Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

Quine alipi kodi raia wake ndo wanamlipa kodi kila raia kuna kiasi anakatwa kwenye kodi kila mwaka kwa ajili ya familia ya malkia
Mwaka 1992 ndipo Queen alianza kulipa kodi na wananchi hawachangii hata senti nina uhakika na hilo, na pia mambo ya kumuinamia malkia wakati wa kumsalimia yalifutwa 1994 na aliyekuwa waziri mkuu hizi ndio fact na ninazijua vizuri.

Hebu nioneshe payslip yako ya mchango wa tax kwa malkia please
 
Niliwahi kuuliza huyu mama kazi yake ni nini, dada'ngu FaizaFoxy akanijibu vizuri tu ingawa alitumia google translation ilikuwa na kiswahili kibovu kweli.

Tunaomba kujua ratiba yake ya kila siku ni ipi. Yaani akiamka asubuhi anafanya nini? Ana ofisi? Nini shughuli zake za kila siku. Nasikia hajawahi kubeba chochote zaidi ya ule mkoba wake.

Mwenye kujua ratiba yake ya kila siku plz weka hapa.
 
Hapo ndipo ninashindwaga kuwaelewa....sijaona matendo maovu ya huyu malkia kiasi cha kum_,term kama devil daughter....mara sijui freemason matron how. Wewe ni mjinga na hujui kitu. Ni bora ungeuliza. Na zaidi anza kujisomea. Usifikiri watu tunakurupuka hapa. Jiongeze kwanza

Umasikini wa akili na kipato unatumemena sana africa...sababu hata hizo dini zinazotuaminisha habari za devil vs god...ni hao hao wametetea...lakn leo hii tunajifanya wajuaji mpaka kuwaona wao ni devils na sisi ni godly.....hii ni kitu na chipu linalohitaji mtumbuaji jasiri.
 
Niliwahi kuuliza huyu mama kazi yake ni nini, dada'ngu FaizaFoxy akanijibu vizuri tu ingawa alitumia google translation ilikuwa na kiswahili kibovu kweli.

Tunaomba kujua ratiba yake ya kila siku ni ipi. Yaani akiamka asubuhi anafanya nini? Ana ofisi? Nini shughuli zake za kila siku. Nasikia hajawahi kubeba chochote zaidi ya ule mkoba wake.

Mwenye kujua ratiba yake ya kila siku plz weka hapa.
Hata mimi natamani kujua FaizaFoxy una lolote la kutujuza hapa
 
Hata mimi natamani kujua FaizaFoxy una lolote la kutujuza hapa
Ngoja nisaidie kidogo kuhusu hili kwanza kila siku haziendi sawa kwa kila mwanadamu,
Na Queen kama sisi ana siku nzuri na mbaya.

Akiwa Buckingham palace asubuhi tu anapoamka utaratibu wake ni wa kupangiwa saa 1:30 yaya anaingia na kumwekea Chai ya maziwa Early grey na biscuits kadhaa, baada ya hapo anamfungulia pazia na kuwasha radio BBC 4 ili asikilize taarifa ya habari wakati ndio kwanza traffic imeanza kuwa kubwa constitution hill karibu na Green Park. Wakati huo maid anamwandalia maji ya kuoga.
Kiasi anaoga anaandaliwa nguo ya kuvaa (inategemea na shughuli ya siku hiyo)

8:30am
Malkia anaelekea kwenye first floor na kukutana na Mme wake kwa ajili ya breakfast, ambayo inaangalia palace garden.
Wanapomaliza kula Prince Philip anaongeza kahawa tena na tena. Na malkia anaomba magazeti ambayo ni Daily Telegraph na Racing Post.(anapenda farasi sana)

9:00 am Queen's piper anawatumbuiza kwa bagpipes taratibu wanasikiliza wakiwa pamoja na Mme wake.

9:30am anaenda ofisini kuangalia yanayojiri.
Baada ya hapo anaenda garden na mbwa zake aina ya corgi mpaka mchana wakati wa kula nafikiri na siku itakuwa imekaribia kwisha.

Ana majukumu mengi lakini utaratibu wake wa kila siku ni huo labda awe na mapokezi ya wageni au nikimtembelea anakuwa na mda mwingi na mimi ( just kidding)
 
Ngoja nisaidie kidogo kuhusu hili kwanza kila siku haziendi sawa kwa kila mwanadamu,
Na Queen kama sisi ana siku nzuri na mbaya.

Akiwa Buckingham palace asubuhi tu anapoamka utaratibu wake ni wa kupangiwa saa 1:30 yaya anaingia na kumwekea Chai ya maziwa Early grey na biscuits kadhaa, baada ya hapo anamfungulia pazia na kuwasha radio BBC 4 ili asikilize taarifa ya habari wakati ndio kwanza traffic imeanza kuwa kubwa constitution hill karibu na Green Park. Wakati huo maid anamwandalia maji ya kuoga.
Kiasi anaoga anaandaliwa nguo ya kuvaa (inategemea na shughuli ya siku hiyo)

8:30am
Malkia anaelekea kwenye first floor na kukutana na Mme wake kwa ajili ya breakfast, ambayo inaangalia palace garden.
Wanapomaliza kula Prince Philip anaongeza kahawa tena na tena. Na malkia anaomba magazeti ambayo ni Daily Telegraph na Racing Post.(anapenda farasi sana)

9:00 am Queen's piper anawatumbuiza kwa bagpipes taratibu wanasikiliza wakiwa pamoja na Mme wake.

9:30am anaenda ofisini kuangalia yanayojiri.
Baada ya hapo anaenda garden na mbwa zake aina ya corgi mpaka mchana wakati wa kula nafikiri na siku itakuwa imekaribia kwisha.

Ana majukumu mengi lakini utaratibu wake wa kila siku ni huo labda awe na mapokezi ya wageni au nikimtembelea anakuwa na mda mwingi na mimi ( just kidding)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo halali na mmewe kudadekiiiiiii...
Huko ofisini ana shughuli ghan wakati mamlaka ya kutawala kaachiwa PM..

Kikwete angepewa ratiba ka hii angejiuzulu uraisi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo halali na mmewe kudadekiiiiiii...
Huko ofisini ana shughuli ghan wakati mamlaka ya kutawala kaachiwa PM..

Kikwete angepewa ratiba ka hii angejiuzulu uraisi
Umri wa miaka 90 na ushee unafikiri hiyo miguu inavyopoa nani atakubali kulala na mwenzie.
Kuhusu mamlaka anayo mengi sana ni head of several States na maamuzi anasaini yeye pia wa kujipendekeza kwenda kumuona hawakosekani kama.....
 
Back
Top Bottom