Tripper
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 778
- 1,522
Aliekwambia uchawi unatumika kuextract madini Nani??[emoji849]
Wasukuma/wanyamwezi na mauchawi yote jamii zenu ni maskini sana,ardhi yenu ina madini kibao,kuanzia Kahama,ushirombo mpaka nyakanazi,kakola,Geita,bulhanhuru,kote huko ni madini lakini watu wake ni maskini sana.
Sasa hayo maujuzi ya uchawi yamewasaidia nini?