Sijui hiyo sheriaa yao kama imejadiliwa bungeni au ni mtu alishauriwa na kimada huko mtaaniMy take: NHIF wawaelezee wananchi vizingiti hivi, hasa kutotambua affidavits ambazo zipo kisheria ili tukate bima tukiwa tunajua kuwa kuna kigingi hicho.
Sasa mbona unanyanyapaa wenye magonjwa sugu?Tatizo watanzania wako negative sana. Hawajui hata maana ya insurance. Ukiacha vitu hivi vikawa havina taratibu utaua mfuko. Watu wanalalama kwamba NHIF ni wazeewa makato, ndio, maana wanachokata kwako wewe unayelalama, ndicho kinachowalipia matibabu maelfu ya watu ambao ama wanaumwa wao au wategemezi wao.
Kuna jamaa wanapiga kelele humu, lakini utakuta tegemezi wake ana magonjwa sugu kibao, na anakula pesa za mfuko wa Bima zaidi ya laki 2 kila mwezi, wakati huyo mtoto wa tegemezi anakatwa kila mwezi chini ya elfu 50. Sasa ikiwa tegemezi wake anakula zaidi ya laki 2 kwa mwezi, na yeye na familia yake labda pia anatibiwa hapa na pale, unadhani hizo pesa za juu zinatoka wapi? Zinatoka kwa wanachama wengine ambao wanakatwa pesa ndigo kila mwezi, lakini hawaumwi.
Ukitaka ujue umuhimu wa bima, subiri yakufike.
Kulikuwa na umuhimu kuwa na kipengele cha kujitoa kwenye huu mfuko, ili watu waje wasimulie yakiwapata.
Kumbuka mchango unaotoa NHIF, huwa hautoshi kukupa matibabu.
NHIF ni genge la wahuni, hati ya kiapo ni document ya kisheria, Dawa ya NHIF ni kuwaburuza mahakamani tu ndio wataacha upumbavu wao.Majina ya mama yako/mama mkwe wako yako tofauti ya yaliyoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa.
Yaani kama mama wakati anakuzaa alikuwa anaitwa Anastazia Tatu Peter (jina la babake au Mme wa zamani) na sasa kwenye cheti chake cha nida au cha kura anaitwa Anastazia Tatu Mahendeka.
NHIF hawampi bima kwa maelezo kwamba ni watu wawili tofauti, hence, ni forgery.
Hawatambue hati ya kiapo cha mahakamani/mwanasheria (affidavit) kwamba NHIF hawaitambui kisheria hata kama iko sheria za nchi.
Kama mwenza wako ana ajira na ana bima yake kwenye ajira yake, huwezi kata bima kwa ajili ya wakwe (wazazi wa mwenza wako) kama mke/mme si sehemu ya wanafuaika wa bima yako. NA yeye hawezi nufaika na hiyo bima kama majina yake yanautofauti na yale yaliyo kwenye cheti cha ndoa na kiapo hakitabuliki pia.
My take: NHIF wawaelezee wananchi vizingiti hivi, hasa kutotambua affidavits ambazo zipo kisheria ili tukate bima tukiwa tunajua kuwa kuna kigingi hicho.
Bahati mbaya sana kilichoandikwa kipo juu ya uwezo wako wa akili kuelewa kimeandikwa nini.Yaani majina uyakoroge mwenyewe then lawama kwa NHIF???
Huyu anaitwa Punda yule Ng'ombe kesho unataka wote waitwe Mbuzi!!!!!
Wabongo tuna akili za hovyo sana
Hata mimi kuna kipindi nilikuwa nafanya mchakato wa kuwaandikisha bima-NHIF familia yangu,pamoja na wazazi pia wakwe.Affidavit haitambiliki huko.. tafuta kitu kinaitwa deed pool umemaliza mchezoo, hyo ndo yenye mamalaka ya kutambua majina yote. Jpo ni gharama zaid
naamini inaitwa deed poll.Kwamba nikipata hiyo deep poll nitafanikiwa?
Majina ya mama yako/mama mkwe wako yako tofauti ya yaliyoandikwa kwenye cheti cha kuzaliwa.
Yaani kama mama wakati anakuzaa alikuwa anaitwa Anastazia Tatu Peter (jina la babake au Mme wa zamani) na sasa kwenye cheti chake cha nida au cha kura anaitwa Anastazia Tatu Mahendeka.
NHIF hawampi bima kwa maelezo kwamba ni watu wawili tofauti, hence, ni forgery.
Hawatambue hati ya kiapo cha mahakamani/mwanasheria (affidavit) kwamba NHIF hawaitambui kisheria hata kama iko sheria za nchi.
Kama mwenza wako ana ajira na ana bima yake kwenye ajira yake, huwezi kata bima kwa ajili ya wakwe (wazazi wa mwenza wako) kama mke/mme si sehemu ya wanafuaika wa bima yako. NA yeye hawezi nufaika na hiyo bima kama majina yake yanautofauti na yale yaliyo kwenye cheti cha ndoa na kiapo hakitabuliki pia.
