Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Mmh!! Ina maana Ontario alikuwa anaongea na ofisa wa TISS(Habib/Bold) bila kujijua?

Maana Bold ali role behind the scene kwenye tukio lote la kwenda na mtutu wa bunduki pale TMT.

Nawaza na kuwazua sipati jibu kabisa.
 
Yani umeficha fulana ya jeshi kwa sweta la Polisi? Tena umeazimwa na askari wa lindo, halafu wakakuacha?

Anyways... I like your stories.
Mkuu msome alivyosema ali play role behind the scene kwenye tukio lote la kwenda na mtutu na kuwachukua wasaidizi wa Ontoria hadi Osterbay polisi.
 
Acha kuzingua... tiss inahusikaje hapa??
Labda tu kitu ambacho wengi watakuwa hawajui ni role ambayo nilihusika behind the scenes.<br /><br />Hata nilivyofika pale Oysterbay Police kulikuwa na wasaidizi wa ofisi wa Ontario kama wanne hivi lakini sidhani hata kama walinitambua mimi ni nani.[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
Sawa mkuu..
 


Mkuu The bold ulivyoanza hii habari na ukaweka mkazo kuhusu huyu George Soros nikakuelewa kuwa kuna kitu kizito unataka kuzngumzia hapo mbeleni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…