Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ilani inatekelezwa kweli kweli.Ni kilio, baada ya NHIF kufuta kifurushi cha Toto Afya na kulazimisha mzazi kukata bima ya afya pamoja na Watoto wao na gharama kupanda kutoka 50,400 mpaka 120,000 kwa mtoto mmoja.
Hili jopo lililopitisha hii ni la watanzania kweli?Hili ongezeko ni zaidi ya asilimia 100
Yeah ila waliojisahauHili jopo lililopitisha hii ni la watanzania kweli?
Halafu kuna siku wakikaa kwenye vikao vyao wanaanza kushangaa na kujiuliza "hivi sisi ndiyo tulipitisha hii?". Ooh Jehova tutetee sisi watanzania.Hii issue naona serikali ingekaa na wadau waangalie namna bora ya kuifanikisha, maamuzi mengi wanayochukua peke yao huwa mwishowe yanawaumiza watanzania wa kipato cha chini.
Sioni tena umuhimu wa kuwa na bima ya afya kwenye hii nchi, kinachoenda kutokea ni kujiandaa tu na pesa zako mfukoni.