NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

Ila wanasheria WA Tanzania na wanaharakati watajifanya hii show haiwahusu........wenyewe waambie tunataka kujua Nani walimpiga risasi tundu.......wakati risasi ya ukweli ndio hii..........na unaziona kabisa idiots wakiifyatua Kwa mbwembwe............vipi kuhusu wale wanaoidai serikali baada ya kufanya malipo Yao..?? Pesa itarudishwa au?? Na nilikuwa sijamaliza bando langu napataje haki zangu...........??Wana sheria mko wapi muwe mabilionea huku........hii serikali inatakiwa mpaka kuku WA idiots wote wafungwe Kwa utapeli na kuhujumu uchumi
 
Aisee NHIF mmejua kutuletea huduma karibu kijijini kwetu kwa hiyo sahizi mambo namalizia shule iliyopo kijijini kwetu hakuna kwenda wilayani mambo ni huduma karibu na wananchi.
Asante sana Mama Samia maana kwenda Bomani sie wengine hatuna nauli ya kwenda kufuatilia bora tumalizie hapahaoa kijijini kwetu
Acha porojo wewe, shule ipi kijijini yenye utaratibu huo wa kukatia bima watoto!? Huu ujinga (uchawa) uwe na mipaka siyo kwenye kila kitu. Issue ya Bima inagusa uhai (afya) za watu so pelekeni uchawa wenu kwenye siasa huko.
 
Sipingi wala siungi mkono lakini nasubiri kitakachofata baada ya hiki ndio nitakuwa nina hoja nacho kwa sababu kabla ya kuamua hili lifanyike nadhani vilianza vikao kwanza kwa watendaji wa nhif so nawasihi tuwe na subra huenda wakaja na zuri zaidi ya hilo la mwanzo lakini endapo wakikosea tutawashauri inshallah.
Wameshatoa maelekezo: watoto wakatiwe Bima mashuleni (sidhani kama shule za serikali zina utaratibu huo) na kwenye vifurushi vya familia!
Kifupi wananchi wamepokwa fursa ya matibabu.
 
Wameshatoa maelekezo: watoto wakatiwe Bima mashuleni (sidhani kama shule za serikali zina utaratibu huo) na kwenye vifurushi vya familia!
Kifupi wananchi wamepokwa fursa ya matibabu.
Hata za shuleni hawataki, wanataka wazazi wahusike.
Soma Nipashe ya leo
 
Kiwango cha chini kwa familia ya watoto wann yaani baba,mama na watoto 4 ni Tshs. 816,000/= sawasawa na kiila mmoja kuchangia 204,000/=.

Na inalipwa yote kwa mkupuo je ni mkulima gani wa chini wa kijijini ataweza kuchangia kiasi hicho cha fedha,serikali isifanye mzaha na afya za watu,hivi vifurushi bado ni ghari kwa mtanzania wa maisha ya chini.

Yaani kila mwezi mkukulima atenge 68,000/= kwaaji ya bima ya afya ataweza?

Hii ni HAPANA

AFYA KWANZA KATIBA BADAE!!
 
Kiwango cha chini kwa familia ya watoto wann yaani baba,mama na watoto 4 ni Tshs. 816,000/= sawasawa na kiila mmoja kuchangia 204,000/=.

Na inalipwa yote kwa mkupuo je ni mkulima gani wa chini wa kijijini ataweza kuchangia kiasi hicho cha fedha,serikali isifanye mzaha na afya za watu,hivi vifurushi bado ni ghari kwa mtanzania wa maisha ya chini.

Yaani kila mwezi mkukulima atenge 68,000/= kwaaji ya bima ya afya ataweza?

Hii ni HAPANA

AFYA KWANZA KATIBA BADAE!!
Acha ujamaa, jiangalie wewe na watoto wako.
Kila mtu apigane vita yake mwenyewe
 
Hamieni Bima ya Afya ya Jubilee, Jubilee insurance inatoa bima ya Afya kwa wote inayoitwa Pamoja Afya, ambapo ina malipo ya bri nafuu sana.

Unaweza.kupata Bima ya mtu mzima mpaka miaka 70 na huduma za wagonhwa nasaa 24.

Kwa wale wa umri wa kuanzia miaka 5 hadi 70 unapata Bima yako kwa kiasi cha kuanzia
*261,000 kwa daraja la shaba,
*400,000 kwa daraja la dhahabu na *500,000 kwa daraja la Almasi.
Na unaweza kutibiwa kwenye hospital zaidi ya 200 nchi nzima.

Unapata Card yako ndani ya siku 5 za kazi, na pia unaweza kuanza kutumia kadu yako baada ya siku 30 (Mwezi mmoja).

Kwa maelekezo au uafafanuzi zaidi juu ya bima ya Afya inayotolewa na jubileevpamoja na.jinsi ya kujiunga,tafadhari wasiliana kwa number : 0752329591.

Karibuni
 
Hamieni Bima ya Afya ya Jubilee, Jubilee insurance inatoa bima ya Afya kwa wote inayoitwa Pamoja Afya, ambapo ina malipo ya bri nafuu sana.

Unaweza.kupata Bima ya mtu mzima mpaka miaka 70 na huduma za wagonhwa nasaa 24.

Kwa wale wa umri wa kuanzia miaka 5 hadi 70 unapata Bima yako kwa kiasi cha kuanzia
*261,000 kwa daraja la shaba,
*400,000 kwa daraja la dhahabu na *500,000 kwa daraja la Almasi.
Na unaweza kutibiwa kwenye hospital zaidi ya 200 nchi nzima.

Unapata Card yako ndani ya siku 5 za kazi, na pia unaweza kuanza kutumia kadu yako baada ya siku 30 (Mwezi mmoja).

Kwa maelekezo au uafafanuzi zaidi juu ya bima ya Afya inayotolewa na jubileevpamoja na.jinsi ya kujiunga,tafadhari wasiliana kwa number : 0752329591.

Karibuni
Ungeweka bronchure kueleza ipatient, out patient ni kiasi gani
 
Hamieni Bima ya Afya ya Jubilee, Jubilee insurance inatoa bima ya Afya kwa wote inayoitwa Pamoja Afya, ambapo ina malipo ya bri nafuu sana.

Unaweza.kupata Bima ya mtu mzima mpaka miaka 70 na huduma za wagonhwa nasaa 24.

Kwa wale wa umri wa kuanzia miaka 5 hadi 70 unapata Bima yako kwa kiasi cha kuanzia
*261,000 kwa daraja la shaba,
*400,000 kwa daraja la dhahabu na *500,000 kwa daraja la Almasi.
Na unaweza kutibiwa kwenye hospital zaidi ya 200 nchi nzima.

Unapata Card yako ndani ya siku 5 za kazi, na pia unaweza kuanza kutumia kadu yako baada ya siku 30 (Mwezi mmoja).

Kwa maelekezo au uafafanuzi zaidi juu ya bima ya Afya inayotolewa na jubileevpamoja na.jinsi ya kujiunga,tafadhari wasiliana kwa number : 0752329591.

Karibuni
Huyu naye bhana... hospitali 200 ndo nn sasa. NHIF zipo zaidi ya 9000. Bold hapo 9000 mwenyewe. Ila tutaangalia kama kweli mna huduma izo za almasi maana dah.
 
Back
Top Bottom