Nguvu ya CHADEMA imeonekana nchi nzima na hofu ya vyombo vya dola ni kubwa sana. Je huu ni ushindi kabla ya mechi?

Tangu CHADEMA washikilie msimamo wa kuandamana tar. 23.09.2024, askari wamepata taabu sana. Wamekuwa wakizunguka huku na huko ili kutuliza joto la maandamano.
Pole sana askari wetu.
 
Safi kabisa walikuwa wanakaa tu hawafanyi nazoezi ya utayari hata nchi ikipatwa na taahuruki wawe wanaweza kutulinda sisi wananchi wa kawaida .
 
Tangu CHADEMA washikilie msimamo wa kuandamana tar. 23.09.2024, askari wamepata taabu sana. Wamekuwa wakizunguka huku na huko ili kutuliza joto la maandamano.
Pole sana askari wetu.
Ni mbinu kubwa sana CDM wamecheza hapo.
 
Halafu hawatalipwa watakuja hapa kulalamika posho zao wamekula wakubwa kama kawa! Kama ule mfuko wao ulikufa kifo cha kawaida na yakaisha kama kawaida kibongobongo
 
Nimekumbuka UKUTA.. afu nayo ilikuwa september. Wale wazee wa rohoni Mshana Jr na Rabbon hii inamaana gani kwa taifa letu.

Ukuta majeshi yote yalijitokeza kufanya usafi, hawa sasa wapo doria tu.
Tukifiata callendar OG ya Israel, mwaka wa uchaguzi 2025 uneshaingia.

Iwapo CCM itashindwa kuamua juu ya mtu sahihi wa kugombea nafasi nyeti Hasa Ile ya juu,

Upinzani utafaidika ikiwa nao wataungana na kupata mtu sahihi.

Tusubiri.
 
ishakuingia tayari lazima uweweseke 😀 ...pole
Unapambana kujibu lakini hujui unajibu nini. Hata kama ni roboti nakushauri kunywa maji upumzishe komwe kesho nayo ni siku utaendelea kufanya ka i yako😅😅😅
 
Kenge we!
 
Haya endeleeni kufanya maandamano wakati huo walioandaa maandamano haya wamejifungia manyumbani kwao.
 
Yaani tunataka hao polisi wakaa dar week nzima
 
Ni hivi, Chadema ilishaimaliza ccm miaka mingi mno! Sasa inamalizia kupambana na vibaraka wa ccm ambao ni Polisi
Binafsi hili la maandamano lishapita kwa mafanikio makubwa kwa CHADEMA.
Nasubiri tu wamalize kazi na "Serikali za Mitaa"; na hiyo 2025.

Chama ni lazima kielekeze nguvu zote katika malengo hayo.
 
Huu ndio ukubwa wa Chadema ambao vijana wengi Mamluki hawakuujua.

Sasa unapaswa kujiuliza kulikoni jambo hili kufanyika kabla ya maombolezo ya Kitaifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…