NHIF na hasara ya zaidi ya Bilioni 204 ndani ya mwaka mmoja tu

NHIF na hasara ya zaidi ya Bilioni 204 ndani ya mwaka mmoja tu

Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.

1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.

2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.

3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Polisi? Hawa walioibiwa 4 billions.
 
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.

Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.

Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.

MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.

Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.

Haya makosa ni ya mchongo

Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.

Ni hasara za kizembe
Huyo mkaguzi wa ndani wa hesabu wa NHI bado tu hajafikushwa mahakamani na timu yake ya uhasibu?
 
Mfano si wapo wameshatajwa na wamejulikana, tuanze na haohao.

Tena iwe hakuna kucheleweshwa, kama uchunguzi umeshafanywa na CAG, iwe kama traffic case tu, adhabu inatekelezwa hapohapo haina haja hata ya kuwafikisha mahakamani.
Nonsense
 
Mambo mengine yakujitakia.

Wizara ilikuwa na waziri well trained kwenye maswala ya health management.

Ana uwezo wa kuingia hospitali akiamua kuwapiga audit hapo hapo anaweza akabaini invoices fake za wagonjwa ambao awapo, kuona sources za multiple entries za wagonjwa. Sio hadithi ashaonyesha uwezo huo live watu wanabaki wanajiuma-uma hawana majibu.

Hayo mambo yangewasaidia NHIF kupigwa kishamba maana vituo vya afya vingeelewa akija waziri kukagua hapo ni shida nyingine.

Waziri anajua matumizi ya inventory control ya dawa kuhakikisha hakuna upotevu na zinatumika kwa wakati, angeweza isimamia MSD vizuri ashafanya ivyo live mwanza walitaka kumuongopea stock levels za dawa.

Better still huko kwenye quality of health service delivery ndio level nyingine kwa manufaa ya watumia huduma maana ni medical doctor by profession.

Angeweza wapigania kwenye health insurance cover kwa sababu ana abc za accounting anaonekana. Kama kaonyesha uwezo wa kufanya auditing na kubaini uzembe wa mifumo. Basi ata NHIF pia kwenye kusimamia mapato yao Angelina na kuelewa sababu za kupata hasara, mifumo yao ya usimamizi ni mibovu. Uzembe wao wa kusimamia rasimali fedha ndio sababu ya kubadili bei za insurance coverage ili kufidia hasara zao kwa uzembe wa management mwisho wa siku zigo anatumiwa mteja.

Mnakwenda kumtukana waziri gani anaropoka tu, sijui anakunywa dawa za asili za covid, atolewe hapo. Mnamtaka nani awekwe limbukeni asiejua lolote kuhusu health management, wala medical practice.

Akili za watanzania kwa ujumla is beyond me, sasa leo mnashangaa nini wakati mkipewa watu wenye uwezo mnawatukana. Mama wa watu kaamua atulie zake huko wizara ya social service na kufura tu maana uwezo wake halisi amuutaki.

Unavuna ulichopanda na sio kingine, haya mambo ni ya kujitakia.
 
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.

Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.

Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.

MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.

Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.

Haya makosa ni ya mchongo

Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.

Ni hasara za kizembe
Kama hasara ishatokea tuwapeni muda makosa yatarekebishika
Nani ambaye hajawahi kukosea!
 
Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.

Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.

Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.

MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.

Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.

Haya makosa ni ya mchongo

Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.

Ni hasara za kizembe
Wakosoaji wakubwa wa mfuko wa bima wengi wao sio watumiaji wa bima ndio maana hamjui faida za bima.. lkn twende mbele turudi nyuma mfuko wa bima wa taifa unawakomboa wengi
Tutumie tuchangie mfuko tuache siasa hakuna mahali kitu kinaweza fanyika pasipo short kutokea, mengi mazuri yanakuja
 
Wakosoaji wakubwa wa mfuko wa bima wengi wao sio watumiaji wa bima ndio maana hamjui faida za bima.. lkn twende mbele turudi nyuma mfuko wa bima wa taifa unawakomboa wengi
Tutumie tuchangie mfuko tuache siasa hakuna mahali kitu kinaweza fanyika pasipo short kutokea, mengi mazuri yanakuja
Wewe ni mpumbavu
 
Naomba wote wanaotumia hizi card watumie kwenye hospital za serikali tu
 
Wakosoaji wakubwa wa mfuko wa bima wengi wao sio watumiaji wa bima ndio maana hamjui faida za bima.. lkn twende mbele turudi nyuma mfuko wa bima wa taifa unawakomboa wengi
Tutumie tuchangie mfuko tuache siasa hakuna mahali kitu kinaweza fanyika pasipo short kutokea, mengi mazuri yanakuja
Kwani hapa tumokosoa uwepo wa huo mfuko? Omba ueleweshwe kama hujaelewa
 
Mambo mengine yakujitakia.

Wizara ilikuwa na waziri well trained kwenye maswala ya health management.

Ana uwezo wa kuingia hospitali akiamua kuwapiga audit hapo hapo anaweza akabaini invoices fake za wagonjwa ambao awapo, kuona sources za multiple entries za wagonjwa. Sio hadithi ashaonyesha uwezo huo live watu wanabaki wanajiuma-uma hawana majibu.

Hayo mambo yangewasaidia NHIF kupigwa kishamba maana vituo vya afya vingeelewa akija waziri kukagua hapo ni shida nyingine.

Waziri anajua matumizi ya inventory control ya dawa kuhakikisha hakuna upotevu na zinatumika kwa wakati, angeweza isimamia MSD vizuri ashafanya ivyo live mwanza walitaka kumuongopea stock levels za dawa.

Better still huko kwenye quality of health service delivery ndio level nyingine kwa manufaa ya watumia huduma maana ni medical doctor by profession.

Angeweza wapigania kwenye health insurance cover kwa sababu ana abc za accounting anaonekana. Kama kaonyesha uwezo wa kufanya auditing na kubaini uzembe wa mifumo. Basi ata NHIF pia kwenye kusimamia mapato yao Angelina na kuelewa sababu za kupata hasara, mifumo yao ya usimamizi ni mibovu. Uzembe wao wa kusimamia rasimali fedha ndio sababu ya kubadili bei za insurance coverage ili kufidia hasara zao kwa uzembe wa management mwisho wa siku zigo anatumiwa mteja.

Mnakwenda kumtukana waziri gani anaropoka tu, sijui anakunywa dawa za asili za covid, atolewe hapo. Mnamtaka nani awekwe limbukeni asiejua lolote kuhusu health management, wala medical practice.

Akili za watanzania kwa ujumla is beyond me, sasa leo mnashangaa nini wakati mkipewa watu wenye uwezo mnawatukana. Mama wa watu kaamua atulie zake huko wizara ya social service na kufura tu maana uwezo wake halisi amuutaki.

Unavuna ulichopanda na sio kingine, haya mambo ni ya kujitakia.
Huu mfuko aliunajisi Magu,alichota pesa nyingi sana kipindi cha utawala wake,akashindwa kuustabilize
 
Back
Top Bottom