NGUVU YA TANZANIA NA KUITAWALA EA KIMAWAZO

nimejifunza.!!

udhaniao ni wakenya sio,hao ni wabongo;na pia udhaniao ni wabongo Kumbe sio;hao ni wakenya.

ni virce verse.!!

usihukumu nawe usije hukumiwa
 
Na ninyi kwa kubaguana kwa ukabila, mnaongoza Africa
Wewe unatakiwa ufanye skin bleaching kabisa ndio watanzania wenzako wakuone wewe ni albino wakuchinje na roho yako mbaya.Nyie mnaongoza dunia yote kwa kutafuna albinos.
 
Hata kenya pia kuna uchawi hata mabwana zenu wazungu pia wana uchawi,
Endelea kusubiri, wacha nikuignoo tu.
Tanzania yote ni kama stadium ya michezo ya uchawi huko uchawi upo kila kona . Kenya sijawahi kusikia ati uchawi upo central Kenya, pande zote za wamaasai ,north eastern hakuna,Turkana haipo na kwingineko kama Meru na Isiolo.
 
Mnatawala kwa mambo ya kijinga hivi nyie Tanzania?

Kenya inatawala kiuchumi ,
Kimichezo ya kimataifa ,
Mawasiliano na Mtandao .
Biashara za kimataifa.
Usafiri wa angani
Uwanja wa ndega mkubwa zaidi.
Makao makuu ya kimataifa
MaKampuni kubwa zaidi .
Nguvu zaidi za umeme.
Bandari bora na kubwa zaidi.
Bajeti kubwa zaidi .
Vifaa zaidi vya kijeshi.
...na mengine mengi .
 
Bahati mbaya sana tunawajua Uhuru, Rutto na Raila sasa wewe unayesema eti tunawajua hadi mawaziri sijui hizo takwimu unazitoa wapi!
 
Wewe unatakiwa ufanye skin bleaching kabisa ndio watanzania wenzako wakuone wewe ni albino wakuchinje na roho yako mbaya.Nyie mnaongoza dunia yote kwa kutafuna albinos.
Hahahaha, kila uchaguzi mnawachinja wajaluo, nyama mnasambaza Turkana kupunguza njaa, stupid Kunyans. Dunia ya Leo bado mnaendekeza ukabila.
 
Tanzania yote ni kama stadium ya michezo ya uchawi huko uchawi upo kila kona . Kenya sijawahi kusikia ati uchawi upo central Kenya, pande zote za wamaasai ,north eastern hakuna,Turkana haipo na kwingineko kama Meru na Isiolo.
Uchawi ni pamoja na kufa njaa na kupata kwashakoo huku asilimia 80 ya ardhi ikimilikiwa na mabwanyenye weusi!
 
Najua waTz wanakipenda Kiswahili but utapata mskuma akisema kiswahili ni lugha ya Tz si ya kenya yet pwani kenya kuna waswahili wenyewe. Their L1 language
Nikupe siri kwa nini pwani ya Kenya wanaongea kiswahili kizuri ?.kwasababu kuna muingiliano mkubwa na watu wa tanga na Zanzibar hivi ujiulizi kwa nini Kenya kiswahili kizuri kinapatikana Mombasa na sio Nairobi ambalo ndio jiji kuu lakini TANZANIA utakipata kiswahili kizuri Nchi nzima kuanzia DSM . ukitumia akili utajua ukwel
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
Na hao wasukuma unaowazungumzia TZ tuna makabira zaidi ya 121 sio kama huko kwenu Nchi nzima vikabila viwili tu ndio maana ukabira unakua kama timu ya mpira kila mtu anashangilia upande wake, sasa bac ktk kabira hizo 121 zingine zinaishi kwa ufugaji kwahiyo maisha yao sana wanaishi porini zinafuata sana mila toka utoto wanaongea kilugha tu ndio maana hawaongei kiswahili kizuri na sio Wasukuma tu kuna na wamang'ati kama hujui wamasai kwahiyo ukimuona msukuma anaongea kiswahili hakieleweki bc huyo ujue alikua mchunga mifugo maporini lakini sio wasukuma wote hawajui kiswahili hapana kwanza mjini Kahamahumo kote wamejaa wasukuma wanaongea vizuri tu iwezi kushindanisha na kiswahili cha Nairobi, kama ulikua hujui bac ndo hivyo .
 
Tunajua nyie ndio mnatafuta News za Kenya hata channels za Kenya mnapenda Sana
😁😁😁
 
Kwa hilo sina uhakika lakini mm binafsi Chanel ya Kenya nayoijua Citizen tu na sijui hata kipindi kimoja wala cjawahi kuangalia japo hata kwa dakika 5 maana hata kukiwa kuna kipindi cha kiswahili lakini kiswahili wanachoongea utazani labda hawajaenda shule walikua wafugaji porini huko ndo wakachukuliwa wakawekwa kwenye kipindi lugha haina hata mvuto Mimi hata cjui naangalia nini wanavyoongea kama vile comedy sasa Mimi na comedy za kuongea ovyo ovyo tofauti .
Soma taratibu hizo comments afu ufungue Hilo bakuli lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…