Uchawi ni uharibifu hauna faida kwa mchawi wala Jamii husika.Masimulizi ya kijinga kama Yale ya kinjekitile ngwale kubadilisha risasi kuwa maji.
Sasa huyo mchawi wa kisukuma ameacha nini Cha kujivunia huko usukumani?
Kuanzia mbogwe,Geita,Kahama mpaka Tabora?zaidi ya umaskini tu,
Uchawi haulipiMasimulizi ya kijinga kama Yale ya kinjekitile ngwale kubadilisha risasi kuwa maji.
Sasa huyo mchawi wa kisukuma ameacha nini Cha kujivunia huko usukumani?
Kuanzia mbogwe,Geita,Kahama mpaka Tabora?zaidi ya umaskini tu,
Vibuyu viligonganaIlikuaje iyo misukule ikapatikana?
Huna taarifa sahihi! Alikuwa Anna Abdallah na ilikuwa enzinya utawala wa Mwalimu. Na eneo lenyewe alikofanyiwa hayo ni Nassa, Bulima! Heshima zote alitoa kwa BAGINDU maana alivyopigwa miti hana hamu!Anna makinda huyo
Na wewe sasa asitufanye Sisi mazombie mpaka utudanganye! Unataka kutuambia asili ya jina la Geita ni ufupisho wa hicho ulichoandika? Wacha mambo yako wewe!Machimbo ya kwanza ya dhahabu yalianza kuchimbwa Geita(GOLD EXPLONATIONS IN TANGANYIKA) miaka ya 1940s
Usiseme Ivo mkuuUchawi ni nguvu hasi negative power ila ukiwa positive haukupati.
Na uhakika na hilo.Sio KILA mtu analogeka, mchawi ajifunzi uamini eti huyo mtu ana nguvu zaidiUsiseme Ivo mkuu
WAtU wa Mungu ndio hawa kina Nabii Shila?Ana bahati hakukutana na watu wa Mungu mwenye nguvu wangemsambaratisha na uchawi wake ungeisha
Pole sana. Lete Tafsiri unayoijua weweNa wewe sasa asitufanye Sisi mazombie mpaka utudanganye! Unataka kutuambia asili ya jina la Geita ni ufupisho wa hicho ulichoandika? Wacha mambo yako wewe!
Kulikuwa na mlima wa mizimu pale Geita ambao watu walikuwa wakifika eneo hilo wanauawa hivyo Walongo ambao ni wenyeji wa asili wa Geita wakasema ' AKABANGA KENTA ABANTU ' maana yake 'MLIMA UNAUA WATU baadaye wakaanza kuita "KETA" Wazungu walipofika eneo hilo wakatamka GETA.Na wewe sasa asitufanye Sisi mazombie mpaka utudanganye! Unataka kutuambia asili ya jina la Geita ni ufupisho wa hicho ulichoandika? Wacha mambo yako wewe!
Hii ndiyo asili ya jina Geita, hayo mengine uliyoweka ni utopolo mtupu! Akabanga Keta Abantu Ndiyo asili sahihi ya hilo jina. Wazungu walipofika wakashindwa kutamka vizuri hiyo Keta ikawa Geita!Kulikuwa na mlima wa mizimu pale Geita ambao watu walikuwa wakifika eneo hilo wanauawa hivyo Walongo ambao ni wenyeji wa asili wa Geita wakasema ' AKABANGA KENTA ABANTU ' maana yake 'MLIMA UNAUA WATU baadaye wakaanza kuita "KETA" Wazungu walipofika eneo hilo wakatamka GETA.
Umekariri. Pole sana. Hicho nilichoandika ndio ukweli wenyewe. Tatizo hupendi kuchimbua unarelax sana lakini siyo kosa lako ni utoto ukikua utaacha.Hii ndiyo asili ya jina Geita, hayo mengine uliyoweka ni utopolo mtupu! Akabanga Keta Abantu Ndiyo asili sahihi ya hilo jina. Wazungu walipofika wakashindwa kutamka vizuri hiyo Keta ikawa Geita!
MishaLe Yenye sumu ilishinda nguvu za risasiUmechanganya sana kuhusu hayo makaburi ya Kabiga katika wilaya ya Nyag'hwale.eneo hilo la Usambilo wamisionari waliuawa na wenyeji kwa kupigiwa mishale yenye sumu siyo kwa kurogwa.nenda kafanye utafiti tena.