NHIF kaeni mbali na mchakato wa utekelezaji wa bima ya Afya kwa wote

NHIF kaeni mbali na mchakato wa utekelezaji wa bima ya Afya kwa wote

Sasa swala lako linakuwa directed directly kwa waziri wa afya maana yeye ndio muhusika mkuu wa wizara husika. NHIF ni mlipaji wa huduma za huduma zilizotolewa na mtu wa afya na si elimu yake. Kwampaka sasa serikari imejenga zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya hizo ni first step na vyote hivyo zipo chini ya wizara ya afya ila hazijafikia hatua kutoa huduma za kibingwa kule hivyo no specialized procedures au surgeries daktari bingwa atazifanya kule, yeye anafanya huduma ya MD ndio maana mwisho wa siku anamleta mgonjwa Muhimbili kwa matibabu hamtibii kule. Nikukumbushe NHIF inalipa huduma zilizotolewa na si elimu yako huwezi fanya craniotomy kule wala prostatectomy . Sasa wewe umetoa huduma ya normal Medical doctor, unataka ulipwe as a specialist in what sense kwasababu ya elimu yako, hebu tumia akili sasa, amekuja akamuexamine mgonjwa akamrefer mgonjwa as a normal MD does, hakumtibu unataka alipwe as a specialist why?? Nhif ndio isogeze huduma za afya just by misuse of funds wakati kinachotolewa sio huduma za kibingwa.
Pili shika naujue outreach services zikifanywa lengo ni msaada sio mapato, hivyo zikipangwa kufanya zinakuwa zimejigharamikia kila kitu hadi daktari pesa yake ya kumlipa. Sisi sio wakwanza kufanya outreach services, wapo Amref flying doctors wapo World vision na wengineo. Ushawahi sikia wanahitaji gharama za serikari kugharamikiwa in what sense enhee wasio na bima hawapati hiyo service basi hiyo sio outreach ni kitu kingine. Jua hili, kila kitu cha afya kinamuongozo wake na NHIF ni mlipaji wa huduma sio zaidi ya hapo hajapewa mamlaka zaidi ya hayo vingine ni wizara ya afya unachoshindwa kuelewa nikipi hasa.
Mkuu, japo umeamdika kwa ugupi sana, asante sana kwa elimu hii muhimu.
Ukiwa na muda, tafadhali shusha uzi wa ufafanuzi wote juu ya haya yote uliyoyatolea ufafanuzi kwa ufupi.
UMEJIBU HOJA VIZURI SANA
 
