Nguvu ya matajiri itakapoanza kuchukua nafasi yake, kilio cha wanyonge kumlilia Dkt. Magufuli itazidi kusikika na wa kuwazuia hatakuwepo

Nguvu ya matajiri itakapoanza kuchukua nafasi yake, kilio cha wanyonge kumlilia Dkt. Magufuli itazidi kusikika na wa kuwazuia hatakuwepo

Wanyonge ni wengi sio rahisi kuwamaliza😁
Sasa mtu miaka 6 unafanya umachinga tena kwa uhuru kabisa.

Bado maisha yako yale yale, mtaji haujakua. Hiyo ni kazi au juhudi za kubaki hai.

Kwanza hakuna machinga anafunga container China, Turkey au Dubai.

Machinga ni wachuuzi wa watu.

Inshort: Machinga ni mtaji wa both MATAJIRI na WANASIASA.

Ni suala la mtu mmoja kujielewa tu.
 
Ndiyo!
Nguvu ya matajiri ikiilemea serikali hii mpya, wanyonge watalitaja Jina la JPM Kwa uchungu mkubwa na hakuna atakayewazuia

Pale rushwa itakapowafanya wanyonge, wamachinga, wamama ntilie, bodaboda, bajaji n.k ambao idadi Yao ni kubwa mno Kwa sasa katika nchi hii kuanza kufukuzwa kwenye maeneo Yao ya kazi aliyokuwa amewaruhusu Jembe Lao JPM R.I.P kufanyia biashara zao,

Ndipo sauti zao na Kwa uchungu mkubwa zitasikika, wakimlilia Kwa upya tena JPM na Jina lake litatawala Kwa upya kwenye vyombo mbalimbali za habari kote Tanzania na hata duniani

Pale majambazi ya kupora muda wowote asubuhi mchana na Wakati wowote yatakapojitokeza, iwapo Serikali hii haitasimama Kiume, sauti za wananchi wengi watakapoanza kumlilia JPM Kwa upya, na watu watasema ni Bora alipokuwepo Jembe haya yalikoma,

Pale matajiri wakubwa watakapoizidi serikali ujanja aidha Kwa rushwa Ili wasilipe Kodi, na Kodi nyingi kuelekezwa Kwa wafanya biashara wadogo wadogo, watu hawa wataanza kumlilia upya Jembe lao, watasema, ni Kwa sababu hayupo JPM ndio Maana wananyanyaswa?

Ingawa Nina Imani kuuubwa Sana na Raisi wetu Madame SHS, kwamba ni jemedali na jasiri asiyeogopa na asiyerudishwa nyuma, Kwa kuwa pia ufanisi wa serikali hii Naamini ni Kwa sababu mama alisimama nyuma yake kuhakikisha tunakuwa hapa tulipo

Mbali na hayo, Sisi ni binadamu tunaweza kujisahau yakarudi hayo na yakawa sababu ya Jina la Jembe kutajwa kila pahala kuwa yeye alikuwa mwanvuli wa watu wa Chini na kujikuta Jina lake likitawala fikra zao na hata kutajwa Sana Kwa mema hayo kwenye midomo ya watu wanyonge!

Hayo yasipozingatiwa yataibua vilio vya watu hao

Mh Raisi Madame Samia suluhu Hasan Tunakuombea, kwani tunajua ilivyongumu kuongoza nchi bila ya Mungu Kusimama Mbele yako

Wasalaam
Ila nguvu ya polisi,usalama wa taifa,uhamiaji ,wakurugenzi ni bora kuliko matajiri wanaolipa kodi ambayo inawafanya hao wote walipwe mishahara yao????
 
Dalili zileeee!!!

Haipiti mwaka kila kitu kitakuwa wazi
Wale wakusema unanijua Mimi ni Nani hivi punde wataibuka, wanyonge Zama za usawa zinayeyuka mdogomdogo
 
Wewe unaandika takataka tu, mtu anakufa mara moja tu. Magufuli ameshakufa wewe subiri kifo chako.

Kutabiri sijui watakuja kumkumbuka ni kazi bure tu, kuna waliokuwa marais lakini nao walishakufa hivyo yeye sio wa kwanza na wala sio wa mwisho kufa, kila mtu atakufa kwa wakati wake.

Hivyo acheni unafiki wa kumfanya aonekane kama yeye ndiye alikuwa akiwapulizia watu oxygen, hizo ndizo ibada za sanamu alizokataa Mungu.
 
Wewe unaandika takataka tu, mtu anakufa mara moja tu. Magufuli ameshakufa wewe subiri kifo chako.

Kutabiri sijui watakuja kumkumbuka ni kazi bure tu, kuna waliokuwa marais lakini nao walishakufa hivyo yeye sio wa kwanza na wala sio wa mwisho kufa, kila mtu atakufa kwa wakati wake.

Hivyo acheni unafiki wa kumfanya aonekane kama yeye ndiye alikuwa akiwapulizia watu oxygen, hizo ndizo ibada za sanamu alizokataa Mungu.
Unazo sababu za Kwa nini unaropoka tu Mzee unasahau kwamba hata wewe kifo chako kinajulikana Kwa aliyekuleta, na Kwa nini unadhani ukifa usikumbukwe na watoto zako???

Kwani wewe ni mbwa?
 
