Tetesi: NHC Shirika la Nyumba lasitisha Mikataba

Tetesi: NHC Shirika la Nyumba lasitisha Mikataba

NHC ongezeni wawekezaji ili Dar ipendeze.
Jengeni residential zaidi za biashara zitawadodea
20230614_115355.jpg
 
Nimeona hii kitu insta, kuna jinga moja limepost barua ya notisi aliyopewa mpangaji akitafuta huruma za kijinga.

Hivi watu wakoje hawaoni magorofa machafu yamechoka! Afterall notisi ya siku 90 ni haki kisheria, mbona mtaani tunapewa notisi na kutoa kwa wapangaji( as far as imefuaata utaratibu na utu).


Ni jambo zuri!
 
Hapo kuna kitu nyuma ya pazia. NHC wamevunja majengo matatu makubwa DAR CBD miaka kadhaa iliyopita na hiI eneo sasa hivi ni viwanja ya watu kupaki magari na kichaka la wahuni. Viwanja ni hizi,
1 Samora Avenue mkabala na TRA.
2 Samora Avenue Clock Tower karibu na benki NBC.
3 Pale round about Jengo la Mbowe Bilicanas.

Hizi mbona hazijajengwa? Ni viwanja vikubwa katikati ya mji
 
Hapo kuna kitu nyuma ya pazia. NHC wamevunja majengo matatu makubwa DAR CBD miaka kadhaa iliyopita na hiI eneo sasa hivi ni viwanja ya watu kupaki magari na kichaka la wahuni. Viwanja ni hizi,
1 Samora Avenue mkabala na TRA.
2 Samora Avenue Clock Tower karibu na benki NBC.
3 Pale round about Jengo la Mbowe Bilicanas.

Hizi mbona hazijajengwa? Ni viwanja vikubwa katikati ya mji
Enzi zile walizuiwa kopa pesa kuendesha hiyo miradi.

Kwa sasa Sheria imebadilishwa wameruhusiwa kuingia Ubia na yeyote
 
Sidhani kama wanalegwa hao wahindi au ukarabati... hii ni ajenda inayohusu economics zone ya wachina pale ubungo ili kariakoo ife.
kwani kuna ubaya kuwa na sehemu mbili za biashara si ndio vizuri serikali ipate kodi nyingi
 
Wakarabati kwanza na kuhakikisha waliyonayo yanafanya kazi katika ufanisi unaotakiwa.
Nhc Samora soko la madini ni Jengo la kibiashara lakini chooni tu unatakiwa kwenda na funguo vyoo vinafungwa et hakuna wa wafanya usafi wa kutosha.

Mbu kila mahali tena wana nguvu kama Ng'e.
Bora wamefanya ivo ...watanzania jinsi wasivyo wastaarabu ukiwaruhusu watumie choo watakavyo kuna siku utakuta wamepaka mavi ukutani
 
Wakarabati kwanza na kuhakikisha waliyonayo yanafanya kazi katika ufanisi unaotakiwa.
Nhc Samora soko la madini ni Jengo la kibiashara lakini chooni tu unatakiwa kwenda na funguo vyoo vinafungwa et hakuna wa wafanya usafi wa kutosha.

Mbu kila mahali tena wana nguvu kama Ng'e.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
jamanii waarabu wanataka bongo iwe kama dubaiiii....tuoneshe ushirikiano yakhee waleee hawataki vikubwaa hataaa sheheee
 
Waje wapange huku Uswazi Vingunguti
Hizo nyumba ni mali zao Nyerere aliwapora babu zao,hazikujengwa na Serikali zilitaifishwa.
Kutaifisha ni kitendo Cha Serikali kuchukua Mali ya raia kinguvu pasipo ridhaa ya mwenye mali
 
Back
Top Bottom