NHIF huwezi katia bima wategemezi waliopo kisheria mfano mama akibadili jina

NHIF huwezi katia bima wategemezi waliopo kisheria mfano mama akibadili jina

Mulokole

Member
Joined
Aug 6, 2007
Posts
33
Reaction score
32
Majina ya mama yako/mama mkwe wako yako tofauti ya yaliyoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa.

Yaani kama mama wakati anakuzaa alikuwa anaitwa Anastazia Tatu Peter (jina la babake au Mme wa zamani) na sasa kwenye cheti chake cha NIDA au cha kura anaitwa Anastazia Tatu Mahendeka.

NHIF hawampi bima kwa maelezo kwamba ni watu wawili tofauti, hence, ni forgery.
Hawatambue hati ya kiapo cha mahakamani/mwanasheria (affidavit) kwamba NHIF hawaitambui kisheria hata kama iko sheria za nchi.

Kama mwenza wako ana ajira na ana bima yake kwenye ajira yake, huwezi kata bima kwa ajili ya wakwe (wazazi wa mwenza wako) kama mke/mme si sehemu ya wanafuaika wa bima yako. NA yeye hawezi nufaika na hiyo bima kama majina yake yanautofauti na yale yaliyo kwenye cheti cha ndoa na kiapo hakitabuliki pia.

My take: NHIF wawaelezee wananchi vizingiti hivi, hasa kutotambua affidavits ambazo zipo kisheria ili tukate bima tukiwa tunajua kuwa kuna kigingi hicho.
 
Majina ya mama yako/mama mkwe wako yako tofauti ya yaliyoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa.

Yaani kama mama wakati anakuzaa alikuwa anaitwa Anastazia Tatu Peter (jina la babake au Mme wa zamani) na sasa kwenye cheti chake cha nida au cha kura anaitwa Anastazia Tatu Mahendeka.

NHIF hawampi bima kwa maelezo kwamba ni watu wawili tofauti, hence, ni forgery.
Hawatambue hati ya kiapo cha mahakamani/mwanasheria (affidavit) kwamba NHIF hawaitambui kisheria hata kama iko sheria za nchi.

Kama mwenza wako ana ajira na ana bima yake kwenye ajira yake, huwezi kata bima kwa ajili ya wakwe (wazazi wa mwenza wako) kama mke/mme si sehemu ya wanafuaika wa bima yako. NA yeye hawezi nufaika na hiyo bima kama majina yake yanautofauti na yale yaliyo kwenye cheti cha ndoa na kiapo hakitabuliki pia.
My take: NHIF wawaelezee wananchi vizingiti hivi, hasa kutotambua affidavits ambazo zipo kisheria ili tukate bima tukiwa tunajua kuwa kuna kigingi hicho.
Affidavit haitambiliki huko.. tafuta kitu kinaitwa deed pool umemaliza mchezoo, hyo ndo yenye mamalaka ya kutambua majina yote. Jpo ni gharama zaid
 
Majina ya mama yako/mama mkwe wako yako tofauti ya yaliyoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa.

Yaani kama mama wakati anakuzaa alikuwa anaitwa Anastazia Tatu Peter (jina la babake au Mme wa zamani) na sasa kwenye cheti chake cha nida au cha kura anaitwa Anastazia Tatu Mahendeka.

NHIF hawampi bima kwa maelezo kwamba ni watu wawili tofauti, hence, ni forgery.
Hawatambue hati ya kiapo cha mahakamani/mwanasheria (affidavit) kwamba NHIF hawaitambui kisheria hata kama iko sheria za nchi.

Kama mwenza wako ana ajira na ana bima yake kwenye ajira yake, huwezi kata bima kwa ajili ya wakwe (wazazi wa mwenza wako) kama mke/mme si sehemu ya wanafuaika wa bima yako. NA yeye hawezi nufaika na hiyo bima kama majina yake yanautofauti na yale yaliyo kwenye cheti cha ndoa na kiapo hakitabuliki pia.

