TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.
MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.
MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe