Nguvu ya ushawishi wa Rais Samia imeongezeka maradufu mpaka inatishia uwepo wa upinzani na kutamani asigombee

Nguvu ya ushawishi wa Rais Samia imeongezeka maradufu mpaka inatishia uwepo wa upinzani na kutamani asigombee

Kwa nini tunaweka malengo ya kesho wakati hatujuhi kama tutakuwepo sekunde Moja mbele?
Ana ushawishi lakini hataki tume huru ya uchaguzi! Hizi ndio zile porojo za enzi za dhalimu magu, kwamba anakubalika lakini hataki wenzake watangazwe kwenye kampeni kisha akaishia kupora uchaguzi! Chawa mnawachanganya viongozi wenu wanaishia kuamini porojo zenu, ukifika wakati wa uchaguzi wanaishia kupora kura.
 
Usilolijua ni kama usiku wa kiza. Hakuna kikundi chochote kilichoanzishwa na Rais Samia bali vikundi hivyo wameanzisha watanzania wenye mapenzi mema ambao wanashawishika kuelezea kazi nzuri za Rais wetu.

Tofautisha kati ya kuanza kufanya kampeni mapema na kufanya siasa. Kuanza kampeni mapema ni kitendo ambacho kinafanyika kipindi ambacho kisheria, kikanuni na kikatiba mchakato wa kampeni umeanza na mtu inasemwa ameanza kampeni mapema ikiwa tu kabla ya mchakato Fulani kumaliza yeye kaanzisha mchakato mwingine.

Mfano, wakati wa uchaguzi mkuu kulingana na ratiba ya NEC Kuna kipindi cha kuchukua fomu ,kurejesha fomu ,kuteuliwa kugombea na kufanya kampeni. Ikitokea mtu kabla ya kuteuliwa kugombea akaanza kujinadi hapo ndipo tunasema kaanza kampeni mapema.

Ila Kwa Sasa ,Kwa sababu hakuna ratiba ya uchaguzi iliyotoka wala hatupo kipindi cha uchaguzi hapo tunasema anafanya siasa.
Naona unapost na kujijibu mwenyewe! Ww na Lucas mwashambwa ni nani chawa senior, maana ww unasahau kuweka namba ya simu.
 
Hivi umewahi kushuhudia hiki kituko. Tume inapotangaza mgombea wa CCM huko namtumbo kashinda malalamiko yanakuwa mengi kuwa tume siyo huru lakini tume hiyo hiyo inapotangaza mgombea wa CHADEMA huko mbeya kashinda inasifiwa kuwa ni tume huru.

Kwa mtazamo huo msitegemee kuona mnachotaka maana tume hiyo hiyo mnaipa majina tofauti kulingana na matamanio yenu
Ana ushawishi lakini hataki tume huru ya uchaguzi! Hizi ndio zile porojo za enzi za dhalimu magu, kwamba anakubalika lakini hataki wenzake watangazwe kwenye kampeni kisha akaishia kupora uchaguzi! Chawa mnawachanganya viongozi wenu wanaishia kuamini porojo zenu, ukifika wakati wa uchaguzi wanaishia kupora kura.
 
Hivi umewahi kushuhudia hiki kituko. Tume inapotangaza mgombea wa CCM huko namtumbo kashinda malalamiko yanakuwa mengi kuwa tume siyo huru lakini tume hiyo hiyo inapotangaza mgombea wa CHADEMA huko mbeya kashinda inasifiwa kuwa ni tume huru.

Kwa mtazamo huo msitegemee kuona mnachotaka maana tume hiyo hiyo mnaipa majina tofauti kulingana na matamanio yenu
Ni wapi hiyo tume inasifiwa ww, madai ya tume huru ni toka mfumo wa vyama vingi vya siasa. Hiyo tume ikimtangaza mpinzani hakuna popote inaposifiwa maana sio hisani Bali ni wajibu wake. Sana sana watu huwa wanashangaa wametoa wapi uthubutu wa kumtangaza mpinzani.
 
Ni wapi hiyo tume inasifiwa ww, madai ya tume huru ni toka mfumo wa vyama vingi vya siasa. Hiyo tume ikimtangaza mpinzani hakuna popote inaposifiwa maana sio hisani Bali ni wajibu wake. Sana sana watu huwa wanashangaa wametoa wapi uthubutu wa kumtangaza mpinzani.
Sasa kama ni wajibu kutangaza ushindi Kwa mshindi mbona mnalalamika inapotekeleza wajibu wa kutangaza kushindwa?

Tofauti na michezo mingine ambayo ina matokeo ya sare( draw) ,matokeo ya mchezo wa siasa yanaumiza sana kutokana na kukosekana Kwa sare ni ama umeshinda au umeshindwa. Matokeo ya kushindwa ni mabaya kama hukujiandaa kuyapokea.