My take: NHIF wawaelezee wananchi vizingiti hivi, hasa kutotambua affidavits ambazo zipo kisheria ili tukate bima tukiwa tunajua kuwa kuna kigingi hicho.
Yaani majina uyakoroge mwenyewe then lawama kwa NHIF???

Huyu anaitwa Punda yule Ng'ombe kesho unataka wote waitwe Mbuzi!!!!!

Wabongo tuna akili za hovyo sana
 
Majina ya mama yako/mama mkwe wako yako tofauti ya yaliyoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa.

Yaani kama mama wakati anakuzaa alikuwa anaitwa Anastazia Tatu Peter (jina la babake au Mme wa zamani) na sasa kwenye cheti chake cha nida au cha kura anaitwa Anastazia Tatu Mahendeka.

NHIF hawampi bima kwa maelezo kwamba ni watu wawili tofauti, hence, ni forgery.
Hawatambue hati ya kiapo cha mahakamani/mwanasheria (affidavit) kwamba NHIF hawaitambui kisheria hata kama iko sheria za nchi.

Kama mwenza wako ana ajira na ana bima yake kwenye ajira yake, huwezi kata bima kwa ajili ya wakwe (wazazi wa mwenza wako) kama mke/mme si sehemu ya wanafuaika wa bima yako. NA yeye hawezi nufaika na hiyo bima kama majina yake yanautofauti na yale yaliyo kwenye cheti cha ndoa na kiapo hakitabuliki pia.

My take: NHIF wawaelezee wananchi vizingiti hivi, hasa kutotambua affidavits ambazo zipo kisheria ili tukate bima tukiwa tunajua kuwa kuna kigingi hicho.
NHIF wanapambania kila Namna WAKUKATE pesa halafu huduma USIPATE.

Yaani kwa lugha rahisi NHIF wanatamani WAKUKATE pesa halafu USIENDE HOSPITALI Kabisa.

Na hili siyo kwa WANUFAIKA tu, hata vituo vya Afya, VIKIDAI Mfano Tsh Milioni 2 NHIF wataweka vizingiti na vijisababu kibao na hiyo pesa itakatwa watalipa LAKI 5.

NHIF ni PASUA KICHWA.
 
NHIF wanapambania kila Namna WAKUKATE pesa halafu huduma USIPATE.

Yaani kwa lugha rahisi NHIF wanatamani WAKUKATE pesa halafu USIENDE HOSPITALI Kabisa.

Na hili siyo kwa WANUFAIKA tu, hata vituo vya Afya, VIKIDAI Mfano Tsh Milioni 2 NHIF waaweka vizingiti na vijisababu kibao na hiyo pesa itakatwa watalipa LAKI 5.

NHIF ni PASUA KICHWA.
kiukweli hawafai hao NHIF
 
Yaani majina uyakoroge mwenyewe then lawama kwa NHIF???

Huyu anaitwa Punda yule Ng'ombe kesho unataka wote waitwe Mbuzi!!!!!

Wabongo tuna akili za hovyo sana
uwezo wako wa akili una tia mashaka sana

kuna watu wamekosewa majina kwa waalimu kuandika kimakosa

kuna watu wamekosewa majina kwa walio waandikisha kukosea

akili yako inahisi watu wanapenda kosea majina yao maksud pumbavu
 
Affidavit haitambiliki huko.. tafuta kitu kinaitwa deed pool umemaliza mchezoo, hyo ndo yenye mamalaka ya kutambua majina yote. Jpo ni gharama zaid

haina gharama saana wakili kukuandikia deed pool sh 10,000 mpaka 20,000 wizara ya ardhi nafikiri unalipa 25000 au 35000 kati yahizo mbili ukiwa na 50,000 unamaliza deedpool na inabaki
 
NHIF wanapambania kila Namna WAKUKATE pesa halafu huduma USIPATE.

