My hubby
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 451
- 413
Ndio huwa wanakula watu tena mifupa wanahifadhi kama ushahidi. Kuna mwingereza mmoja alikwenda huko baada ya kufika kijijini wakawaambia wasipoondoka mpaka asubuhi wanakuwa kitoweo.
Jamaa alitoka nduki
Hahahahahahhahahahah