Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Maisha si bahati, maisha ni mikakati thabiti na mipango. Ingawa mara chache maisha huweza kuwa bahati. Binafsi nasema kuwa mtu yeyote anayeishi kwa kusubiri bahati imwangukie huyo ni tahira.
Vijana maisha si bahati, sasa wasomi wa vyuo vikuu wako wengi, vya kati pia wako wengi na vyuo vya chini hivi vya maghorofani ndo usiseme.
Je, tuishi kwa kusubiri mkeka wa kamari utiki?
Je, tuishi kwa kutegemea ajira from unknown source?
Vijana hebu ishinikizeni Serikali huenda itawasikia. Serikali ina mambo mengi hivyo kwenye mijadala mbalimbali msiache kuishinikiza iwajengee viwanda na kufufua viwanda vyote vilivyokufa hapa nchini.
Kama mwaka 1980 Serikali ilikuwa na viwanda kila mkoa sasa hivi hamna viwanda vya Serikali. Bahati mbaya hata vilivyotaifishwa sasa vimegeuka magodown ya wahindi na magofu.
Kazi kuomba connection za video za ngono tu mambo ya msingi wanakaa pembeni.
Tunarudi nyuma kama Taifa.
Simba na Yanga viwe ajenda baada ya kazi na si ajenda kuu.
Vijana maisha si bahati, sasa wasomi wa vyuo vikuu wako wengi, vya kati pia wako wengi na vyuo vya chini hivi vya maghorofani ndo usiseme.
Je, tuishi kwa kusubiri mkeka wa kamari utiki?
Je, tuishi kwa kutegemea ajira from unknown source?
Vijana hebu ishinikizeni Serikali huenda itawasikia. Serikali ina mambo mengi hivyo kwenye mijadala mbalimbali msiache kuishinikiza iwajengee viwanda na kufufua viwanda vyote vilivyokufa hapa nchini.
Kama mwaka 1980 Serikali ilikuwa na viwanda kila mkoa sasa hivi hamna viwanda vya Serikali. Bahati mbaya hata vilivyotaifishwa sasa vimegeuka magodown ya wahindi na magofu.
Kazi kuomba connection za video za ngono tu mambo ya msingi wanakaa pembeni.
Tunarudi nyuma kama Taifa.
Simba na Yanga viwe ajenda baada ya kazi na si ajenda kuu.