Ndio huwa wanakula watu tena mifupa wanahifadhi kama ushahidi. Kuna mwingereza mmoja alikwenda huko baada ya kufika kijijini wakawaambia wasipoondoka mpaka asubuhi wanakuwa kitoweo.
Jamaa alitoka nduki
Mungu mweusi!!!Kwa nin wanaongozwa na Mwanamke?
Hawa si ndio wale waliomla mjukuu wa Rockfeller?Ndio huwa wanakula watu tena mifupa wanahifadhi kama ushahidi. Kuna mwingereza mmoja alikwenda huko baada ya kufika kijijini wakawaambia wasipoondoka mpaka asubuhi wanakuwa kitoweo.
Jamaa alitoka nduki
Haswaaa alienda kutengeneza documentary na kuwapiga picha jamaa wakaalikana. Ni miaka ya nyuma sanaHawa si ndio wale waliomla mjukuu wa Rockfeller?
Hahahahahaha aiseee umenichekesha sanaa leo.16.Ana Uwezo wa kupata Mimba
Mimi nafikiri number 16 Ndiyo muhimu kuliko zote,au wadau mnasemaje?
@Jimena,@Bennie,@Areta Njoeni huku muone uwezo wa Malkia!
Jamaa ametishaa ha ha haMume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Papua new Guinea wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
Huo uwezo alikuwa nao miaka 70 iliyopita. Kwa sasa hana!16.Ana Uwezo wa kupata Mimba
Mimi nafikiri number 16 Ndiyo muhimu kuliko zote,au wadau mnasemaje?
@Jimena,@Bennie,@Areta Njoeni huku muone uwezo wa Malkia!
Na wakati mwingine anaumwa tumbo la kuharaHahahaha!
Mkuu hiyo ya 17 Ni Must.
Anaweza kuwa ndugu na MR. BIN au CHARLE CHAMPLINMume wa Queen anaitwa Prince Philip yaani kila anapokwenda na malkia lazima amuaibishe kwa maneno yake makali na maudhi.
Alimuona raisi wa Nigeria akiwa kavaa zile nguo zao akamwambia naona uko tayari kwenda kulala.
Akaulizwa na waandishi wa habari Je unategemea kwenda kutembea Urusi akasema ningependa kwenda lakini wanaharamu wameuwa nusu ya familia yangu.
Nyingine alienda Papua new Guinea wakawa wanacheza kumfurahisha Queen akawauliza mmeacha kula watu?
Haahahaha inawezekanaAnaweza kuwa ndugu na MR. BIN au CHARLE CHAMPLIN
pumbavu mkubwa wewe, yaani Mungu wangu unamfananisha na huyo takataka anayesubiri kuoza? eti next to God bora ungeweka god ila God? ukome kabisa usirudie tena.Huyu mama ana mamlaka next to God....
Sasa wewe na yeye nani mpumbavu? 😀 wafia dini bwanapumbavu mkubwa wewe, yaani Mungu wangu unamfananisha na huyo takataka anayesubiri kuoza? eti next to God bora ungeweka god ila God? ukome kabisa usirudie tena.
Hapo ndipo ninashindwaga kuwaelewa....sijaona matendo maovu ya huyu malkia kiasi cha kum_,term kama devil daughter....mara sijui freemason matron how.She is the devil's daughter. The matron of freemason in the world!
Mkuu Igwe kwa hakika hili jipu linahitaji mtumbuaji. Hawa watu wanajiona wao ni wakamilifu sana kiasi cha kuhukumu wenzao kila kukichaHapo ndipo ninashindwaga kuwaelewa....sijaona matendo maovu ya huyu malkia kiasi cha kum_,term kama devil daughter....mara sijui freemason matron how.
Umasikini wa akili na kipato unatumemena sana africa...sababu hata hizo dini zinazotuaminisha habari za devil vs god...ni hao hao wametetea...lakn leo hii tunajifanya wajuaji mpaka kuwaona wao ni devils na sisi ni godly.....hii ni kitu na chipu linalohitaji mtumbuaji jasiri.
Kwan we unaenda motoni?Halaf tukifa wote eti Mungu atuchome moto sawa na malkia Elizabeth,aiseeee!!!nitashangaaaaa