Sasa swala lako linakuwa directed directly kwa waziri wa afya maana yeye ndio muhusika mkuu wa wizara husika. NHIF ni mlipaji wa huduma za huduma zilizotolewa na mtu wa afya na si elimu yake. Kwampaka sasa serikari imejenga zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya hizo ni first step na vyote hivyo zipo chini ya wizara ya afya ila hazijafikia hatua kutoa huduma za kibingwa kule hivyo no specialized procedures au surgeries daktari bingwa atazifanya kule, yeye anafanya huduma ya MD ndio maana mwisho wa siku anamleta mgonjwa Muhimbili kwa matibabu hamtibii kule. Nikukumbushe NHIF inalipa huduma zilizotolewa na si elimu yako huwezi fanya craniotomy kule wala prostatectomy . Sasa wewe umetoa huduma ya normal Medical doctor, unataka ulipwe as a specialist in what sense kwasababu ya elimu yako, hebu tumia akili sasa, amekuja akamuexamine mgonjwa akamrefer mgonjwa as a normal MD does, hakumtibu unataka alipwe as a specialist why?? Nhif ndio isogeze huduma za afya just by misuse of funds wakati kinachotolewa sio huduma za kibingwa.
Pili shika naujue outreach services zikifanywa lengo ni msaada sio mapato, hivyo zikipangwa kufanya zinakuwa zimejigharamikia kila kitu hadi daktari pesa yake ya kumlipa. Sisi sio wakwanza kufanya outreach services, wapo Amref flying doctors wapo World vision na wengineo. Ushawahi sikia wanahitaji gharama za serikari kugharamikiwa in what sense enhee wasio na bima hawapati hiyo service basi hiyo sio outreach ni kitu kingine. Jua hili, kila kitu cha afya kinamuongozo wake na NHIF ni mlipaji wa huduma sio zaidi ya hapo hajapewa mamlaka zaidi ya hayo vingine ni wizara ya afya unachoshindwa kuelewa nikipi hasa.
Kijana unapaswa kutuliza mshono ...
1-Usidanganye umma kuwa procedure kama craniotomy au prostatectomy haziwezi kufanyika wilayani au ikibidi zahanati...your imagination of primary healthcare facilities is limited to 1990s facilities sasa hivi tuna health centers na medical units zenye ubora mkubwa sana.
2-Uache kukariri namna outreach services zinavyotolewa dunia ya leo imekimbia sana wataalamu wanatembea na kits na wanao uwezo kufanya successful procedures hata wakiwa space sembuse zahanati iliyopo duniani!!
3-Kamwe usichanganye madesa na unapaswa kuconsult the real people in the field ...health is inclusive nowdays ...and the trajectory of healthcare system is to reach a patient at home with all standard care...we do not need someone to go to Muhimbili for CS,Protasectomy,CPR ,Appendecectomy et al.
stop the so called rudimentary thinking...go beyond your old textbooks think beyond THE BOX...wananchi wanahitaji huduma walipo sio ukiritimba ...usipowapa hiyo huduma wataendelea kuitafuta kwa kina dokta mwaka na dokta manyaumanyau ambo wanawafikia.
 
Mkuu, japo umeamdika kwa ugupi sana, asante sana kwa elimu hii muhimu.
Ukiwa na muda, tafadhali shusha uzi wa ufafanuzi wote juu ya haya yote uliyoyatolea ufafanuzi kwa ufupi.
UMEJIBU HOJA VIZURI SANA
Hajajibu hoja yoyote hapa ...usimpake mafuta kwa mgongo wa chupa.
Waziri ummy atakaa na wadau (vituo binafsi)ili apewe the otherside of the coin.
NIWATAHADHARISHE KUWA MSIMPOTOSHE TENA KWA KUMUANDALIA MAJIBU FEKI.
SISI WADAU TUNAOJITAMBUA TUTAMPA UKWELI WENYE UHALISIA.
 
WIZARA NA SIO NHIF iwaite wadau wote (wadau halisi na sio kujichagulia wadau wasiojua) wa afya wajadili kwa kina kuhusu hili.
msifanye mzaha na wala msitake kumchafulia mhe.Rais suala hili ambalo naliona kama ni kete ya kipekee ya kumkumbuka.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Bima ya afya KWA WOTE haiwezekani sababu kiwango wanacholipa washiriki ni kidogo sana kukidhi gharama za huduma ya afya ambazo NHIF watawalipa watoa huduma.
Pili kuna uhujumu au ufisadi wa wa watoa huduma kudai gharama kubwa kuliko inavyo stahili. Na hii ndio inawekekana sababu ya NHIF kutoa hiyo orodha ya bei
 
