Bado mdogo sanaMh milion tano kwa Mwez makubwa. Diamond achukue mtoto wake
5 mil. per month is unreasonably much! hata bakhressa hawezi amriwa alipe hiyo hela!
I think the court will order maintenance accordingly...! but walichofanya mawakili wa mobeto ni prayer tactics...hapo wanategemea hata mahakama ikishusha na ukizingatia ubora wa maisha ya diamond,basi hawamkosi hata 1 mil. per month...lengo linakuwa limetimia...kuliko wangeanza na mil 1,wangeshushwa hadi laki 2.
Sijui katoa mchanganuo wa matumizi au karopoka tu...Bado mdogo sana
Hamisa hizi move zake anafikiria vizuri kweli? I doubtSijui katoa mchanganuo wa matumizi au karopoka tu...
5m akati mtoto hata uji ajanza kunywa???!!!!
Pambana na hali yako sasa ya Diamond na Majizzo mbona unayajua sana na kutaka kuwapangia waishi vipi..Unataka Diamond atoe milioni tano anza na bwanako mwambie akupe milioni tano kila mwezi..😀😀😀Mimi wangu ananipa mia tano kwa mwezi, una lingine?
Sawa dada nimekusikia.Pambana na hali yako sasa ya Diamond na Majizzo mbona unayajua sana na kutaka kuwapangia waishi vipi..Unataka Diamond atoe milioni tano anza na bwanako mwambie akupe milioni tano kila mwezi..😀😀😀
Weeh jamaa nikajua akili yako inaendana na mwili wako kumbe hapana..!Ningekuwa ni msanii ninayelipwa millioni mia mbili kwa show au ningekuwa namiliki gari ya Mil mia sita ningeweza. Namshauri auze nyumba ya Africa kusini mtoto asife njaa.
Huyu ni mtanzania mwenye ubongo timamu........!!!!!Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, amedai mahakamani kuwa hana uwezo wa kumlipa Mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sh milioni tano kama gharama za matunzo ya mtoto kwa mwezi.
Diamond amewasilisha majibu hayo katika Mahakama ya Watoto Kisutu, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka baada ya Mobeto kumfungulia kesi ya madai katika Mahakama hiyo ya watoto akidai mambo mbalimbali ikiwamo matunzo ya mtoto.
Katika majibu yake Diamond amedai fedha hizo anazodai Hamisa kulipwa kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.
Mobeto katika maombi yake kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck wa Kampuni ya Uwakili ya Century Attorneys, anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto kila mwezi, mtoto huyo wa kiume aliyezaa na msanii huyo na kumuomba msamaha kwa umma kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.
Baada ya kupokea majibu hayo mahakama iliahirisha kesi hiyo ya madai hadi Novemba 8, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Mobeto kupitia wakili wake walimpa notisi Diamond ya kutaka amwombe radhi na kupeleka matunzo ya mtoto ndani ya siku saba lakini notisi hiyo haikutekelezeka hivyo aliamua kulifikisha suala hilo mahakamani.
Eti Msanii mwenye hela nyingi mara ajiite Dangote, kumbe ni mbwembwe tu hana kitu.
Naisi utakuwa gold diggerNingekuwa ni msanii ninayelipwa millioni mia mbili kwa show au ningekuwa namiliki gari ya Mil mia sita ningeweza. Namshauri auze nyumba ya Africa kusini mtoto asife njaa.
Gold digger nibaliyekuzaa..Naisi utakuwa gold digger