zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
CCM hawana uwezo huo maana Kuna mgongano wa kimaslahi. Kila unapotaka kumtumbua ni kada au mtoto wa kiongozi mkubwa au mdhamini wa chama tawala Sasa utamuwajibisha vipi?Mfano si wapo wameshatajwa na wamejulikana, tuanze na haohao.
Tena iwe hakuna kucheleweshwa, kama uchunguzi umeshafanywa na CAG, iwe kama traffic case tu, adhabu inatekelezwa hapohapo haina haja hata ya kuwafikisha mahakamani.
Hizo ni fikra zako, upo huru.CCM hawana uwezo huo maana Kuna mgongano wa kimaslahi. Kila unapotaka kumtumbua ni kada au mtoto wa kiongozi mkubwa au mdhamini wa chama tawala Sasa utamuwajibisha vipi?
Wafanyakazi wanashirikiana na hospital binafsiNhif hiyo hiyo ukitafuta Mzungu ajae awe CEO utashangaa haipati hasara ...
Wafanyakazi hapo wanafanya fraud
Je nani wakufanya hayo ikiwa mfumo mzima ni mnufaika?Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.
1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.
2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.
3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.
MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
Kaka mkubwa kwema?Nina mazungumzo kidogo nawe nashindwa namna ya kuja Pm yako.shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Leo umeongea kitu...Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.
1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.
2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.
3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Hatushangai ongezeko la ghafla la gharama za bima za afya kwa watoto ili kuziba nakisi ya upigaji uliotukuka.Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.
MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
NHIF inapata hasara kwa aina kubwa tatu.Nhif hiyo hiyo ukitafuta Mzungu ajae awe CEO utashangaa haipati hasara ...
Wafanyakazi hapo wanafanya fraud
Hayo unayoyaona leo kutoka kwa CAG ni mazao ya Magufuli.Tunatatizo kubwa sana, yaani huko ndani kumejaa wasomi ila ndiko kunaongoza kwa Uzembe & Wizi.
Hivi Karne ya 21 Kweli unapokea malipo ya Billion's kwenye makaratasi????
Najua wakiambiwa waweke mfumo, wataleta bajeti isiyotekezeka ili waendelee kupiga hela wakati tuna mifumo kadhaa aliyoweka Magufuli hivyo tuna pakuanzia/kujifunzia. Kuna mambo ya ajabu sana huko ndani........
Ndio sababu Wazungu wanatuona tumesoma ili tupate makaratasi (vyeti) ila hatuna akili/hatuna uzalendo na Nchi zetu.
Suluhisho: Kila kitu kifanyike kwenye mtandao, uki run report hizo discrepancies zote zinaonekana ndani ya pengine masaa matatu hivyo zitahitajika kupatiwa majibu kabla ya kufanya malipo. Na hata bajeti ya auditing itaondoka pengine itabakia robo tu kwa sababu kazi kwa kiasi kikubwa zitafanyika makao makuu (online).
Nafikiri ifike mahala tujue, kuwa na Madegree Mengi sio sababu ya kuwa mtendaji mzuri; tunahitaji watendaji wabadilishe idara zao tupate matokeo chanja....
Pouwa takucheki jioni usijaliKaka mkubwa kwema?Nina mazungumzo kidogo nawe nashindwa namna ya kuja Pm yako.
Nitashukuru kakaPouwa takucheki jioni usijali
Nchi inapigwa wajinga sisi tunashangiliaKwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.
MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
Kwamba CCM mnaweza kumshughulikia Ridhiwani Kikwete, Mchengerwa, Pinda Jr, Nnape Nnauye, January Makamba, Zahra MICHUZI, Lowassa Jr???Wizi serikalini hautapungua mpaka hatua kali zichukuliwe.
1) kuuwawa wezi wa mali za serikali.
2) kutaifishwa mali zao zote, wao na washirika wao, wawemo au wasiwemo serikalini.
3) Tuanzie na sehemu ambazo ndiyo wamepewa majukumu ya kuzuwia hayo, kama vile polisi, takukuru, uwt na vyombo vyote vya ulinzi.
Kuna mwaka waliwahi pata faida?Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.
MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
Tatizo sio mfumo tatizo ni watu.Hata wewe wakija uwaundie mfumo watataka wapandishe bei ili wapige hela.Hata kama mfumo ukiwepo watauzima waseme upo down ili wapate namna ya kupiga.Swali ni Je tunawezaje kudhibiti watu kama hawa?Kwa mujibu wa CAG, shirika la bima ya afya ya Taifa limepata hasara ya zaidi ya 204B, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya malipo hewa, na marudio ya malipo kwa huduma ile ile kwa mtu yuleyule na kwa wakati ule ule.
Kwa mimi mdau wa afya NHIF wamekosa mfumo maalumu wa kuhakiki taarifa za malipo, pesa nyingi zinapotea kupitia fomu za malipo ya matibabu.
Fomu hizo huwa zinaweza kuwa duplicated tena wahakiki wanaweza kujua lakini dili linapigwa, ni kitu kisichowezekana mfano form 400 zinahakikiwa na watu, unawaamini vipi? Ipi efficiency yao, ni uzembe kama sio mchongo.
MAPENDEKEZO
NHIF isitishe kutumia fomu za karatasi kurekodi huduma alizopewa mgonjwa na kuandika gharama zake pale, waunde mfumo wa kompyuta ama wa uboreshe huo walio nao ambapo utakuwa ukiretrive data moja kwa moja kutoka hospitali husika, na mfumo huo uwe na uwezo wakufilter wenyewe duplication zozote zile ambazo zitajitokeza kwa namna moja ama nyingine, mfumo ndio ufanye hesabu na sio watu, mfumo ndio uhakiki na sio watu.
Ikibidi NHIF waunde mfumo wao maalumu wa huduma za afya ambao watakuwa wakitoa katika kila hospital ambayo wameingia nayo makubaliano kufanya biashara, mfumo huo utakuwa na uwezo wa kuonesha huduma ambazo zipo katika makubaliano tu na hospital husika, mfumo uwe na uwezo wa kupiga hesabu wenyewe, mtu wa billing wa hospital husika atakuwa na uwezo wa kuangalia jumla ya huduma zilizotolewa hatukuwa na uwezo wa kuongeza chochote, utamsaidia yeye kufanya hesabu zake za ndani nakutunza data.
Haya makosa ni ya mchongo
Kama kuna maofisa wa NHIF WAPO huku basi andaeni fungu niwaandalie idea namna muunde mfumo wenu kama mmeshindwa.
Ni hasara za kizembe
Sio fikra ni FACT, mfano Bonde la Ihefu ripoti ya kina Balile mbele ya Makamu wa Raid ilisema Kuna familia 12 za vigogo wakubwa wa serikali ndio maana ikawa ngumu kuwaondoa. Same to JPM alipopewa ripoti ya wezi wa Mali za CCM akagundua 90% ni vigogo waandamizi wa CCM Sasa utawakamataje?Hizo ni fikra zako, upo huru.