Kijana unapaswa kutuliza mshono ...
1-Usidanganye umma kuwa procedure kama craniotomy au prostatectomy haziwezi kufanyika wilayani au ikibidi zahanati...your imagination of primary healthcare facilities is limited to 1990s facilities sasa hivi tuna health centers na medical units zenye ubora mkubwa sana.
2-Uache kukariri namna outreach services zinavyotolewa dunia ya leo imekimbia sana wataalamu wanatembea na kits na wanao uwezo kufanya successful procedures hata wakiwa space sembuse zahanati iliyopo duniani!!
3-Kamwe usichanganye madesa na unapaswa kuconsult the real people in the field ...health is inclusive nowdays ...and the trajectory of healthcare system is to reach a patient at home with all standard care...we do not need someone to go to Muhimbili for CS,Protasectomy,CPR ,Appendecectomy et al.
stop the so called rudimentary thinking...go beyond your old textbooks think beyond THE BOX...wananchi wanahitaji huduma walipo sio ukiritimba ...usipowapa hiyo huduma wataendelea kuitafuta kwa kina dokta mwaka na dokta manyaumanyau ambo wanawafikia.
We ndio unachanganya mabox, utafanya craniotomy kwenye district hospital au designated district hospital (DDH) ambazo hazitaki kuupgrade kwenda kwenye regional au zonal level kutokana na running costs😂😂. We unaniona mimi mjinga ee, fanya craniotomy bila CT scan halafu baadae ujue madhara yake wakati sasaivi Ct ndio zimeshushwa ngazi ya mkoa.
Umetajiwa appendicectomy hapo wakati hio ni ordinary MD procedure ambayo inaitaji laparatomy ya kawaida. Ila unajua checklist and resources to full commit kuwa hii ni laparatomy na si laparatomy ya juu nenda referral to above levels ambapo ndio proper clean procedure inafanywa nasi kugeuza petri dish kuwa kifaa cha kukusanyia damu, soma proper treatment protocols acha uzushi.
Eti go beyond you're text books huku uki improvise a procedure with limited resources you have calling it a complete procedure mwishowe mgonjwa kupata majanga kama mikunjo na kuacha vifaa ndani ya miili ya watu just to prove something which doesn't fit a given level.🤣🤣
Kumfikia mgonjwa nyumbani, then develop a community health worker system thats based on referrals au tumia AI kwasababu ilishafika that extent lasivyo acha siasa na maisha au afya za watu.
Kumbe unajua wananchi wanahitaji huduma, sasa ninani kakwambia NHIF inatoa huduma. NHIF inalipia huduma, lakini katika ulipaji uo kuna miongozo yake juu ya kufanya hayo malipo kama hufuati malipo hayalipiki ukitaka kubadilisha miongozo wasiliana na wizara ya afya, NHIF inahusika vipi umesikia ndio imetengeneza hiyo miongozo. Use common sense.
Sasa kumbe unajua outreach inaweza kufanya kila kitu chenyewe na basing na miongozo ya afya an outreach ni zoezi la msaada sio la kukufund pesa zako urudishiwe hivyo ukiwa na uwezo fanya ukishindwa acha don't force things that you can't handle. Kila daktari anauwezo wa kufanya a procedure au surgery ila mgawanyo wa hospitali by levels ulifanywa kwakusudi la kuboresha efficiency na redistribution of resources, kama your facility can do such surgeries na procedures upgrade it to the regional or above level unang'ang'ana na dispensary level ili ugundue nini hasa. Kesho unalia kuwa we can also do it, then upgrade the facility basing on protocols sio kutaka faida kubwa kwakuwekeza kidogo, Insurance is not a charity nor an ngo, it's a social scheme ya kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya. Ukishindwa kama health facility kata mkataba fanya yako. Besides NHIF inaonly 8% of clients in Tz hao 92‰ hamuwataki.
Acheni siasa, huwezi kuafikiana na makubaliano ya mkataba acha, dili na asilimia 92 ya waliobaki.
 
yaani NHIF Muharibu halafu unataka tumuulize waziri?Kasome zaidi kuhusu universal health care.
Pia kawaulize zaidi wazoefu juu ya mahitaji essential ya huduma za kibingwa.
Muhimbili inaweza kuwahudumia watanzania wote wenye uhitaji?
...unadhani mjamzito aliopo kikonga huko pwani ndani ndani hastahili huduma ya kibingwa akiwa kikonga hadi afike Muhimbili?
NHIF iharibu kama nani wakati wao wamefuata muongozo uliotengenezwa na wizara ya Afya. Je NHIF ni taasisi yenye miongozo yake kwamba ijitungie sera zake kutofautiana na wizara ambayo inayoiongoza hiyo taasisi? Tumia akili acha uswahili. NHIF akuletee hudima ya kibingwa yeye kama nani wakati yeye simtoa huduma ila ni mlipaji wa huduma kutokana na miongozo iliyowekwa au NHIF ikiuke miongozo yote kesho iwe tofauti na wizara uanze kuilaumu katiba na sheria ya bima ya mwaka 2002. Nani alikwambia kuwa NHIF inahusika na Universal Health care wakati miongozo yake bado inatungwa na msimamizi wake ni TIRA sio NHIF. Acha siasa, use senses utaumbuka vibaya. Mahitaji ya kibingwa yanasogezwa na serikari kupotia wizara ya afya, umesoma sheria ya bima afya ikakuambia kuwa nhif ndio msimamizi wa kusogeza huduma za kibingwa. Unataka maingiliano ya kimajukumu?? Au mpaka sasa huku yaelewa majukumu ya NHIF na ya wizara.
 
