Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Kwa hiyo hasara ya billioni 204 iliyotengenezwa mwaka jana Magufuli akikuwepo.Huu mfuko aliunajisi Magu,alichota pesa nyingi sana kipindi cha utawala wake,akashindwa kuustabilize
Magufuli ndio sehemu ya management ya NHIF inayochezea mifumo ya mapato.
Ebu muwe mnasoma kwanza hizo reports zinasema nini na za mwaka gani.