Naishauri Serikali ianzishe huduma ya ushauri nasaha Kwa watu kuweza kuyakubali matokeo na kukubali kushindwa.
 
Mkuu ingalikuwa ni vyema kama hoja yako ingalishadadiwa na takwimu ili kuweza kuthibitisha ongezeko hilo la mara dufu la ushawishi wake katika "clusters" tofauti za watu, mathalani, wafanyakazi, wakulima, wafanyabiashara, na maeneo mengine.
Nimepokea ushauri wako, mara nyingine nitaelezea Kwa takwimu
 
Sikutaka kusema haya lakini ni bora niyaseme Sasa ili 2025 baada ya kampeni ndefu ninayokusudia kuifanya inayokwenda kwa jina la 2025 MPE MAMA TABASAMU kukamilika na matokeo kuonekana ,isije ikatokea watu wakapotoshwa na upotoshaji ukageuka ukweli, Kwa hiyo mada hii inabaki kuwa kumbukumbu ya rejea ya yatakayo tokea mbeleni.

Kampeni ya 2025 MPE MAMA TABASAMU ni sehemu ya mpango mkakati wa kujitolea kuufahamisha Umma juu ya kazi nzuri za Rais Samia, mara nyingine Umma unatakiwa kujulishwa ili ujue zaidi maana isipofanyika hivyo Kuna mwingine anaweza kuchukua nafasi ya kufanya hivyo.

2025 MPE MAMA TABASAMU imezingatia vigezo na sifa zifuatazo:
Kwanza, imezingatia uchapakazi wa Rais Samia, kama Rais Samia asingekuwa mchapakazi kampeni hii isingekuwa na maana na ingekosa uhalali.

Pili , imezingatia uongozi bora wa Rais Samia. Kila Kona ya dunia inatambua Rais ni kiongozi bora. Kiongozi bora ni lazima apewe TABASAMU.

Tatu, imezingatia nguvu ya ushawishi aliyonayo Rais Samia Kwa Sasa. Ni kubwa sana si tu Kwa hapa Tanzania bali Afrika na Dunia Kwa ujumla hivyo nguvu hiyo itakuwa ni msingi mkubwa wa utekelezaji wa kampeni hiyo adimu.

Kwa Leo, tuziweke kando sifa namba 1 na 2 na tujikite zaidi kwenye sifa namba 3 ambayo ni nguvu ya ushawishi.

Sitaki kujitia upofu kwamba sioni hata yanayoonekana, ninaona wala sisimuliwi. Ninaona nguvu ya ushawishi ya Rais wetu imeongezeka maradufu na inazidi kukua Kila siku na nguvu yake imekuwa ni tishio Kwa wapinzani wake wa kisiasa.

Kutokana na kuongezeka nguvu yake maradufu, Rais wetu anatazamwa kama mtu aliyeshinda 2025 kabla ya shindano kuanza. Nguvu hiyo ni tishio kweli kweli.

Ili wapinzani wake waonekane nao wamo na nguvu ya ushawishi ya Rais si lolote wameanzisha kampeni ya kuonesha Kila kinachofanywa na Rais Samia si chochote na zaidi wanatamani 2025 ASIGOMBEE.

Kwa kuwa utaratibu, utamaduni ,desturi na miiko ya CCM inajulikana kwenye suala la kugombea Kwa kiongozi anayeendelea ili kumalizia kipindi cha awamu ya pili basi 2025 MGOMBEA WA CCM NI RAIS SAMIA kama hakutakuwa na sababu yoyote itakayokuja nje ya uwezo wa kibinadamu.

Nguvu ya ushawishi wa Rais Samia inachagizwa na unyenyekevu, upole, uwezo wa kufanya maamuzi, ufuatiliaji na utendaji wake.

Kwa kuwa nguvu ya ushawishi ya Rais wetu ni kubwa sana hivyo si vema kushindana nayo maana kufanya hivyo ni sawa na jaribio la kujitoa muhanga.
Kwi Kwi Kwi
 
Sawa Lucas Mwashambwa umekuja kwa ID nyingine. Makelele ni mengi kuliko uhalisia.
 
Sikutaka kusema haya lakini ni bora niyaseme Sasa ili 2025 baada ya kampeni ndefu ninayokusudia kuifanya inayokwenda kwa jina la 2025 MPE MAMA TABASAMU kukamilika na matokeo kuonekana ,isije ikatokea watu wakapotoshwa na upotoshaji ukageuka ukweli, Kwa hiyo mada hii inabaki kuwa kumbukumbu ya rejea ya yatakayo tokea mbeleni.

