Nguvu za giza na mizimu ya ukoo

TRUE MKUU
 
nilianza na kuumwa homa za ajabu ajabu, mwili kuchoka, dalili za homa ya Presha.



Ulipima damu kubwa mkuu?
 
Sawa mkuu, achabnipite kwenye website yake
Usikate tamaa,

Una kitu kikubwa ndani Yako, ndo sababu unapitia vita kubwa.

Ukishinda vita na kubomoa madhabahu ya Mizimu ya ukoo wenu, utakuwa lango la Ukoo wote kuokoka na kufanikiwa katika Kila nyanja, kielimu, kiimani, kiuchumi, kiuzao nk nk.

Ubarikiwe sana, mwana wa Mungu aliye hai.

Amen
 
Wewe ndio unashida wala hakuna mizimu wala nguvu za giza.

Ukisha uaminisha ubongo wako na Akili yako kwamba kitu fulani ndicho chanzo cha matatizo yako, Basi ubongo wako uta respond hivyo hivyo.
Mkuu jibu ili apa
 
Wachangiaji hapo juu wanaipinga hiyo ibada,sijajua mapungufu ya hiyo ibada.
Kama ni sadaka kote zinahitajika kwa kiwango kisichopishana, masharti yanafanana
Utofauti mizimu inatumia mabavu yani inakulazimisha ufanye wanavyotaka, wanakutesa kama ambavyo jamaa alivyoeleza.
 
Nilipokua mwanzo nahanagika upande wa Giza niliambiwa nasumbuliwa na hizo roho na wazee nyumba waliniambia hivyo hivyo
Hakuna cha wazee. Mtu akifa, kafa.

Unachezewa na watu wabaya kwa kisingizio cha mizimu.

Ikomboe roho yako kabla haijapotea mazima.
 
Jina la mungu aliyeuliwa ,upuuzi
 
Huo ni mtazamo wa kwamba wenye pesa hawana shida kama hizi? Nakumbuka niliwahi kusoma na mtoto mmoja wa kiarabu, ilikuwa ikifika saa nne asubuhi baada ya kutoka mapumziko basi lazima aanze fujo atarusha viti, atajibamiza ubaoni yani vurugu tupu hadi anakuja baba ake anamchukua.
Inasemekana katupiwa kitu kibaya na lengo asisome, ukimuona usoni ana makovu kwa ajiri ya kujipigiza ukutani na anaham hama shule kwa ajiri hiyo.
 
Mkuu hilo ndio suluhisho au huduma ya kwanza?
Hilo ndio suluhisho mkuu hakuna zaidi ya hapo.

na pia awe na kumbukumbu kama kuna siku aligombana na wazazi wake na wakamtamkia maneno makali..kwahiyo inabidi pia apate muda wa kutuliza akili.

Kwenye haya maisha kila stori za maisha anayopitia au aliyopitia lazima itakupa huzuni.

Hata hao wenye pesa walipitia wakati mgumu au pengine wanapitia wakati mgumu pia.
 

Kama kijana wa miaka 30 anaenda kwa mganga vipi akifikisha miaka 50 huko?

Nenda hospitalini kwanza acha ilani za kijinga
 
Sawa mkuu.
 
mkuu pole sana ila ninachokushauri hayo mambo ya kimila usiyapuuze, NARUDIA TENA USIYAPUUZE ........why? ninapofanya kazi kuna staff alikumbwa na changamoto flani akawa kachanganyikiwa kabisa na zilipofanyika juhudi za maombi ndio hali ikwa worse zaidi. Ilibidi arudishwe kwao kwenye mishe za kimila mambo yakawa sawa na yupo fresh sasa.

NB. Jamaa nae ni msukuma na tatizo lake pia lilichagizwa na mizimu ya huko kwao.... ukipuuza shauri yako ila huu ni ushauri tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…