NGUVU YA TANZANIA NA KUITAWALA EA KIMAWAZO

Hata kenya pia kuna uchawi hata mabwana zenu wazungu pia wana uchawi,
Endelea kusubiri, wacha nikuignoo tu.
Mda ndio utasema...manake nyinyi kw uchawi tu...mpka ma star wanarogana...itakuja kw uchaguzi
 
Lini ccm iliwanunulia chakula kule kwenu usukumani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi ya serikali ni kuhakikisha kila mtu anao uwezo wa kupata chakula, ni aibu kusikia kila mwaka mnapewa chakula cha msaada, kwanini serikali yenu inapokea hicho chakula, kwanini wasiseme sio jukumu la serikali kuwapatia watu chakula?. Mnatutia aibu kwa kufa kwa njaa kila mwaka, na kusaidiwa chakula.
 

Usiseme Sisi, sema mimi.
 
Tanzania Ni Baba wa East Afrika Kenya Mke Mkubwa,Unganda Mke Mdogo,Burundi Na Rwanda Watoto Wetu
[emoji2] [emoji3] [emoji1] inabidi tukazane, tuongeza watoto. Zanzibar ni nje ya ndoa.
 
Mda ndio utasema...manake nyinyi kw uchawi tu...mpka ma star wanarogana...itakuja kw uchaguzi

Wale night runners ni gospel preachers??
Unasema Kenya hamnaga wachawi, una akili kweli wewe!!?
 
Ndio maana tukikohoa mnaitika,
Tukigoma kuwauzia mahindi mnakuja huku mmepiga magoti.

Nyie maskini hamna jeuri hiyo, ni kwamba mara nyingi huwa hamna mahindi ya kutosha, hivyo inawalazimu msiuze maana mkiuza watu wenu wanaishia kula viwavi.
 
Vipi wale wajaluo wanaouliwa na Jubilee kila uchaguzi, na wakenya wanaochinjwa na Alshabaab, nyama zao mbawapelekea Turkana kupooza njaa?
 
Unajiingiza kidole m*takoni na kucheka mwenyewe. Wacha kujisifu, ngoja usifiwe
 
Lini serikali yetu haikupeleka misaada turkana?
Ama ilkua wataka wataka wakawalazimishe kw lazima wawe wakulima...
Misaada tutapokea mpka ile siku mtakataa kupokea mgao wa bajeti yenu
 
Ila nynyi ndio mnaongoza duniani...yani mnachanja mbuga usiku kucha...
Hata kenya pia kuna uchawi hata mabwana zenu wazungu pia wana uchawi,
Endelea kusubiri, wacha nikuignoo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…