Yaani kwa lugha rahisi NHIF wanatamani WAKUKATE pesa halafu USIENDE HOSPITALI Kabisa.

Na hili siyo kwa WANUFAIKA tu, hata vituo vya Afya, VIKIDAI Mfano Tsh Milioni 2 NHIF waaweka vizingiti na vijisababu kibao na hiyo pesa itakatwa watalipa LAKI 5.

NHIF ni PASUA KICHWA.
Hata lengo lao LA bima kwa wote niili kuwaondoa hao tegenezi ili Kijana waichukuwe pesa yao yote bima siyo mpango Wakuhurumia RAIA Bali nikukwepa majukumu ni njia ya Governmental income
 
Majina ya mama yako/mama mkwe wako yako tofauti ya yaliyoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa.

Yaani kama mama wakati anakuzaa alikuwa anaitwa Anastazia Tatu Peter (jina la babake au Mme wa zamani) na sasa kwenye cheti chake cha nida au cha kura anaitwa Anastazia Tatu Mahendeka.

NHIF hawampi bima kwa maelezo kwamba ni watu wawili tofauti, hence, ni forgery.
Hawatambue hati ya kiapo cha mahakamani/mwanasheria (affidavit) kwamba NHIF hawaitambui kisheria hata kama iko sheria za nchi.

Kama mwenza wako ana ajira na ana bima yake kwenye ajira yake, huwezi kata bima kwa ajili ya wakwe (wazazi wa mwenza wako) kama mke/mme si sehemu ya wanafuaika wa bima yako. NA yeye hawezi nufaika na hiyo bima kama majina yake yanautofauti na yale yaliyo kwenye cheti cha ndoa na kiapo hakitabuliki pia.

My take: NHIF wawaelezee wananchi vizingiti hivi, hasa kutotambua affidavits ambazo zipo kisheria ili tukate bima tukiwa tunajua kuwa kuna kigingi hicho.
Mchango wenye manufaa makubwa huu kwa jamii.

Lakini kama ilivyo kawaida, mada za aina hii hazipati wachangiaji.

Hongera mkuu 'Mulokole'.

Acha niulize swali la pembeni mwa mada husika: hivi wewe ni 'Mulokole' kweli?
 
Tatizo watanzania wako negative sana. Hawajui hata maana ya insurance. Ukiacha vitu hivi vikawa havina taratibu utaua mfuko. Watu wanalalama kwamba NHIF ni wazeewa makato, ndio, maana wanachokata kwako wewe unayelalama, ndicho kinachowalipia matibabu maelfu ya watu ambao ama wanaumwa wao au wategemezi wao.

Kuna jamaa wanapiga kelele humu, lakini utakuta tegemezi wake ana magonjwa sugu kibao, na anakula pesa za mfuko wa Bima zaidi ya laki 2 kila mwezi, wakati huyo mtoto wa tegemezi anakatwa kila mwezi chini ya elfu 50. Sasa ikiwa tegemezi wake anakula zaidi ya laki 2 kwa mwezi, na yeye na familia yake labda pia anatibiwa hapa na pale, unadhani hizo pesa za juu zinatoka wapi? Zinatoka kwa wanachama wengine ambao wanakatwa pesa ndigo kila mwezi, lakini hawaumwi.

Ukitaka ujue umuhimu wa bima, subiri yakufike.

Kulikuwa na umuhimu kuwa na kipengele cha kujitoa kwenye huu mfuko, ili watu waje wasimulie yakiwapata.

Kumbuka mchango unaotoa NHIF, huwa hautoshi kukupa matibabu.
 
NHIF hawampi bima kwa maelezo kwamba ni watu wawili tofauti, hence, ni forgery.
Hawatambue hati ya kiapo cha mahakamani/mwanasheria (affidavit) kwamba NHIF hawaitambui kisheria hata kama iko sheria za nchi.
Wamefilisika kuanzia fedha mpaka akili
 
Back
Top Bottom