Ukichora picha kubwa utaona mfuko wa NHIF unaenda kuwa kama mifuko ya jamii ya zamani NPPF, NSSF n.k

Nchi imefunguliwa, wacha pesa ipigwe halafu wao watatumia bima zingine binafsi au kutakuwa na categories za bima za walalahoi na magabacholi. Kwa kifupi mfuko ushakufa kifo cha mende katika kutoa huduma ila unafanya vizuri katika kukusanya michango na kutumia pesa vibaya.

Baadae utasikia mfuko unawekeza kwenye government bond na kuongeza kununua hisa kwenye mabenki na kusahau wajibu wake wa msingi wa kutoa huduma bora za afya kwa wote. Primary health care kwa wote itakuwa ni nadharia isiyotekelezeka na iliyoshindikana.
 
Ngoja tuone, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Boss unaijua miongozo yote ya afya, ukishaisoma IKAMA ndio utajua bado afya huijui. Chief, daktari kabla ya kuwa daktari bingwa anaanza na MD, services anazotoa zote prof Kahamba akiwa Tandahimba ni as a GP not a specialist. Job description ya specialist na list of resources with investigations to be carried out at district level yaani hospitali za wilaya kutokana na muongozo wa maabara (tafuta upo) ni GP level sio specialist level ndio maana kwa muongozo wa watumishi wa afya (IKAMA) daktari bingwa hatambuliki hospitali za wilaya kushuka ngazi ya chini. Miongozo hiyo haikutungwa na NHIF bali wizara ya afya. Pia kitita hichi cha mafao hutolewa na maamuzi ya wizara sio NHIF maana hiyo taasisi ipo chini ya wizara ya afya. Afya sio mihemuko, inamiongozo ambayo nikikutajia hutaiweza ijua mpaka kesho.
Nauliza hivi ubingwa wa daktari ni vifaa au taaluma na ujuzi alio nao kichwani mwake?
Hao waliotunga hiyo miongozo walitumia akili ndogo au walihamua kutengeneza unnecessary bureaucracy.

Nauliza tukimpeleka MD wa kawaida Muhimbili kwenye vifaa vya ngazi ya rufaa atakuwa anatoa huduma za kibingwa sababu ya vifaa?
 
Nauliza hivi ubingwa wa daktari ni vifaa au taaluma na ujuzi alio nao kichwani mwake?
Hao waliotunga hiyo miongozo walitumia akili ndogo au walihamua kutengeneza unnecessary bureaucracy.

Nauliza tukimpeleka MD wa kawaida Muhimbili kwenye vifaa vya ngazi ya rufaa atakuwa anatoa huduma za kibingwa sababu ya vifaa?
Utafanya gastrectotomy bila vifaa au kwasababu vipo kichwani unafikiri unafanya tu. Kama ni hivyo kafanye craniotomy barabarani kama vifaa na mazingira havina maana. Wewe umeona MD wa Muhimbili analipwa kama specialist wakati bei ya malipo ni ileile kwakila level from National to health centers. Watz mnamaswali yasiyo na kichwa wala mguu.
 
