NHIF huwezi katia bima wategemezi waliopo kisheria mfano mama akibadili jina

NHIF huwezi katia bima wategemezi waliopo kisheria mfano mama akibadili jina

Hosp kibao ziko na unalipa cash au unachukua bima unayotaka ww sio kulazimishwa ulipie NHIF kwa lazima.. NHIF iwe option ya mtumishi kukubali au kutafuta bima anayotaka yeye.
Strategy insurance wapo vizuri, mpaka Agha khan unatibiwa.

NHIF Agha Khan not accepted na Agha Khan ndio hospital Private number one Tanzania.
 
Huyo mtoa huduma uliyekutana naye hajielewi. Hawa ndo wanaforce watu wafoji nyaraka..Tumia Nida Halfu tafuta cheti cha kuzaliwa kipya kinachoendana majina na Nida
Nilienda na deed pool nabado walinikatalia
 
Majina ya mama yako/mama mkwe wako yako tofauti ya yaliyoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa.

Yaani kama mama wakati anakuzaa alikuwa anaitwa Anastazia Tatu Peter (jina la babake au Mme wa zamani) na sasa kwenye cheti chake cha NIDA au cha kura anaitwa Anastazia Tatu Mahendeka.

NHIF hawampi bima kwa maelezo kwamba ni watu wawili tofauti, hence, ni forgery.
Hawatambue hati ya kiapo cha mahakamani/mwanasheria (affidavit) kwamba NHIF hawaitambui kisheria hata kama iko sheria za nchi.

Kama mwenza wako ana ajira na ana bima yake kwenye ajira yake, huwezi kata bima kwa ajili ya wakwe (wazazi wa mwenza wako) kama mke/mme si sehemu ya wanafuaika wa bima yako. NA yeye hawezi nufaika na hiyo bima kama majina yake yanautofauti na yale yaliyo kwenye cheti cha ndoa na kiapo hakitabuliki pia.

My take: NHIF wawaelezee wananchi vizingiti hivi, hasa kutotambua affidavits ambazo zipo kisheria ili tukate bima tukiwa tunajua kuwa kuna kigingi hicho.
Sahihi
 
Ulitaka wakubali majina yoyote tu
uwezo wako wa akili una tia mashaka sana

kuna watu wamekosewa majina kwa waalimu kuandika kimakosa

kuna watu wamekosewa majina kwa walio waandikisha kukosea

akili yako inahisi watu wanapenda kosea majina yao maksud pumbav
 
uwezo wako wa akili una tia mashaka sana

kuna watu wamekosewa majina kwa waalimu kuandika kimakosa

kuna watu wamekosewa majina kwa walio waandikisha kukosea

akili yako inahisi watu wanapenda kosea majina yao maksud pumbavu
mm mwenyewe wakati wa kujiandikisha kupata kitambulisho cha kupiga kura karani aliyakosea majina yangu.ukienda kusoma elimu ya juu wanahitaji majina matatu lkn huku awali wao wanataka majina mawili tu hivyo kuna mazingira mengi yanayofanya majina yakosewe.
 
Daahh, limenikuta sasa hili.
Majina ya mama kwenye cheti changu cha kuzaliwa, surname ni tofauti na kwenye ID ya kura(na ndio ID pekee aliyonayo).
Kwahiyo imekuaje kadi amepata au lah?
 
Kwahiyo imekuaje kadi amepata au lah?
Kadi alipata ila baada ya kuwaeleza kwa undani kuhusu huo utofauti.

Wakaniagiza nipeleke NIDA, nikafanikiwa kuwapelekea namba ya NIDA wakaenda kuhakikisha jina na Babu kama linafanana kati ya NIDA na Voter ID.

Voter ID iliandikwa hivi: MWANACHAMA M SIMJUI, then kwenye Cheti changu cha kuzaliwa hiyo herufi M iliandikwa kwa kirefu, mfano MAMU.

Sasa kwenye AFFIDAVIT ambayo walisema hawaipokei, ilielezea majina kamili ya mama ambayo hayana kifupisho cha herufi M katikatika, pia cheti changu cha kuzaliwa, jina la mama limeandikwa kwa kirefu.

