TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
- #21
Umewahi kusikia wapi tanzania kiongozi anajihuzuru ukimuondoa Edo?,Kwanini mwenyekiti wa bodi ya NHIF Mr. Juma A.M Muhimbi hajajiuzulu hadi leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kusikia wapi tanzania kiongozi anajihuzuru ukimuondoa Edo?,Kwanini mwenyekiti wa bodi ya NHIF Mr. Juma A.M Muhimbi hajajiuzulu hadi leo?
Akha,Ngimba ulighwakumwitu
Aka!! Nimeishi nao tu,nawaelewaNgimba ulighwakumwitu
Anha,sawaAkha,
Aka!! Nimeishi nao tu,nawaelewa
Shida waanze na huko ofisi zao wenyewe hapo kuna dili kati ya wafanyakazi wa NHIF na wamiliki wa hosp,huwez sema eti una muhasibu wa NHIF halafu anaona malipo hewa anatulia uhuni tuKwa mujibu wa CAG,shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B,kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa,na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo,pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa,ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu ,unawaamini vipi?, ipi efficiency yao,ni uzembe kama sio mchongo .
MAPENDEKEZO.
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale,waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika,na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine,mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu,mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara,mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika,mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe,mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote ,utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
Dili zote hutengenezwa na wahakiki wa fomu,fomu zinafanyiwa duplication hii ndio wanaitumiansana,utakuta kuna fomu 200,lakini zinajazwa 400Shida waanze na huko ofisi zao wenyewe hapo kuna dili kati ya wafanyakazi wa NHIF na wamiliki wa hosp,huwez sema eti una muhasibu wa NHIF halafu anaona malipo hewa anatulia uhuni tu
Kwa mujibu wa CAG,shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B,kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa,na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo,pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa,ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu ,unawaamini vipi?, ipi efficiency yao,ni uzembe kama sio mchongo .
MAPENDEKEZO.
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale,waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika,na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine,mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu,mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara,mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika,mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe,mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote ,utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
Ukiangalia hizo pesa wanazosema wamepoteza, wao NHIF ndio waliziokoa baada ya kufanya uchunguzi. Shida wakaguzi wa CAG wakifika sehemu hukimbilia ready-made report na ku copy n paste.Kwa mujibu wa CAG,shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B,kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa,na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo,pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa,ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu ,unawaamini vipi?, ipi efficiency yao,ni uzembe kama sio mchongo .
MAPENDEKEZO.
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale,waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika,na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine,mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu,mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara,mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika,mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe,mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote ,utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
Waliziokoa wapi?, ready made report by whom?Ukiangalia hizo pesa wanazosema wamepoteza, wao NHIF ndio waliziokoa baada ya kufanya uchunguzi. Shida wakaguzi wa CAG wakifika sehemu hukimbilia ready-made report na ku copy n paste.
Wapunguze na maofisi ya mikoa, kanda. Wanapangisha maofisi, mengine majumba ya viongozi kwa kodi maradufu. Halafu wanatuambia eti hatua walizochukua ni kufuta vifurushi vya watoto na wanafunzi , kwa uozo huu warudishe tu watoto wetu wajengwe afya njema.Kwa mujibu wa CAG,shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B,kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa,na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo,pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa,ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu ,unawaamini vipi?, ipi efficiency yao,ni uzembe kama sio mchongo .
MAPENDEKEZO.
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale,waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika,na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine,mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu,mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara,mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika,mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe,mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote ,utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
Ukifanya hivyo watasema we dikteta, sijui mara ooh haambiliki, mbabe na majina kibao. Wanaona sheria ikiwabana wao basi ifutwe, sijui hata wanataka nn hawa?Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.
1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.
2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.
3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Nakuunga mkono asilimia zote. Nashangaa mtu anafungwa jela maisha kwa kukutwa na madawa ya kulevya au kubaka lakini ambaye anahujumu mfuko wa afya ya jamii anachekewa ile hali watu watakuja kupatwa na maradhi na mfuko utashindwa kuwalipia gharama za matibabu na wametoa michango yao bila shida.Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.
1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.
2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.
3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Na tanesco.Watakubari?, kama kuna shirika lilitakiwa kubinafsishwa ni TTCL lakini wamekomaa nalo
Huyu sasa ndiye FaizaFox yule wa enzi hizooo...I concur with you madam!Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.
1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.
2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.
3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Ulishawahi kuona wanajiuzulu hawa?Kwanini mwenyekiti wa bodi ya NHIF Mr. Juma A.M Muhimbi hajajiuzulu hadi leo?
Nyie nyie ndo mtakuja kulalamika humu kwamba wameonewa, mara rais diktetaMfano si wapo wameshatajwa na wamejulikana, tuanze na haohao.
Tena iwe hakuna kucheleweshwa, kama uchunguzi umeshafanywa na CAG, iwe kama traffic case tu, adhabu inatekelezwa hapohapo haina haja hata ya kuwafikisha mahakamani.
Leo dada umetema madini balaa bila shaka utakuwa umefuturia uji wa dengu ..Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.
1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.
2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.
3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Kifupi NHIF ni wezi wakubwa kwa mali ya umma,kurudia fomu mara mbili na malipo hewa ni jambo la kawaida kwao. Tanzania Heart Institute wakati wa uhai wake ilikataa jambo hilo na baadhi ya fedha wanagoma kulipa kisa wamenyimwa matakwa yao. Nimekuwepo hospitali najua baadhi ya michezo yao,wezi wakubwa na walistahili kunyongwa tu.Nyerere alikosea kutojifunza kwa Mao wa China enzi hizo,nchi ingekuwa imenyooka kiasi.Sasa hasara ya 204bn kwa shirika, kisa malipo hewa, duplication ya malipo; nani anawajibika? Nani anawajibishwa?
204bn kama hasara ya mwaka mmoja, ni sawa na sh 50,000 ngapi zile za Toto Afya?
Naunga mkono hoja
Safi sanaWizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.
1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.
2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.
3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.