Nguvu ya matajiri itakapoanza kuchukua nafasi yake, kilio cha wanyonge kumlilia Dkt. Magufuli itazidi kusikika na wa kuwazuia hatakuwepo

Moto ni ule ule,labda wajipange 2025 kuweka watu wao
 
Hoja ya kitoto hii mkuu, hujanishawishi
 
Utitiri wa Kodi na Kodi kandamizi zifutwe
Tuwe wakali mtu au Chama fulani kinapotuita "Wanyonge" Hilo ni neno baya sana
 
Ambae haamini ni yule asiyekubali kwamba Samia Suluhu Hassan ni rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapinduzi
Inabidi wafanye iwepo magufuli day

Ova
 
Kwahiyo sio wapinzani ndio walikua wakikwamisha maendeleo tena?

Halafu statement ya unyonge mimi sikubaliani nayo hata chembe hata maandiko yanakataza unyonge!

Pia hao matajiri wanaopigwa vita ndio ulitokea mdororo wa sekta binafsi...

Kwa sera zipi hizo nchi ilianza kupotea kwenye ramani ya uwekezaji wageni wanafunga biashara na kurudi kwao...

Mwisho niseme alilikuta deni la taifa na ameondoka limeongezeka so laiti kama angeweza kulishusha mimi ningesema siwezi kumpinga ila kwa sera zake nyingi alichemka just a one man show
 
Muabuduni sasa maana kila siku ni propaganda za magufuli toka aingie atuoneshe mnyonge aliyemsaidia akawa bilionea au milionea
 
Watu waliovunja mageti uwanja wa ndege JNA ndio watakaolia mara nyingine ikiwa yataachwa mambo yajiendee
 
Mwanga akishakujambia usiku,
Mchana hana shida na wewe

Tatizo lenu mnabadilika kama vinyonga.
Kila siku na hoja mpya

Siku ya kwanza ya maombolezo mlisema kakosa watu.

Leo mafuriko hadi uwanja wa ndege mmebadilika tena ,,,

--Mnasema
hata wachawi walikuwepo.
Mbona wewe hukwenda?

a traitor is always a traitor

Hakuna alichokipata Judas Iscariot zaidi ya majuto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…