Nguvu za kiume na nguvu za kike, wanaume hatulalamiki

Nguvu za kiume na nguvu za kike, wanaume hatulalamiki

Mwaka Jana,
Nilileta Uzi wa maudhui kama Huu,
Sema wengi humu hawakuchukulia serious.ila Ni wengi TU tunateseka na hili.

Afu bado Kuna mtu anashangaa kwann wanaume wengine
tunakua na Michepuko.

Kiuhalisia Hali Hii tusidanganyane mwanamke mmoja hatoshi kabisa.

Tukinga'angana ndo Yale tunapewa kesi za ubakaji ndani ya ndoa.

Hivi nyie wanawake
Kwanini mnatupuuza?
Hivi mnataka hiki kilio chetu Nani atusikilize jamani?[emoji22]View attachment 2397484
Wa kukuelewa tumekuelewa
 
Show tamu nalalaje sasa? Ukiona
nalala ujue hakuna ulifanyalo.
Daaah! Bado mnatulaumu wanaume tena. Tunataka ushirikiano kwenye tendo jamani

Mleta uzi anasema hivi: Wapo wanawake ambao kitandani wanajua kujiachia sana, atakupa hadi utosheke mwenyewe, ni safari juu ya safari, mnabebana kwenda kuoga safari zinaendelea tu

Namna hiyo yaani 😅
 
Daaah! Bado mnatulaumu wanaume tena. Tunataka ushirikiano kwenye tendo jamani

Mleta uzi anasema hivi: Wapo wanawake ambao kitandani wanajua kujiachia sana, atakupa hadi utosheke mwenyewe, ni safari juu ya safari, mnabebana kwenda kuoga safari zinaendelea tu

Namna hiyo yaani 😅
😂😂😂Ila kunawanaume wanachosha Jamani mwingine bao refu kama la Aziz ki😂😂
 
😂😂😂Ila kunawanaume wanachosha Jamani mwingine bao refu kama la Aziz ki😂😂
🤣🤣🤣

Itakuwa bao la pili hilo ndo huwa linakuwa refu. Kwani nyie mnataka bao lichukue muda gani mridhike? Kuna mmoja naye alikuwa analalamika bao likiwa refu anahisi kama anabakwa
 
Nahisi wakati nanyandua kademu Kuna kitu nagusa kwa ndani kwenye mbususu yake na Ni Kama anaumia hivi ,je hii Ni kawaida au Ni tatizo
 
Pesa zangu utake moto utake kwa ratiba. Haupo huo msamiati kwangu.
Ni moto na pesa. Hutaki pita vile.
We unakuta una toto ukiliangalia huishi hamu, halafu yeye anaweka ratiba. Ni pita vile
 
🤣🤣🤣 ikiwa ni mwanamume mnasema shoo zake mbovu dk 5 kwisha habari yake. Ila nyinyi mnaona sawa. Haya endeleeni hivyo hivyo kulala lala michepuko ichukue nafasi zenu
Kwamba tukijipinda ndo hamtaenda kwa michepuko? Si mnasema mwanamke mmoja hatoshi hata aweje, mbona hamueleweki?
 
Back
Top Bottom