Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Uchawi ni uharibifu hauna faida kwa mchawi wala Jamii husika.Masimulizi ya kijinga kama Yale ya kinjekitile ngwale kubadilisha risasi kuwa maji.
Sasa huyo mchawi wa kisukuma ameacha nini Cha kujivunia huko usukumani?
Kuanzia mbogwe,Geita,Kahama mpaka Tabora?zaidi ya umaskini tu,
Ushirikina unapunguza uwezo wa kufikiri