Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nitafanya hivyo chief...
Nami nitag chief kurudi kwako JF kutaniongezea kitu kwenye Forex nimeunguza account zaidi ya mara4
IMG_20171216_202956_725.jpg

Jumatatu sehemu ya pili nitakuwa makini kuifuatilia jitahidi story iishe mapema chief

Ukinitag na twitter itapendeza
 
Nasubiri unichane...
Mkuu na wewe pia na akili zako unashindana na huyu punguani, huwajui hatter, kila kitu wao wanajua, hatujua kama wewe uliitaja forex kabla ya Ontario, Ontario mwenyewe makala ya kwanza alikupa credit yeye hajui achana nae
 
Napata wasiwasi kama kweli utaweza kutopendelea mawazo yako juu ya FOREX ukizingatia mke wako kaajiliwa na ONTARIO pale jangid plaza kama secretary... Anyway nasubiri episode 2

Duh!

Actually nilikuwa hapo mapema wiki hii

The Millionaire Team [TMT] baby[emoji23].

It’s all good though, a job is a job.

But they could have been more original with their name...oh well. Whatever works for them...
 
ahahah the bord umeamua ulipue


Cc Ontario jamaa kakusanya pesa za mazuzu halafu kawaacha hata Jf kawakimbia.poleni sana hakuna Mt anaependa ufanikiwe kama yeye ukiona mtu anakupa mbinu zakufanikiwa kama yeye mtizame mara 2, labda awe baba yako aua Mama ako no way as long Jamaa Ontario alikua na malengo yakukusanya mpunga.


Ndio yale ya Mganga akupe utajiri wakati yeye masikin.


Nafikir umefikiria tofaut mbona forex ni kweli in exists na wana wana trade wanaoweza wanawin wasio weza wanaloose so sijui umeelewaje
 
Nimesoma hiyo paragraph ya utangulizi tu. Hivi ni akina nani hao walikupa maombi mengi ya kukutaka utie neno? Wewe kama umeamua kuandika kitu andika, sio utake watu waone kana kwamba unawafanyia fadhila kubwa au kana kwamba una umuhimu flani hivi..; either way, ur gud at beating around the bush and never getting to the point.

=====================================
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;

1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.

2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).

3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Malizia kipengele namba 4,5,6,7 na 8 za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........

===================================


we jamaa acha kwanza atumalizie makala ndio ulete povu lako
 
ahahah the bord umeamua ulipue


Cc Ontario jamaa kakusanya pesa za mazuzu halafu kawaacha hata Jf kawakimbia.poleni sana hakuna Mt anaependa ufanikiwe kama yeye ukiona mtu anakupa mbinu zakufanikiwa kama yeye mtizame mara 2, labda awe baba yako aua Mama ako no way as long Jamaa Ontario alikua na malengo yakukusanya mpunga.


Ndio yale ya Mganga akupe utajiri wakati yeye masikin.


Hahahhaa pogba nimecheka sanaa
 
Napata wasiwasi kama kweli utaweza kutopendelea mawazo yako juu ya FOREX ukizingatia mke wako kaajiliwa na ONTARIO pale jangid plaza kama secretary... Anyway nasubiri episode 2

Duh! Jf wafukunyuzi kwelikweli

Ila the bold unatuaminisha kwa kila namna kuwa wewe unatumiwa sana na watu wa usalama, ile ishu ya kibiti pia ulituaminisha hivyo sasa sijui lengo lako/lenu ni lipi Au ndio mpango wa kukutumia kutuaminisha mambo mengine huko mbeleni!!

Anyways, Ila sio vyema kumtusi bosi wako kuwa ni mvivu kwenye hadhara ambayo na yeye atasoma, unless Kama hii stori ni ya kutunga
 
Back
Top Bottom