navua nguo
Usisahau kuita waandishi wa habari wakupige na pichaLissu akishinda urais mimi navua nguo
Usimdhalilishe PhD holder wetu, hata wa China hawawezi kuongea kibeberuSijapata kuona kiongozi mkuu wa nchi anaongea Kiingereza cha ajabu kama hiki.
Daaa aibu kwa taifa, huu mfumo wa elimu yetu unatengeneza viongozi wa namna hii?
Kuna tatizo sehemu si bura, bora wangemuandikia akasoma maandishi kuliko alichokisema pale.
Great shame for us.
Adhabu ya kifungo cha kutofanya kampeni imemalizika jana saa tano na dakika 59 usiku, kwa hiyo kuanzia asubuhi hii ya leo ya tarehe 9 yuko huru kuendelea na kampeni zake.
That punishment wasn't a fair play in political grounds lakini waswahili wanasema kumpiga chura teke ni kumwongezea hatua kwakuwa tembea ya chura ni ya kurukaruka.
Lissu aliamua kukubaliana na uamuzi wa tume pamoja na kuwa adhabu husika haikuwa sahihi...lakini akatumia muda huo kujiachia na kufanya mengi ambayo kama si adhabu husika asingeyafanya kamwe.
Mengi aliyoyafanya yalikuwa burudani tosha kwake na kwa jamii lakini pia yakamuongezea umaarufu na ufahamu mpya wa maisha ya mtanzania wa kawaida huko mitaani na huko uswazi.
Matukio yake yote yametengeneza headlines na kufunika matukio mengine yote ya kiserikali kwa wiki hii yote ya adhabu. Tukio la ufunguzi wa stand mpya Mbezi lilidoda na kudorora kuliko tukio la Lissu kuzuiwa kuingia mkoa wa Pwani pale eneo la Gogoni.
Kuna ufunuo wa ajabu kwa CHADEMA na LISSU. Japo mamlaka na wapinzani wa Lissu na Chadema hawawezi kulikubali hili,lakini huo ndio ukweli mchungu. Lissu is unbeatable. CHADEMA is unconquered.
Mitandaoni, vijiweni, makazini, sehemu za starehe, majumbani na kila mahali ni mijadala ya Lissu na Chadema. Mfano hai ni hapa JF. Asilimia 90 ya habari za siasa ni Lissu na Chadema, bila hivi vitu viwili ni kama hakuna mijadala ama mijadala inakuwa imepoa na kupooza kabisa.
Kuna maono makubwa sana kwa CHADEMA NA LISSU, umaarufu wao umefika kileleni na kuvunja rekodi kupindukia. Ni ukweli mchungu kwenye masikio ya wapinzani wao.
Ujasiri wa ajabu wa Lissu umeipeleka Chadema next level, umewapa Wananchi mwamko mpya lakini wakati huohuo umepeleka ganzi kubwa CCM yote juu mpaka chini.
Ukufunzi wake mahiri wa sheria za uchaguzi kwenye majukwaa ya kampeni ni kigezo kingine kinachoongeza mvuto na ufuasi mkubwa kila alikopita.
Kibonzo cha DW kinamuonesha Lissu kama nyani mzee aliyekwepa mitego mishale na vizingiti vingi, lakini kiroho kinatoa tafsiri pana zaidi ya MBEBA MAONO. Kumbuka sterling hafi, mbeba maono hafi.
View attachment 1594518