Wakaniambia lete namba ya NIDA ili tuhakiki kama hilo jina la katikati la mama linafanana na hilo ninalowaeleza, nilipowapelekea hiyo namba wakaenda kuangalia kwenye database ya NIDA wakakuta hiyo M inaonesha jina sawa na lililopo kwenye cheti changu cha kuzaliwa.

Pia taarifa zingine kama sehemu anapoishi mama zikawa zinawiana na taarifa nilipozaliwa, hapo ndipo wakakubali kupokea na kuprocess kadi.
 
Tatizo watanzania wako negative sana. Hawajui hata maana ya insurance. Ukiacha vitu hivi vikawa havina taratibu utaua mfuko. Watu wanalalama kwamba NHIF ni wazeewa makato, ndio, maana wanachokata kwako wewe unayelalama, ndicho kinachowalipia matibabu maelfu ya watu ambao ama wanaumwa wao au wategemezi wao.

Kuna jamaa wanapiga kelele humu, lakini utakuta tegemezi wake ana magonjwa sugu kibao, na anakula pesa za mfuko wa Bima zaidi ya laki 2 kila mwezi, wakati huyo mtoto wa tegemezi anakatwa kila mwezi chini ya elfu 50. Sasa ikiwa tegemezi wake anakula zaidi ya laki 2 kwa mwezi, na yeye na familia yake labda pia anatibiwa hapa na pale, unadhani hizo pesa za juu zinatoka wapi? Zinatoka kwa wanachama wengine ambao wanakatwa pesa ndigo kila mwezi, lakini hawaumwi.

Ukitaka ujue umuhimu wa bima, subiri yakufike.

Kulikuwa na umuhimu kuwa na kipengele cha kujitoa kwenye huu mfuko, ili watu waje wasimulie yakiwapata.

Kumbuka mchango unaotoa NHIF, huwa hautoshi kukupa matibabu.

Tatizo watanzania wako negative sana. Hawajui hata maana ya insurance. Ukiacha vitu hivi vikawa havina taratibu utaua mfuko. Watu wanalalama kwamba NHIF ni wazeewa makato, ndio, maana wanachokata kwako wewe unayelalama, ndicho kinachowalipia matibabu maelfu ya watu ambao ama wanaumwa wao au wategemezi wao.

Kuna jamaa wanapiga kelele humu, lakini utakuta tegemezi wake ana magonjwa sugu kibao, na anakula pesa za mfuko wa Bima zaidi ya laki 2 kila mwezi, wakati huyo mtoto wa tegemezi anakatwa kila mwezi chini ya elfu 50. Sasa ikiwa tegemezi wake anakula zaidi ya laki 2 kwa mwezi, na yeye na familia yake labda pia anatibiwa hapa na pale, unadhani hizo pesa za juu zinatoka wapi? Zinatoka kwa wanachama wengine ambao wanakatwa pesa ndigo kila mwezi, lakini hawaumwi.

Ukitaka ujue umuhimu wa bima, subiri yakufike.

Kulikuwa na umuhimu kuwa na kipengele cha kujitoa kwenye huu mfuko, ili watu waje wasimulie yakiwapata.

Kumbuka mchango unaotoa NHIF, huwa hautoshi kukupa matibabu.
Kama ndio utetezi wa NHIF huu basi ni msiba mzito.
Bima ni kamari,haiwezi hata siku moja kuwa na upande unaopata faida moja kwamoja kuna wakati wa neema na wakati wa kiangazi kila upande.

Ili ufanye biashara hiyo lazima urekebishe mtizamo wako kwanza kuhusu faida,vinginevyo achana nayo kabisa.

Tatizo la taasisi za ccm,Zina wanamikakati vilaza,lakini zinategemea matokeo bora.
 
Kadi alipata ila baada ya kuwaeleza kwa undani kuhusu huo utofauti.

Wakaniagiza nipeleke NIDA, nikafanikiwa kuwapelekea namba ya NIDA wakaenda kuhakikisha jina na Babu kama linafanana kati ya NIDA na Voter ID.

