Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Ile fulana na Navy nilienda nayo kwa bahati mbaya. Nilipofika pale ndio nikagundua kwamba nilivyo vaa its inappropriate kwa mahala nilipo.
Uzuri yule askari niliyemkuta getini namfahamu.
Yani umeficha fulana ya jeshi kwa sweta la Polisi? Tena umeazimwa na askari wa lindo, halafu wakakuacha?

Anyways... I like your stories.
 
upo vizuri sana The Bold ila jinoe kiaina kwenye kuelezea kitu bila kumfanya msomaji akose uhusiano kati ya unachokiongea wakati huo na main topic. mfano mimi binafsi sikuona ulazima wa kuwaelezea hao kina Ontario ( walau kwa namna ulivowaelezea), mr v, huyo jamaa anaependa stori za "nyuma ya pazia", meja, sweta lake pamoja na rangi yake, mbaya zaidi umeelezea mpaka kibambaza cha kituo cha polisi all for what?!! kwasababu I have a feeling all the said characters will not appear anywhere in your story again! Beating around the bush can give your story the unpredictability aspect, which is vital to any good story lakini sasa ina "utaalamu" wake ambao naona kama hujau master vizuri. vinginevyo uko vizuri mnooo
 
Ndio maana mirejesho ilipungua hapa Jf na kwenye magroup kumbe walivamiwa?
 
The Bold hahaha,kwakua hilo jengo lillipo na kituo cha polisi kilipo na ulivyoweza kufika hapo,Kusubiri simu nachelea kusema kuwa utakua unaishi maeneo ya protea au st Peter ,yaani we ni jirani maeneo hayo
 
Mkuu naomba unitag
 
Yani umeficha fulana ya jeshi kwa sweta la Polisi? Tena umeazimwa na askari wa lindo, halafu wakakuacha?

Anyways... I like your stories.
Hahaha,halafu akaenda kwenye tukio ,asee km kuna wanaokufollow huko WhatsApp watakua wamejifunza kitu kupitia Uzi huu
 
We ni mmoja wao?mpk ukaenda hivyo na kuazimwa sweta?
Huyu mleta mada huwa ana nyuzi makini sana zenye uchambuzi wenye mtiririko wenye ladha haswa! Anajua kuteka hadhira kupitia uandishi wake!

Napenda sana makala zake...ila hii ya leo nimeipenda sana! Iko na #Noise# haswa! Hata kiziwi anaweza kuisikia!
 
Kwani kuna sehemu amekuambia yeye raia wa kawaida!Vitu vingine sio vya kuhoji kama una akili!soma katikati ya mistari na jiongeze hata kuvaa sweater la Polisi hauwez kufanya raia wa kawaida;Kwenye Blogu kipindi hayumo humu kuna sehemu niliona ameandika jina lake nilivyoona Surname yake nika conclude huyu ni kipepeo mweusi lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…