Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakamalize tofauti zao 😂😍Demi na Mzee wa kupambania tunaomba muhamie pm
Kwanini?Demi na Mzee wa kupambania tunaomba muhamie pm
Hata hawajui nini wanataka hawa.Mi nilijua mmoja hatoshi kwasababu ya nature yenu jinsi mlivyoumbwa? Leo mnaongea tofauti labisa....
Wanashangaza sanaHata hawajui nini wanataka hawa.
Namara nyinhi hata icho Cha kwanza hakiishi, mtu hoi na mateke unapigwa[emoji22]
Ila kweli kabisa mwanaume anaekupa mihela nyege nyingii kweli 😂😂😂Mmeacha kutupa hela huo mzuka utatoka wapi jamani? Tunavyowaambiaga pesa inaleta nyege muwe mnaamini.
Ha ha ha ......kwaiyo 6x6 nyie mnawaza pesa TU?[emoji4]Mmeacha kutupa hela huo mzuka utatoka wapi jamani? Tunavyowaambiaga pesa inaleta nyege muwe mnaamini.
MamaJ Niko nae mwaka was 4 Sasa,Huyo mwenye shoo nzuri mchukue mweke ndani, halafu uje utupe mrejesho kama shoo nzuri iliendelea kwa miaka yote.
Kwenye shoo mpya tunajituma mpendwa.
Sahii kabisa,Hivi huwa kuna wanawake wanafika kileleni hata mara tatu au nne
Nahisi wachache sanaa ,wanawakee wengine wameolewa hawajawah fika kilelen [emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine kimoja tu chalii
Wanawake wengi tu wana upungufu wa nguvu za kike
Kuhusiana na ninimzabzab bado sijaona comment yako
Vipi kwa upande wako tupe experienceHivi huwa kuna wanawake wanafika kileleni hata mara tatu au nne
Nahisi wachache sanaa ,wanawakee wengine wameolewa hawajawah fika kilelen 😂😂😂
Wengine kimoja tu chalii
Wanawake wengi tu wana upungufu wa nguvu za kike
Hivi huwa kuna wanawake wanafika kileleni hata mara tatu au nne
Nahisi wachache sanaa ,wanawakee wengine wameolewa hawajawah fika kilelen 😂😂😂
Wengine kimoja tu chalii
Wanawake wengi tu wana upungufu wa nguvu za kike
Rejea kichwa cha habari hapo juuKuhusiana na nini
Yaan nakuambia kama wapo wanaoweza unganisha hao wapo poaSahii kabisa,
Umesahau na Hii,
"Wanawake wengi hawezi kuunganisha mabao"
Akipita kimoja,
hatak Tena kuguswa mpk zaidi ya lisaa lipite, mpk mwanaume mzuka unakata
Wanawake huenjoy sex pia hata bila kufika kilelen,na wengi huwaridhisha tu wanaumeVipi kwa upande wako tupe experience