Nguvu za kiume na nguvu za kike, wanaume hatulalamiki

Nguvu za kiume na nguvu za kike, wanaume hatulalamiki

Mimi naona wanasahau wajibu wao kila siku, mtu anaweza kujishangaa kwanin haolewi ila kumbe sababu ndio kama hizi.

Nikujali wewe, nikupe hela wewe, kitandani nikuangaikie wewe, ukiwa na shinda nikuliwaze mimi...
Jamani sisi wanaume tunasaidiwa wapi sasa ..??? 😃
Yaaaaan nikiri tu kwamba Kuna mahali tunafeli😅
 
Tunawaandaa lakini wakati wa shoo muwe watundu na nyinyi. Msiwe wabinafsi mnataka mridhishwe nyie tu na sisi tunataka tuenjoy pia
Mnatakaaa tubinukee mpk tubinukee tenaaa😅😅basi muwwe mnatuandaaa kisaikolojiaa mapemaaa jaman tuna mamboo mengi kichwanii
 
Sio kama hatutaki, inachosha kila siku....
Na mkizoeana ndo kabisa maandalizi zero.
Pia mwanaume huyo huyo kila siku miaka na miaka anachosha.
Kwa kwelii hawajui tuu kuwaaaa nasi huwaa tunatamani jamboo jipyaaa...inachoshaaa basi tuuuu
 
Mtu anakua anajua vzuri tu ila sijuagi ndio mnakua mshatuzoea mnajionea tabu kufanya foreplay ya kueleweka mnatuvamia tu. Unamuambia baby nataka hiki na hiki mwenzako kashachomeka akimaliza yeye ndio basi. Wacha tulale tu.
Daaah! Kweli kwenye miti hakuna wajenzi. Kuna wanaume tunazitafuta fursa kama hizo za kuwapiga foreplay za kwenda
 
Hilo jipya ni lipi tena maana tukianza mambo mapya mnasema hamtaki mwanaume wenye makoro koro mengi kunako 6 kwa 6
Kwa ambaao wapoo kwenye ndoaa au mpenzi wa muda mrefuuu...tunahitaji mazingira mapyaaa jamani...muwee mnatutongozaa upyaaa ...mtupambeee jamani unakutaa mkeo nimeumbikaa hataa unisifiii nikipendezaaa unishangaaa tuuu khaaaa..wanawakee tunapendaga maneno flan hiviii hamjui tuu...tukiwaa kazini sasaa wenzenu wanatusifiaaa tunavyoingiaa tuuu na kutupambaaa😅😅😅...jaman tunapendaa kubembelezwaaa msituchukulieee poa.
 
Kwa ambaao wapoo kwenye ndoaa au mpenzi wa muda mrefuuu...tunahitaji mazingira mapyaaa jamani...muwee mnatutongozaa upyaaa ...mtupambeee jamani unakutaa mkeo nimeumbikaa hataa unisifiii nikipendezaaa unishangaaa tuuu khaaaa..wanawakee tunapendaga maneno flan hiviii hamjui tuu...tukiwaa kazini sasaa wenzenu wanatusifiaaa tunavyoingiaa tuuu na kutupambaaa😅😅😅...jaman tunapendaa kubembelezwaaa msituchukulieee poa.
🤣🤣🤣🤣🙌 wanaume kazi tunayo asee
 
Back
Top Bottom