My take: NHIF wawaelezee wananchi vizingiti hivi, hasa kutotambua affidavits ambazo zipo kisheria ili tukate bima tukiwa tunajua kuwa kuna kigingi hicho.
Pesa za mifuko ndio zinatakiwa na serikali kufanyixa ufisadi, angalia michango ya wafanyakazi Nssf ilivyokwenda kutupwa Kigamboni Dege.Serikali iweke option, ikiwa mfanyakazi hataki kujiunga NHIF aweze kujitoa kwa hiari...!! Isiwe lazima kuchangia, iwe willing ya mtumishi kujiunga au kujitoa
Duh poleni sana,mwisho wake ikawaje amepata udhamini wowote mahaliNHIF intention yao sio kutoa huduma ni kukomoa tu. Imagine kuna dogo mmoja baba yake na mama yake walifariki kitambo akalelewa na kaka yake huko kijijini, kaka amepambana kumsomesha huyo dogo tangu chekechea mpaka leo dogo amemaliza diploma amepata kikazi chake. Kwenye wategemezi wa NHIF si kamuandika kaka yake maana yeye anasema hata baba yake hamkumbuki sababu alilelewa na kaka yake huyo tangu akiwa mdogo.
Eti NHIF wamemkatalia. Ona sasa kwa bahati mbaya ktk harakati za msiha huko kijijini kaka yake kaoata ajali, yani dogo anahangaika huyo hadi anatia huruma. Mbaya zaidi yeye ndio tegemezi kwa kaka yake. Amenipigia simu juzi mpaka analia ananiambia bro kaka anakufa nisaidie, gharama zimekua kubwa na NHIF hawamtambui kama mtegemezi wangu wakati mshahara wangu wanakata kioa mwezi.
Niliwaza nikajisemea hivi hawa ndo wanataka bima ya afya kwa wote?
Hii nchi wapuuzi ni wengi sana
Ndio uende wizara ya Ardhi Sasa utengeneze hiyo deed poll upeleke NIDA ukarekebishe majina yasome unavyotaka ili update kitambulisho kipya chenye majina sahihi.Daahh, limenikuta sasa hili.
Majina ya mama kwenye cheti changu cha kuzaliwa, surname ni tofauti na kwenye ID ya kura(na ndio ID pekee aliyonayo).
Pale wizara ya afya palikuwa na Katibu mkuu mshenzi sana, wakati madaktari wana madai yao ya msingi pale Muhimbili aliwadharau na kuwatukana, basi Mungu si Athumani na wala si Mwamedi mama yake akapata maradhi.NHIF intention yao sio kutoa huduma ni kukomoa tu. Imagine kuna dogo mmoja baba yake na mama yake walifariki kitambo akalelewa na kaka yake huko kijijini, kaka amepambana kumsomesha huyo dogo tangu chekechea mpaka leo dogo amemaliza diploma amepata kikazi chake. Kwenye wategemezi wa NHIF si kamuandika kaka yake maana yeye anasema hata baba yake hamkumbuki sababu alilelewa na kaka yake huyo tangu akiwa mdogo.
Eti NHIF wamemkatalia. Ona sasa kwa bahati mbaya ktk harakati za msiha huko kijijini kaka yake kaoata ajali, yani dogo anahangaika huyo hadi anatia huruma. Mbaya zaidi yeye ndio tegemezi kwa kaka yake. Amenipigia simu juzi mpaka analia ananiambia bro kaka anakufa nisaidie, gharama zimekua kubwa na NHIF hawamtambui kama mtegemezi wangu wakati mshahara wangu wanakata kioa mwezi.
Niliwaza nikajisemea hivi hawa ndo wanataka bima ya afya kwa wote?
Hii nchi wapuuzi ni wengi sana
NIDA akafanye nini?Ndio uende wizara ya Ardhi Sasa utengeneze hiyo deed poll upeleke NIDA ukarekebishe majina yasome unavyotaka ili update kitambulisho kipya chenye majina sahihi.
Mawakili Mara nyingi wanatoza 30,000/= kukuchapishia hiyo deed poll na wizara ya Ardhi unalipia pesa ya serikali kama 25,000/= sikosei.
Deep poll ikisajiliwa ndio unaipeleka NIDA kujaza fomu kuomba ID mpya Kwa majina sahihi.
Tupo wengi๐Niliwahi kuwa nafuatilia NHIF Kwa ajili ya wazazi.. aisee nilijuta hadi nimekata tamaa ๐๐๐
Uwezo wako wa kufikiri umeishia NHIF, ungetumia akili zako vizuri ungegunduwa tatizo la msingi lipo NIDA na huwezi kulimaliza Kwa kupata bima tu ya NHIF.NIDA akafanye nini?
Deed poll aipeleke NHIF apate Kadi chap