Vipi wale wajaluo wanaouliwa na Jubilee kila uchaguzi, na wakenya wanaochinjwa na Alshabaab, nyama zao mbawapelekea Turkana kupooza njaa?
Ni uzembe wa serikali yenu, rushwa, ufisadi na ukabila,
Kwann hawajaanzisha miradi ya umwagiliaji,
Ile miradi mikubwa ya umwagiliaji ilienda wapi? Bla bla tu hapa.
Una njaa ndio maana uwezo wa kufikiri unapungua daily.
Kwn hyo miradi ilikua ni ya kuzalisha chakula na kugawia watu bure...vyakula vitele madukani...so kila mtu na uwezo wake aliyemjalia Mungu....so km hutaki kujilimia...piga kazi upate hela au hta wauze mifugo
Anza kuwakanya nyumbani kwanza harafu ndo uje kwa majiraniPunguza jazba mjomba...uchawi lazime muache..mwenzako akiendelea una mroga...maisha gani hayo...mpka ma star..yani nilicheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio tatizo lako, ukabila ndio unakusumbua.
Anza kuwakanya nyumbani kwanza harafu ndo uje kwa majiraniView attachment 1195161
Kwhyo we watakaje...walazimishwe walime?
Ama unataka serikali iwalishe sio?
Kemu toa mawazo..manake km ni biashara hawataki..na hta km njaa inwauma hawafikirii hta kuuza mifugo hata pia kuchinja wale nyama..kazi yao ni kununua mabunduki tu...
Many Kenyans dont know anything about Tanzania bruh.kwanini wakenya wengi wanapenda kujua nini kinaendelea Tanzania kuliko watanzania wanao fuatilia habari za kenya
nipe mfano...Kwanini misemo mingi ya mtaani inayotokea tanzania utaikuta na kenya wameisha dakia ila misemo ya kenya huwezi kuikuta tanzania
Yeah economically we are the taller dwarfLicha ya kuwa Kenya inaizidi Tanzania uchumi
Najua waTz wanakipenda Kiswahili but utapata mskuma akisema kiswahili ni lugha ya Tz si ya kenya yet pwani kenya kuna waswahili wenyewe. Their L1 languagealiyekwambia kiswahili kinatokana na makabila ya bongo nani? kiswahili asili yake ni pwani ya afrika mashariki kuanzia kenya hadi sofala msumbiji, hivyo kiswahili pia kenya ni nyumbani, tena mombasa na wakenya wasomi wanazungumza kiswahili kizuri kuliko sisi
Joto La Jiwe gets suicidal akiskia Kenyan economy is biggerHapo hapana,,tukubali tusikubali,,,tutake tusitake,,uchumi wa Kenya ni mkubwa kuliko wetu Tanzania,,wewe angalia tuu bajeti yao ya mwaka linganisha na yetu jiulize kwa nini ni kubwa hivyo
Unaongea as if Tanzania is a developed world where non of that exists?Ni uzembe wa serikali yenu, rushwa, ufisadi na ukabila,
Kwann hawajaanzisha miradi ya umwagiliaji,
Ile miradi mikubwa ya umwagiliaji ilienda wapi? Bla bla tu hapa.
Una njaa ndio maana uwezo wa kufikiri unapungua daily.
Nigerians wako waaay worseNa ninyi kwa kubaguana kwa ukabila, mnaongoza Africa
Ushapata mgao wako wa mahindi?4.kwanini wakenya wengi wanapenda kujua nini kinaendelea Tanzania kuliko watanzania wanao fuatilia habari za kenya
Itakuwa umetoka kwa ngariba kutiwa sunna asubuhi ya leo wewe deecarter
Wanasiasa wenu hatuwajui ilhali nyie mnajua hadi mawaziri wa Kenya. Mna makamu wa rais kweli? Mke na watoto wa magufuli hawajulikani, pengine wanamuziki wenu pekee hususan WCB members
Unaongea as if Tanzania is a developed world where non of that exists?