Nguvu ya matajiri itakapoanza kuchukua nafasi yake, kilio cha wanyonge kumlilia Dkt. Magufuli itazidi kusikika na wa kuwazuia hatakuwepo

Binadamu sijui ataridhika na nini,huku anasema kazi ya Mungu haina makosa,alafu kwa upande mwingine anamkosoa Mungu kwa kumchukua mja wake aliyempenda zaidi.

Nia ya Mungu haichunguziki kamwe,hatujui ana mpango gani wa kuiponya hii nchi.
 
watu wanaonyosha maelezo hivi mmebaki wachache nchi hii. inabid mlindwe kwa ajiri ya breeding.
 
Hawa watu wameharibu sana huu mji, posta sasa hivi ni chafu sababu ya wamachinga kila eneo na kariakoo nako hakupitiki barabara zote wapo wao tu. Mlipa kodi huna thamani mbele ya mmachinga sasa hivi.
Machinga hawatakiwi onewa huruma hata kidogo
 
Machinga hawatakiwi onewa huruma hata kidogo
Unazo sababu za Kwa nini hawatakiwi kuonewa huruma, ama wao si wamoja wetu ktk nji hii mkuu
 
RIP my best Tanzanian president of all times..

Go in peace Magufuli.
 
Mtegemee Muumba wewe Achana na ushirikina na Ramli chonganishi kama za kina millionaire Bashite na Dotto
 
Hawa watu wameharibu sana huu mji, posta sasa hivi ni chafu sababu ya wamachinga kila eneo na kariakoo nako hakupitiki barabara zote wapo wao tu. Mlipa kodi huna thamani mbele ya mmachinga sasa hivi.
Wanakera sana mkuu,sio siri, parking zote wamechukua wao
 
Hapo kwenye ujambazi na vibaka daah!!! Raisi Samia Suluhu Hassan naomba asimame imara Sana
 
Asante Rwazi1 kwa kutupa nguvu. Na hii kazi tumeifanya non stop bila kujali MATAGA na wale Lumumba Buk 7 ambao wanatetea kila upuuzi wa Meko
I
Hivi Kirefu cha MATAGA ndio hii

Mataga ni MAKE TANZANIA GREAT AGAIN
 
Badala ya matajiri kuwa watu wanaotisha wakawa watu wa chama.Yale yale tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…