Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

YE67NBE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
15,155
Reaction score
36,337
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu. Nimezaliwa 1953.

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho. Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nilifanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine. ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli. Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35.

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu.

Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi mbalimbali ambavyo ndo vinanilea sasa hivi.

Nawashauri vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia: Tumieni ujana wenu vizuri, narudia tena tumieni ujana wenu
Vizuri, narudia tumieni ujana wenu vizuri. Msije Mkajuta kwenye uzee wenu, maana muda utakuwa umekutupa mkono na ndipo maradhi yatakavyoanza kukushambulia.

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana.

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho ili azidi kuwabariki. Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao na famili zao. Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo. Hivyo ni faraja sana kwangu.

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo.

Muwe na Jumapili njema 👐👐👐👐👐

=========================
Edit: wengi wenu mmeniuliza ni vitega uchumi gani nimewekeza

Jibu langu ni kuwa ni hivi hivi vya kawaida hamna biashara mpya duniani hapa

1. Kilimo cha mboga mboga
2. Ufugaji wa ngombe na nguruwe pamoja na kuviuza butcher (supplier)
3. Appartment kadhaa nzuri, sina nyingi
4. Savings kwenye bank yenye interest nzuri
5. Uwakala wa mpesa

Basi ni hivi tu ndo navyo tegemea,

Hapo naweza kukuachia wewe kufuatilia mwenyewe, Asante
 
Salaam kwenu wote,

Mimi ni mgeni humu ila ningependa kushare kisa kidogo cha maisha ya ujana wangu,

Nimezaliwa 1953

Kusema kweli mwenyezi Mungu alinijalia sana mimi, kwenye elimu ya darasani nilikuwa vizuri sana nikafanikiwa kumaliza chuo mwaka X kipindi hicho

Bahati nzuri nikapata kazi yangu kwenye kampuni Y, nili fanya kwa miaka 3 kabla ya kuhamishwa kupelekwa kwenye kituo kingine

Ambapo nilipata mshahara na marupu marupu matamu kweli,

Nilitumikia hiyo nafasi kwa miaka 35

Mpaka nilivyostaafu rasmi 2016, namshukuru Mungu sana kwa kunijaalia akili ya kuona mbele, na kuweza kupanga hatma ya maisha yangu,


Niliweza kujiingiza kwenye kuwekeza kwenye vitega uchumi, mbalimbali

Ambavyo ndo vinanilea sasa hivi

nawashaurini vijana mtakaosoma hiki kisa tafadhali tafadhali tumieni muda wenu vizuri, msije mkajuta baadae mkiona mzee ni masikini jua haikuja hivi hivi, likewise mkiona mzee ni tajiri jua ni tu watu walijitoa haswa haswa,

Zingatia:
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

-TUMIENI UJANA WENU VIZURI,
-NARUDIA TENA TUMIENI UJANA WENU
VIZURI,
-NARUDIA TUMIENI UJANA WENU VIZURI


MSIJE
MKAJUTA KWENYE UZEE WENU, MAANA MUDA UTAKUWA UMEKUTUPA MKONO NA NDIPO MARADHI YATAKAVYOANZA KUKUSHAMBULIA,

Kwangu mimi navyoona umri wa kuweka nguvu ni (25-55) hapa ndo inabidi ufanye uwekezaji mkubwa na uchakarike sana

Lakini kumbukeni pia kumtanguliza Mungu kwenye kila mfanyacho, ili azidi kuwabariki,

Mimi namshukuru Mungu wanangu 4 wapo vizuri kila mtu yupo kwao NA FAMILIA ZAO

Mimi nalea wajukuu tu wakija likizo,

Hivyo ni faraja sana kwangu,

Namshukuru Mungu kwa kunijaalia uzee mzuri, japo haikuwa rahisi mpaka kufikia hapa nilipo,

Muwe na jpili njema 👐👐👐👐👐
Kila mtu atabeba mzigo wake
 
KIBABU_53 Sema enzi zenu fursa zilikua nje nje😊

Ahsante sana kwa nasaha zenye kuleta ari ya mapambano na hongera sana 🤝🤝🤝kuyaishi maisha ya ndoto zako Babu💪💪💪🙏🙏🙏

Peterrabbit Pita hapa yaan hii kitu 😙😙😙💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰🤣🤣🤣👋

mshamba_hachekwi zingatia nasaha za Babu🙏🙏🙏
 
Hakika hakuna kitu kinakuja hiv hiv.You must hustle..u must inject ur creativity, your money , your time and your strength.Kirahia rahis tuu et umeweka mikeka ya ku bet ndio ukatoboe !?sio kwel.
Japo sio mara zote ila mara nyingi maisha lazima yakuumize tuu ili kuvuna mafanikio.
Na kukata tamaa ni kitu rahis sana maana kuna time kila kitu unafanya hakitembei!.

Ahsante kutukumbusha.
Sometimea huwa na wish ufahamu huu nilio nao sasa at mid 30's ningeupata at mid 20's aisee ningekua mbali sana.
Sema ndio hivyo kila jambo na wakat wake...kuna time maisha yanangoja kwanza uwe na busara hata kama akil na juhud unazo tayar.
 
KIBABU_53 Sema enzi zenu fursa zilikua nje nje😊

Ahsante sana kwa nasaha zenye kuleta ari ya mapambano na hongera sana 🤝🤝🤝kuyaishi maisha ya ndoto zako Babu💪💪💪🙏🙏🙏

Peterrabbit Pita hapa yaan hii kitu 😙😙😙💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰💰🤣🤣🤣👋

mshamba_hachekwi zingatia nasaha za Babu🙏🙏🙏
Asante mjukuu
 
Asante baba kwa wasia!!ila baba tatizo zama hizi bila kuwa na connection hitoboi.
Na hapa ndio wengi tunajipa excuse ya kufanya bidii.
Nikikuuliza unafanya nini ili ujisogeze karibu na hiz connection utanambia nini??.

Sikiliza mdogo angu, no free lunch..epuka mambo rahis rahis ... ukitaka kukaa around great and pottential people (connections) you must FIRST have something to offer
 
Hakika hakuna kitu kinakuja hiv hiv.You must hustle..u must inject ur creativity, your money , your time and your strength.Kirahia rahis tuu et umeweka mikeka ya ku bet ndio ukatoboe !?sio kwel.
Japo sio mara zote ila mara nyingi maisha lazima yakuumize tuu ili kuvuna mafanikio.
Na kukata tamaa ni kitu rahis sana maana kuna time kila kitu unafanya hakitembei!.

Ahsante kutukumbusha.
Sometimea huwa na wish ufahamu huu nilio nao sasa at mid 30's ningeupata at mid 20's aisee ningekua mbali sana.
Sema ndio hivyo kila jambo na wakat wake...kuna time maisha yanangoja kwanza uwe na busara hata kama akil na juhud unazo tayar.
Ni kweli ila hujachelewa una miaka 20 mbele mpaka 55 utatoboa tu usikate tamaa, hela huanza kuonekana mara nyingi at your 50's huko
 
Asante baba kwa wasia!!ila baba tatizo zama hizi bila kuwa na connection hitoboi.
Ni kweli, ila kwa zama hizi tafuta kitu kimoja u focus nacho, vizuri kwa muda wa 5-10 years utaona compound interest yake

Jifunze kufanya kitu 1 repipitively, na pia jua njia nzuri za kujionyesha ili ukuze na watu wakujue ww kupitia hicho kitu ufanyacho
 
Back
Top Bottom