Ndiyo!
Nguvu ya matajiri ikiilemea serikali hii mpya, wanyonge watalitaja Jina la JPM Kwa uchungu mkubwa na hakuna atakayewazuia

Pale rushwa itakapowafanya wanyonge, wamachinga, wamama ntilie, bodaboda, bajaji n.k ambao idadi Yao ni kubwa mno Kwa sasa katika nchi hii kuanza kufukuzwa kwenye maeneo Yao ya kazi aliyokuwa amewaruhusu Jembe Lao JPM R.I.P kufanyia biashara zao,

Ndipo sauti zao na Kwa uchungu mkubwa zitasikika, wakimlilia Kwa upya tena JPM na Jina lake litatawala Kwa upya kwenye vyombo mbalimbali za habari kote Tanzania na hata duniani

Pale majambazi ya kupora muda wowote asubuhi mchana na Wakati wowote yatakapojitokeza, iwapo Serikali hii haitasimama Kiume, sauti za wananchi wengi watakapoanza kumlilia JPM Kwa upya, na watu watasema ni Bora alipokuwepo Jembe haya yalikoma,

Pale matajiri wakubwa watakapoizidi serikali ujanja aidha Kwa rushwa Ili wasilipe Kodi, na Kodi nyingi kuelekezwa Kwa wafanya biashara wadogo wadogo, watu hawa wataanza kumlilia upya Jembe lao, watasema, ni Kwa sababu hayupo JPM ndio Maana wananyanyaswa?

Ingawa Nina Imani kuuubwa Sana na Raisi wetu Madame SHS, kwamba ni jemedali na jasiri asiyeogopa na asiyerudishwa nyuma, Kwa kuwa pia ufanisi wa serikali hii Naamini ni Kwa sababu mama alisimama nyuma yake kuhakikisha tunakuwa hapa tulipo

Mbali na hayo, Sisi ni binadamu tunaweza kujisahau yakarudi hayo na yakawa sababu ya Jina la Jembe kutajwa kila pahala kuwa yeye alikuwa mwanvuli wa watu wa Chini na kujikuta Jina lake likitawala fikra zao na hata kutajwa Sana Kwa mema hayo kwenye midomo ya watu wanyonge!

Hayo yasipozingatiwa yataibua vilio vya watu hao

Mh Raisi Madame Samia suluhu Hasan Tunakuombea, kwani tunajua ilivyongumu kuongoza nchi bila ya Mungu Kusimama Mbele yako

Wasalaam
Acha kubweteka Unyonge siyo Hali ya Kujisifia. Una macho mawili, Miguu, mikono,akili, Afya,masikio bado wajiita Mnyonge? Ondokeni kwenye Barabara na njia za Watembea Kwa Miguu mijini la sivyo Sheria itakutoeni
 
Mataga mnatapatapa, hamuamini majicho yenu.
 
Na hiyo ndio shida aliyotuachia, alitaka kufanya kila kitu mwenyewe badala ya mfumo ndio maana tunaona bila yeye hakuna kitakachofanyika, akalazimisha tuamini hivyo na wengine mukaamini, sikatai ukali wake kuna sehemu ulisaidia lakini kuna sehemu ulivurunda, tumuombee mama ajenge mfumo mzuri wa kuwajibishana pale kwenye makosa, Nchi iende kama Nchi na sio kwa matakwa ya mtu.
Amen!
 
Bado kidogo, mara sjui kuna wenye mitambo ya umeme JPM aliyokuwa ameikataa Kwa uwizi na unyonyaji wao, sasa wapo Kwa mazungumzo ya kurudi tena, pole pole tunaanza kurudi tulikokuwa!!

Mungu, mpe ujasiri Raisi wetu, hatutaki kurudi nyuma tena
 
Upo sahihi songas wanarudi kwa kasi kutaka mkataba uongezwe baada ya jpm kuondoka mana aliwahakikishia mwisho wao mkataka ukiisha, rest in peace jpm
Bado kidogo, mara sjui kuna wenye mitambo ya umeme JPM aliyokuwa ameikataa Kwa uwizi na unyonyaji wao, sasa wapo Kwa mazungumzo ya kurudi tena, pole pole tunaanza kurudi tulikokuwa!!

Mungu, mpe ujasiri Raisi wetu, hatutaki kurudi nyuma tena
 
Sasa mtu miaka 6 unafanya umachinga tena kwa uhuru kabisa.

Bado maisha yako yale yale, mtaji haujakua. Hiyo ni kazi au juhudi za kubaki hai.

Kwanza hakuna machinga anafunga container China, Turkey au Dubai.

Machinga ni wachuuzi wa watu.

Inshort: Machinga ni mtaji wa both MATAJIRI na WANASIASA.

Ni suala la mtu mmoja kujielewa tu.
wanyonge ilikuwa ni utapeli wa ccm mpya kuwatapeli na kufanya wananchi mandondocha na misukule,usikubali kuitwa mnyonge,kamweee!!
kama mnyonge a;pendwa angetafutiwa ajira za kueleweka na kutabirika. sio uchuuzi wa chupi!! uwekezaji kwenye kilimo, biashara au viwanda ndio namna ya kuzalisha ajira zinazotabirika....
unaita watu wamyonge huuku unawaibia cash 1 bilion kwenye viroba cash, huku unatoroshea madini yao
 
Mtahangaika sana lakini Mungu ndio hakimu wa haki , Jiwe harudi hata mfanyaje , hata muandike threads milion , wapi bye-bye marehemu Jiwe .
 
wanyonge ilikuwa ni utapeli wa ccm mpya kuwatapeli na kufanya wananchi mandondocha na misukule,usikubali kuitwa mnyonge,kamweee!!
kama mnyonge a;pendwa angetafutiwa ajira za kueleweka na kutabirika. sio uchuuzi wa chupi!! uwekezaji kwenye kilimo, biashara au viwanda ndio namna ya kuzalisha ajira zinazotabirika....
unaita watu wamyonge huuku unawaibia cash 1 bilion kwenye viroba cash, huku unatoroshea madini yao
Lipi Bora, wangeendelea kumwagiwa biashara zao na migamboo ama??
 
Back
Top Bottom