Voter ID iliandikwa hivi: MWANACHAMA M SIMJUI, then kwenye Cheti changu cha kuzaliwa hiyo herufi M iliandikwa kwa kirefu, mfano MAMU.

Sasa kwenye AFFIDAVIT ambayo walisema hawaipokei, ilielezea majina kamili ya mama ambayo hayana kifupisho cha herufi M katikatika, pia cheti changu cha kuzaliwa, jina la mama limeandikwa kwa kirefu.

Wakaniambia lete namba ya NIDA ili tuhakiki kama hilo jina la katikati la mama linafanana na hilo ninalowaeleza, nilipowapelekea hiyo namba wakaenda kuangalia kwenye database ya NIDA wakakuta hiyo M inaonesha jina sawa na lililopo kwenye cheti changu cha kuzaliwa.

Pia taarifa zingine kama sehemu anapoishi mama zikawa zinawiana na taarifa nilipozaliwa, hapo ndipo wakakubali kupokea na kuprocess kadi.
Doh afadhali hivyo....mimi jina la tatu la wazaz wote wawil ni tofauti na NIDA sjui watakubali
 
Ilivyo waTz tunatabia za WIZI saana yaani uhuni wa hovyo...
Mtu anatumia kadi haimuhusu, mtu kilaleo anaumwa na kuchukuwa dawa kumbe anaenda kuziuza kwenye pharmacy!
NHIF lazima iwe makini KUONDOA WIZI mkubwa lasivyo itafdli jumla.
Mfumo huu kwawenzetu uko vizuri maana wengi ni waaminifu
 
Doh afadhali hivyo....mimi jina la tatu la wazaz wote wawil ni tofauti na NIDA sjui watakubali
Kajaribu kuwaeleza wanaweza kukubali.

Watumishi wa kawaida wasipokuelewa na kukataa, omba ukaongee na Manager wala usiogope
 
uwezo wako wa akili una tia mashaka sana

kuna watu wamekosewa majina kwa waalimu kuandika kimakosa

kuna watu wamekosewa majina kwa walio waandikisha kukosea

akili yako inahisi watu wanapenda kosea majina yao maksud pumbavu
Hapo NHIF ndo ilikosea?????

Kama jina lako lilikosewa kwa kutokuwa makini usiilaumu NHIF walaumu waliolikosea.

That's your stupidity not NHIF
 
Bahati mbaya sana kilichoandikwa kipo juu ya uwezo wako wa akili kuelewa kimeandikwa nini.

Watanzania wengi wana complication za majina hasa walioolewa wana majina walianza Kwa Wazazi wao na shule wengi walipoolewa walichukuwa ubini wa waume zao, vyeti vyao vya taaluma, cheti cha kuzaliwa na vitambulisho vingine majina hayafanani.

Mfano Salma Kikwete utakuta vyeti vyake vya taaluma ni Salma Malimusi.

Mwigulu Nchemba na Lameck Madelu huyu ni mtu mmoja.

Wewe huna akili.
Wewe ndo huna akili kabisaaaaaaaa.

Ilaumu papuchi yako iliyokufanya ubadili jina la baba yako alokuzaa na kuanza kutumia jina la mmeo.
 
Strategy insurance wapo vizuri, mpaka Agha khan unatibiwa.

NHIF Agha Khan not accepted na Agha Khan ndio hospital Private number one Tanzania.
Strategy wapo vizuri kwa watu wa miji mikubwa sio mikoani, hawachagui wanalipia gharama zozote zile ila wanavifurushi vyenye ukomo

Mfano kifurushi cha Muhusika anawekewa 5M kwa mwaka na tegemezi wanawekewa 1M kwa mwaka

Ukiwa unakwenda hospitali kubwa za private kama Agha Khan bei zao zimeshiba, kifurushi kinaweza kukata kabla mwaka haujaisha ukaanza kutumia hela yako mfukoni

Watu wanaipenda NIHF japokua kuna baadhi gharama hailipii lakini ipo karibu kwenye hospitali zote bongo na haina ukomo
 
Back
Top Bottom