Ni addiction gani imekushinda kuiacha??

 
Duh!

 
Sikufii Mkuu mie ni lita 5 hadi sita kwa siku
Mimi kufikia saa 6 mchana nakuwa nimekunywa tayari lita 3 sasa muda uliobaki hadi saa 21 usiku ni kupiga maji. Ila nikiwa sina safari ya kunifanya nikojoe hovyo.
 
Reactions: BAK
mie mpeñzi wa maji vuguvugu na pia iuingia JF yani lazima kila saa naingia... loooo!
 
Kunyonya maziwa yao hata kama simwamini najikuta nishanyonya chuchu
 
Mie nakunywa maji sana kwenye breakfast, lunch na supper/dinner in between also na glass mbili ninapoenda kulala.

Kipindi fulani nikiwa mdogo mzee wangu alikuwa akinywa sana maji nami nikaiga kwake. Nilikuwa naweza kupiga lita 3 mara moja nikiwa shule ya msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…