Utafanya gastrectotomy bila vifaa au kwasababu vipo kichwani unafikiri unafanya tu. Kama ni hivyo kafanye craniotomy barabarani kama vifaa na mazingira havina maana. Wewe umeona MD wa Muhimbili analipwa kama specialist wakati bei ya malipo ni ileile kwakila level from National to health centers. Watz mnamaswali yasiyo na kichwa wala mguu.
Hospital binafsi haziwezi kununua vifaa vilivyopo hospital kubwa za serikali?
 
Utafanya gastrectotomy bila vifaa au kwasababu vipo kichwani unafikiri unafanya tu. Kama ni hivyo kafanye craniotomy barabarani kama vifaa na mazingira havina maana. Wewe umeona MD wa Muhimbili analipwa kama specialist wakati bei ya malipo ni ileile kwakila level from National to health centers. Watz mnamaswali yasiyo na kichwa wala mguu.
Utafanya gastrectotomy bila vifaa au kwasababu vipo kichwani unafikiri unafanya tu. Kama ni hivyo kafanye craniotomy barabarani kama vifaa na mazingira havina maana. Wewe umeona MD wa Muhimbili analipwa kama specialist wakati bei ya malipo ni ileile kwakila level from National to health centers. Watz mnamaswali yasiyo na kichwa wala mguu.
Baba yangu amefanyiwa upasuaji katika zahanati ya serikali na daktari toka hospital ya wilaya ingekuwa bima angekosa huduma ya yule daktari tulilipia cash.
 
Baba yangu amefanyiwa upasuaji katika zahanati ya serikali na daktari toka hospital ya wilaya ingekuwa bima angekosa huduma ya yule daktari tulilipia cash.
Naunajua kuwa amebunja miongozo au unafikiri utani. Angekosea kidogo tu daktari malpractice ni issue ambayo daktari ingemkuta. Watz ni shida😂😂😂. MCT wameshaanza kuuliza kwanini malpractice haichukuliwi serious nchini. Pia wizara ikikagua ikagundua ni janga kubwa la zahanati au kwasababu hujawahi kuambia kuwa issue zinakuwa serious vipi. Ndio maana nikakwambia kwenye issue ya kitita cha mafao bora mwanachama ukae pembeni mwache mtoa huduma ajitetee. Hujui behind the curtains. Ukiambiwa MOI imeingiza hasara kwenye ripoti ya CAG usifikiri walichota pesa wakasepa nazo nope bali pesa inayotakiwa kwenda kwa hospitali ilienda straight to a person sio taasisi. miongozo sio utani, yakikukuta hata kazi huna. Otherwise tuna mkurugenzi mpya wa MOI, go figure.
 
Hospital binafsi haziwezi kununua vifaa vilivyopo hospital kubwa za serikali?
Zinaruhusiwa hivyo zikifanya hivyo zinaupgrade hospitali from dispensary to HC to district hospital au hata zonal kama Bugando. Ila unajua kwanini, running cost kqasababu kuwa na hivyo vifaa sio toshelezi kuna vitanda rasilimali watu na vitu vingine. Nani anataka hayo, I invest small I get big, waza mkuu.
 
Naunajua kuwa amebunja miongozo au unafikiri utani. Angekosea kidogo tu daktari malpractice ni issue ambayo daktari ingemkuta. Watz ni shida😂😂😂. MCT wameshaanza kuuliza kwanini malpractice haichukuliwi serious nchini. Pia wizara ikikagua ikagundua ni janga kubwa la zahanati au kwasababu hujawahi kuambia kuwa issue zinakuwa serious vipi. Ndio maana nikakwambia kwenye issue ya kitita cha mafao bora mwanachama ukae pembeni mwache mtoa huduma ajitetee. Hujui behind the curtains. Ukiambiwa MOI imeingiza hasara kwenye ripoti ya CAG usifikiri walichota pesa wakasepa nazo nope bali pesa inayotakiwa kwenda kwa hospitali ilienda straight to a person sio taasisi. miongozo sio utani, yakikukuta hata kazi huna. Otherwise tuna mkurugenzi mpya wa MOI, go figure.
Nilifikiri utaniuliza kwanini alifanyiwa hapo zahanati?
Sababu umri wake ni mkubwa sana hivyo daktari wa tatizo lake wa wilaya anawafanyia hiyo huduma karibu na mahali wanapoishi hao wazee waweze kupata huduma kwa urahisi.
 
