Nguvu ya CHADEMA imeonekana nchi nzima na hofu ya vyombo vya dola ni kubwa sana. Je huu ni ushindi kabla ya mechi?

Nimekumbuka UKUTA.. afu nayo ilikuwa september. Wale wazee wa rohoni Mshana Jr na Rabbon hii inamaana gani kwa taifa letu.

Ukuta majeshi yote yalijitokeza kufanya usafi, hawa sasa wapo doria tu.
 
Onyesha ya kwako. Kelele za mitandaoni haziwasaidii .Walk the walk andamaneni.Mliruhusiwa sera zenu zikawa matusi.Ustaarabu hamuuwezi.Siasa za matukio na matusi.
Haki ni haki, haitegemei hisani au huruma ya mwanasiasa yeyote, umejaza makamasi kichwani wewe
 
Kujua watu walikoshikiliwa ni utoto? Ungekuwa na ndugu kusikojulikana usingesema ni utoto ungejua umhimu wa wanaokusaidia kujua ndugu yako Yuko wap
Usiruke ruke Lesohoko tulia sindano iingie. Ni wewe uliyesema Chadema inacheza na akili, sijaona uhusiano wa kutafuta ndugu na kucheza na akili za watu. Endelea kueleza vizuri mnavyojiteka ili mcheze na akili za watu acha kujitilisha huruma kwa kukana maneno yako
 
Reactions: Tui
. CHADEMA inaogopwa sana kutokana na kuwa na nguvu kubwa ya ushawishi
2. Watanzania wanaosemwa kuwa wapole na watulivu ukweli ni kwamba wanaogopwa kuliko majeshi ya nchi jirani
3. Viongozi wetu wapo tayari kutumia nguvu kupitiliza na hawako tayari kufanya mazungumzo na kusikiliza haja za wananchi
4. Watanzania wakiwa na umoja wanatatua matatizo sugu mara moja
5. Serikali ya Samia imeendelea kujitangaza kwa jumuiya ya kimataifa kama serikali yenye kutumia nguvu kupindukia na hairuhusu njia ya
 
 
Zee comedy show
 
Chadema wanajisumbua Bure uku mtaani hakuna mtu anaye zungumzia kuhusu chadema Wala maandamano ni ujinga tu mmesha choka
 
Reactions: Tui

View: https://x.com/MzalendoDaily/status/1837552110617219082?t=LVtZmlec4yup8Ybdx_WY3g&s=19
 
Ushindi huu hapa 👇👇

View: https://x.com/ChademaTz/status/1837540066740023315?t=g5KAvKkQAxeQJC7ibAueJg&s=19
 
Kuvamia tena vikao vya ndani vya Chadema ndio kabisa Jeshi la Polisi na CCM wameshindwa vibaya na ni aibu kubwa kwa Samia!
 
Acha ujinga, fanyeni maandamano Kesho ndio mtajua hamjui
 
Reactions: Tui
Vyombo vya usalama vipo sahihi,Hata moto mkubwa unaanza na cheche ndogo, Hivyo waimalishe ulinzi ili kuzuia cheche hizo zisilete madhara,Hao wanaotaka kuandamana inawezekana hawajielewi,Tunaelekea kwenye uchaguzi na wameruhusiwa kufanya siasa sasa wao kila kukicha maandamano,Hadi sasa sera zao hazieleweki wakipewa uongozi wataifanyia nini nchi,Hovyo kabisa.
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…