Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unanitag tafadhaliDah nisamehe bure kamaradi... next time nitahakikisha uko front seat
Nimekupata mkuu asante brotherIle fulana na Navy nilienda nayo kwa bahati mbaya. Nilipofika pale ndio nikagundua kwamba nilivyo vaa its inappropriate kwa mahala nilipo.
Uzuri yule askari niliyemkuta getini namfahamu.
Nitaeleza humu humu kama natrade au sitrade na kwanini natrade au sitrade.!Naomba kujua kama wewe mwenyewe una trade forex..?
We will get there brother...Thanks brother, you are good at writing and you are talented. Make life with your talent bro!
Karibu sana comrade...Nipo hapa nafatilia mwisho wa Makala. Ahsante kaka.
Pamoja...Nimekupata mkuu asante brother
Mkuu nasikia una blog,nijuze nikaburudishe akili hukoNitaeleza humu humu kama natrade au sitrade na kwanini natrade au sitrade.!
Stay here
Mkuu nimemkubali haswaaa,tuko vzrHuyu mleta mada huwa ana nyuzi makini sana zenye uchambuzi wenye mtiririko wenye ladha haswa! Anajua kuteka hadhira kupitia uandishi wake!
Napenda sana makala zake...ila hii ya leo nimeipenda sana! Iko na #Noise# haswa! Hata kiziwi anaweza kuisikia!
Nitafanya hivyo chief...Mkuu Uwe unanitag na mimi nimevutiwa sana na machapisho yako mazuri sana tafadhali Ndugu yangu nakuomba sana
Asante sana mkuuNitafanya hivyo chief...
Hahaaaaa mkuu Barafu anatokea mara chache chache sanaNipo nipo mkuu
Watumia simu unatukerasalute
Mkuu ukishusha kitu kingine unitag na mieNitafanya hivyo chief...
Pamoja sana chief...Mkuu niongeze kwenye tag zako.Lakini si vibaya nikikupongeza kwa kazi zako,mada zako zinabeba umuhimu wa forum hii kwangu kwa zaidi ya 30%.Ndiyo maana nawashangaa ambao huwa wana kupiga ban kwa muda mrefu bila kujua unachangia kwa kiasi kikubwa sana kwa wadau kama mimi kutumia hii forum.