Zinaruhusiwa hivyo zikifanya hivyo zinaupgrade hospitali from dispensary to HC to district hospital au hata zonal kama Bugando. Ila unajua kwanini, running cost kqasababu kuwa na hivyo vifaa sio toshelezi kuna vitanda rasilimali watu na vitu vingine. Nani anataka hayo, I invest small I get big, waza mkuu.
Ndiyo maana Wana alika au tafuta daktari bingwa anakuja kuwapati huduma wagonjwa wengi hapo kwao. Hii inasaidia kupunguza pengo la gharama kubwa ya uendeshaji.
Nyie na watunga Sera mnataka au mnapenda kuona wagonjwa wanarundikana Muhimbili na Bugando au KCMC siku kibao hawajapata huduma sahihi.
Kama Kuna taasisi zinataka kuwapunguzia hizo gharama kwanini mnawaonea huruma gharama za uendeshaji?
 
Nilifikiri utaniuliza kwanini alifanyiwa hapo zahanati?
Sababu umri wake ni mkubwa sana hivyo daktari wa tatizo lake wa wilaya anawafanyia hiyo huduma karibu na mahali wanapoishi hao wazee waweze kupata huduma kwa urahisi.
😂😂😂 watanzania bwana, hivi unajua how much risk unachukua kumfanyia operesheni mzee naunahitaji vitendea kazi gani kumfanya akae sawa pindi mambo yakienda mrama. Moyo wa mzee upo wiki ndio maana hata daktari husuggest kutofanya operesheni unless its an emergency kwasababu utamtibu hili ila utamuua kwa heart attack au cardiac arrest. Yaani kufanya operesheni na kufanikiwa just thank God ila nimakosa na usije ukautumia huo ushuhuda tena utapelekea hata aliyefanya operesheni kufungwa maana ECG na vifaa vingine vya kuhuisha (nimetumia lugha ya kawaida sio taaluma) moyo havipo. Usifikiri hivi vitu ni utani, utaua wengi na kutibu wachache, that's a malpractice.
 
Ndiyo maana Wana alika au tafuta daktari bingwa anakuja kuwapati huduma wagonjwa wengi hapo kwao. Hii inasaidia kupunguza pengo la gharama kubwa ya uendeshaji.
Nyie na watunga Sera mnataka au mnapenda kuona wagonjwa wanarundikana Muhimbili na Bugando au KCMC siku kibao hawajapata huduma sahihi.
Kama Kuna taasisi zinataka kuwapunguzia hizo gharama kwanini mnawaonea huruma gharama za uendeshaji?
😂😂😂 wewe ushaambiwa hizo running cost ni kwaajili ya efficiency ya kuendeshea kituo sio kukufaidisha. Huwezi kufanya operesheni kubwa hapa then ikifeli au complication ikitokea unakimbizia emergency hospitali ya bugando au KCMC. Ni makosa na chaajabu haya yanatokea kwawingi na watu hawajifunzi. Uendeshaji lazima ukidhi mahitaji na ni kwa usalama na afya njema za watu, wewe unataka ufanyie ujasiriamali kwenye afya za watu😂😂😂, duh! Sekta ya afya na kazi za afya ni kitu kingine na huwezi jua kama ni wito mpaka uingie ucheze lasivyo utafanya ujanja ili ufanye biashara sasa chakushangaza wamezidi kukufanyia uchuuzi kwenye afya huku wanakuongezea dialysis machine maana kuharibu afya inacomplicate kuharibu figo kufeli ndio ujue kwanini wagonjwa wa figo wanazidi. Wao kazi kuinstall new dialysis machines tu. Yaani mtanzania anakimbilia tiba kuliko kinga. Mkiambiwa hamuambiliki, bebeni msalaba wenu aisee. Medical field sio siasa, aisee tutajimaliza wenyewe. Wueeh😂😂
 
Back
Top Bottom