NHIF na hasara ya zaidi ya Bilioni 204 ndani ya mwaka mmoja tu

NHIF na hasara ya zaidi ya Bilioni 204 ndani ya mwaka mmoja tu

Mfano si wapo wameshatajwa na wamejulikana, tuanze na haohao.

Tena iwe hakuna kucheleweshwa, kama uchunguzi umeshafanywa na CAG, iwe kama traffic case tu, adhabu inatekelezwa hapohapo haina haja hata ya kuwafikisha mahakamani.
CCM hawana uwezo huo maana Kuna mgongano wa kimaslahi. Kila unapotaka kumtumbua ni kada au mtoto wa kiongozi mkubwa au mdhamini wa chama tawala Sasa utamuwajibisha vipi?
 
Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.

1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.

2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.

3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Je nani wakufanya hayo ikiwa mfumo mzima ni mnufaika?
 
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.

Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.

Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.

MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.

Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.

Haya makosa ni ya mchongo

Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.

Ni hasara za kizembe
shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
 
shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kaka mkubwa kwema?Nina mazungumzo kidogo nawe nashindwa namna ya kuja Pm yako.
 
Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.

1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.

2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.

3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Leo umeongea kitu...
 
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.

Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.

Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.

MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.

Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.

Haya makosa ni ya mchongo

Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.

Ni hasara za kizembe
Hatushangai ongezeko la ghafla la gharama za bima za afya kwa watoto ili kuziba nakisi ya upigaji uliotukuka.

Hivi waziri kazi yake ni kumsifia mama au kutekeleza majukumu yake ikiwemo kuzuia upigaji yakinifu?
 
Nhif hiyo hiyo ukitafuta Mzungu ajae awe CEO utashangaa haipati hasara ...

Wafanyakazi hapo wanafanya fraud
NHIF inapata hasara kwa aina kubwa tatu.
- Frauds ( Wafanyakazi NHIF ) wanakula MICHONGO na Hospitali binafsi, wanaweka claims za kutisha halafu wanapata mgawo.

Nchi hii ni shamba la Bibi.

- Utungaji wa vifurushi uchwara.
( Mfumo wa bima unafanya kazi kea njia ya "pooling together of risks" . Yaani mchangie wengi, wachache watumie.
Sasa unapoweka vifurushi vya mtu mmoja mmoja, hata Kama utamwekea kiwango Cha Milioni 2 kwa mwaka kiuhalisia Bado utakula hasara. Kwasababu, unakuta mtu ana chronic diseases let's say FIGO anafanya dialysis Mara Mbili kwa wiki, na kila dialysis ni ni 400,000!!
Na Sasa hivi nchi hii Ina mzigo mzito sana wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

- UNAFIKI, UCHAWA, Matumizi makubwa na Nepotism.
Mashirika yote ya umma Wakurugenzi wake hawapatikani kwa meritocracy (uwezo). Ni CCM wanapeana tu. Shirika lipate hasara hata miaka 500 hawawezi kukosa mishahara yao mikubwa na marupurupu , maana wanapewa Ruzuku yote.


Lakini ingekuwa mishahara yao Kama ya TAMISEMI na ukubwa wa mishahara yao unatokana na faida ya shirika labda wangekuwa serious.

Nchi hii imeshashindwa kila kitu, ni watu wanagawana ulaji watulie Basi.


Masikini wasio na sauti Basi.
 
Tunatatizo kubwa sana, yaani huko ndani kumejaa wasomi ila ndiko kunaongoza kwa Uzembe & Wizi.
Hivi Karne ya 21 Kweli unapokea malipo ya Billion's kwenye makaratasi????
Najua wakiambiwa waweke mfumo, wataleta bajeti isiyotekezeka ili waendelee kupiga hela wakati tuna mifumo kadhaa aliyoweka Magufuli hivyo tuna pakuanzia/kujifunzia. Kuna mambo ya ajabu sana huko ndani........
Ndio sababu Wazungu wanatuona tumesoma ili tupate makaratasi (vyeti) ila hatuna akili/hatuna uzalendo na Nchi zetu.

Suluhisho: Kila kitu kifanyike kwenye mtandao, uki run report hizo discrepancies zote zinaonekana ndani ya pengine masaa matatu hivyo zitahitajika kupatiwa majibu kabla ya kufanya malipo. Na hata bajeti ya auditing itaondoka pengine itabakia robo tu kwa sababu kazi kwa kiasi kikubwa zitafanyika makao makuu (online).
Nafikiri ifike mahala tujue, kuwa na Madegree Mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri; tunahitaji watendaji wabadilishe idara zao tupate matokeo chanja....
Hayo unayoyaona leo kutoka kwa CAG ni mazao ya Magufuli.
 
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.

Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.

Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.

MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.

Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.

Haya makosa ni ya mchongo

Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.

Ni hasara za kizembe
Nchi inapigwa wajinga sisi tunashangilia
 
Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.

1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.

2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.

3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Kwamba CCM mnaweza kumshughulikia Ridhiwani Kikwete, Mchengerwa, Pinda Jr, Nnape Nnauye, January Makamba, Zahra MICHUZI, Lowassa Jr???


Kiuhalisia inafahamika kwanini hao watu wapo kwenye nafasi walizopo.

Hao watu hawakupewa nafasi walizonazo ili walete Ufanisi.

Kwahiyo hata wavuruge vipi huo uwezo wa kuwashughulikia HAUPO.
 
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.

Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.

Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.

MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.

Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.

Haya makosa ni ya mchongo

Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.

Ni hasara za kizembe
Kuna mwaka waliwahi pata faida?

Hasara nyingi zinasababishwa na uzembe,na wizi na kuajiri watu incompetent.

Mtu kama Makinda eti ni Mkuu wa Bodi ya NHIF,ana kipi kipya anaweza offer?

Shirika hili limeundwa lilete faida lakini hakuna kitu,Kuna malipo ya bil.28 wamelipua Vituo vya Huduma bila kutoa Huduma.

Ikibainika ndivyo ilivyo ni kuvunja Bodi na management yote upya na kuanza recruitment ya staff upya.
 
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.

Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.

Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.

MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.

Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.

Haya makosa ni ya mchongo

Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.

Ni hasara za kizembe
Tatizo sio mfumo tatizo ni watu.Hata wewe wakija uwaundie mfumo watataka wapandishe bei ili wapige hela.Hata kama mfumo ukiwepo watauzima waseme upo down ili wapate namna ya kupiga.Swali ni Je tunawezaje kudhibiti watu kama hawa?
 
Hizo ni fikra zako, upo huru.
Sio fikra ni FACT, mfano Bonde la Ihefu ripoti ya kina Balile mbele ya Makamu wa Raid ilisema Kuna familia 12 za vigogo wakubwa wa serikali ndio maana ikawa ngumu kuwaondoa. Same to JPM alipopewa ripoti ya wezi wa Mali za CCM akagundua 90% ni vigogo waandamizi wa CCM Sasa utawakamataje?

Conflict of interest au state capture ni tatizo kubwa kwenye uwajibikaji.
 
Back
Top Bottom