Kampeni ya 2025 MPE MAMA TABASAMU ni sehemu ya mpango mkakati wa kujitolea kuufahamisha Umma juu ya kazi nzuri za Rais Samia, mara nyingine Umma unatakiwa kujulishwa ili ujue zaidi maana isipofanyika hivyo Kuna mwingine anaweza kuchukua nafasi ya kufanya hivyo.

2025 MPE MAMA TABASAMU imezingatia vigezo na sifa zifuatazo:
Kwanza, imezingatia uchapakazi wa Rais Samia, kama Rais Samia asingekuwa mchapakazi kampeni hii isingekuwa na maana na ingekosa uhalali.

Pili , imezingatia uongozi bora wa Rais Samia. Kila Kona ya dunia inatambua Rais ni kiongozi bora. Kiongozi bora ni lazima apewe TABASAMU.

Tatu, imezingatia nguvu ya ushawishi aliyonayo Rais Samia Kwa Sasa. Ni kubwa sana si tu Kwa hapa Tanzania bali Afrika na Dunia Kwa ujumla hivyo nguvu hiyo itakuwa ni msingi mkubwa wa utekelezaji wa kampeni hiyo adimu.

Kwa Leo, tuziweke kando sifa namba 1 na 2 na tujikite zaidi kwenye sifa namba 3 ambayo ni nguvu ya ushawishi.

Sitaki kujitia upofu kwamba sioni hata yanayoonekana, ninaona wala sisimuliwi. Ninaona nguvu ya ushawishi ya Rais wetu imeongezeka maradufu na inazidi kukua Kila siku na nguvu yake imekuwa ni tishio Kwa wapinzani wake wa kisiasa.

Kutokana na kuongezeka nguvu yake maradufu, Rais wetu anatazamwa kama mtu aliyeshinda 2025 kabla ya shindano kuanza. Nguvu hiyo ni tishio kweli kweli.

Ili wapinzani wake waonekane nao wamo na nguvu ya ushawishi ya Rais si lolote wameanzisha kampeni ya kuonesha Kila kinachofanywa na Rais Samia si chochote na zaidi wanatamani 2025 ASIGOMBEE.

Kwa kuwa utaratibu, utamaduni ,desturi na miiko ya CCM inajulikana kwenye suala la kugombea Kwa kiongozi anayeendelea ili kumalizia kipindi cha awamu ya pili basi 2025 MGOMBEA WA CCM NI RAIS SAMIA kama hakutakuwa na sababu yoyote itakayokuja nje ya uwezo wa kibinadamu.

Nguvu ya ushawishi wa Rais Samia inachagizwa na unyenyekevu, upole, uwezo wa kufanya maamuzi, ufuatiliaji na utendaji wake.

Kwa kuwa nguvu ya ushawishi ya Rais wetu ni kubwa sana hivyo si vema kushindana nayo maana kufanya hivyo ni sawa na jaribio la kujitoa muhanga.
Hii ndio Tz..nchi yenye werevu 10% na wapum.bavu 90%
 
Samiah Hana ushawishi kabisa. Ndipo maana kaanza kampeni mapema kabla ya muda. Mara Samiah Queens mara chawa wa Samiah BLA BLA nyingi, wakati upinzani wapo kimya. Ila kwenye siasa wiki moja ni kubwa Sana.
Vita kapo wekwa vibonzo akiwa anakula Bata Uarabuni wiki Moja kabla ya kupigia kura ndipo Maza atajuwa Watanganyika sio viumbe sahihi
Amuulize Salim Ahmed Salim alichofanywa na Boys group Naikumbukwe wakati ule kulikuwa hakuna mitandao
Izingatiwe jinsia yake namshauri Maza aachane na Wahafidhina wa CCM sio Watu wazuri kabisa!!!
Ukifuatili kwa kina zile Punch za Mlimani wakati ule wa Mwinyi ndio hao hao walio zianda
Maza waogope kama Ukoma sio Watu Wazuri kabisa
Hiyo MKonda unaye mtegemea alikuwa anamfunga Jamba za viatu Rizi Moko Lakini ndiyo huyo huyo alikuja kumpandikizia Rizi kesi ya kunyongwa ya uuzaji wa madawa ya kulevya bila aibu sembuse wewe Maza
Ushauri wangu
Wajukuu watamu kacheze nao ukiwa raia huru kuwa mtu wa kujificha ficha katika umri wako haipendezi
Waachie hao Mahafidhina liinchi lao kama Baba wa Taifa alivyo muachia Mzee Rip Ruksa
 
Mama Samia keshapoteza uelekeo hata akigombea udiwani huku bara hapati nyie endeleeni kumdanganya Kwa maslahi yenu lakini mama huyo hakubaliki hata kidogo na ndio maana mmeanzisha kampeni mapema mkidhani mnamuokoa kumbe mnamzamisha
 
Back
Top Bottom