Nguvu nilizowekeza kwenye ujana wangu nakula Matunda yake sasa

Mwisho wa siku yote ni kujilisha upepo,usijifanye bingwa wa ushauri kila mtu ana maisha yake.Usije ukajiona mjanja sanaaa.
 
Hongera sana kwani JF ni shule inayotembea
 
-Mashamba(kilimo cha mbogamboga)
-ufugaji wa ngombe na nguruwe(butcher) supplier
-appartment kadhaa.
-bank savings.
-mpesa wakala,,,, hivyo tu
Vizuri saana mzee,watumishi siku hizi tunawaza kuchukua mkopo na kujenga kijumba kisicho isha na kumiliki IST. Tunasubir kustaafu. Unatushaurije?
 
Asante kwa maoni yako,

Ila nilishaeleza hapo awali vitega uchumi vizuri ni
-shamba la mboga
-ufugaji wa ngombe, nguruwe
-appartment kadhaa
-wakala mpesa
- savings kwenye bank yenye interest nzuri

Hivi havijawahi kunipa stress hata kidogo mkuu
Hapo kwenye uwakala changamoto hakuna?
 
Asante, swali je Ulikuwa unalewa pombe?

Je hukuwa unahonga wanawake au hukuwa na michepuko??

Mwenzi wako alikiwa mama wa nyumbani au mfanyakazi/mfanyabiashara? Katika kupangilia maisha yenu mkeo alishughulika na jambo lepi

Ukijibu nanufafanuzi utasaidia wengi humu
 
Sasa tufanye kweli wewe ni mzee, maisha umeyala mda gani sasa??!!

Au hiyo akiba yako umehisi itakubakisha milele[emoji23][emoji23]
Life is good and better u enjoy life when u are youth
Maisha ya uzee ni mafupi sana na changamoto zake ni nyingi lakini ni maamuzi yako tu ww ule bata ujanani halafu usumbue nduguzo au uwekeze ujanani na ule bata uzeeni
 
Maisha ya uzee ni mafupi sana na changamoto zake ni nyingi lakini ni maamuzi yako tu ww ule bata ujanani halafu usumbue nduguzo au uwekeze ujanani na ule bata uzeeni
Utakulaje bata uzeeni wakati kama ulivyosema maisha ya uzee ni mafupi pia yana changamoto nying??!!

Uzee ni kama vile mlango wa kutokea[emoji24][emoji24]
Na utoto ni mlango wa kuingilia but u can enjoy life at the peak when u are youth
 
Asante sana kwa ushauri mzuri mkuu, nimepokea hiyo naweka juhudi zangu katika kuwekeza
 
Usifanye hivyo mkuu, mimi nilijenga 2005 nikiwa na miaka 52, sikuwahi kabisa kujenga nilinunua gari nikiwa na 55,

Hivyo vilikuja baadae, nilijibana sana, mkuu,
Ahsante sana babu.
 
Mzee ungeelekeza vizuri namna ulivyoanza kuwekeza na sehemu ulizowekeza uzi wako ungekuwa na manufaa sana Kwa wasomaji, ila Kwa style hii uliyokuja nayo uzi wako umejaa majigambo na mipasho.

Uwe na j.pili njema nawe pia
Mkuu mbona babu/baba yetu kaongea vizuri tu.Hakuna majigambo bali angalia msisitizo wake kwenye kuchacharika then siyo lazima aseme uwekeze wapi.Wewe fanya utafiti wako upate mahala pazuri pa kuwekeza.
 
Sometimes unakuwa na akili sana mshamba_hachekwi we Lovie Lady kamata huyu kijana mtafika mbali sana pamoja😅 usije kusema sikukwambia
rabbitus ndio nini kuchange username sasa?😔😔😔 unadhani utanikimbia🤣👋 af lile jambo langu umelipotezea eeh🤣🤣🤣👋

Uyu mshamba_hachekwi nishamwambia atafute kwanza💰💰💰💰💰af tutazungumza lugha moja🤣🤣🤣👋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…