balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Ana fujo kama Faru Ndugaimilioni tano???????!!!!!!.....mtoto anakula kama faru fausta auN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana fujo kama Faru Ndugaimilioni tano???????!!!!!!.....mtoto anakula kama faru fausta auN
Haaa ha ha ha ha ha...Ana fujo kama Faru Ndugai
Kwa mujibu wa kifungu kipi? Cha sheria ipi?Kisheria ni elfu 70000 per mnth
Hii ni bongo au developed countries?kuna issue muhimu watt wanalisahau katika mambo ya matunzo, mara nyingi huangaliwa uwezo wa baba wa mtoto. ila sherpa pia imeweka kiwango cha chini ambio ni laki mbili na haimanishi kuwa hata baba akiwa anauwezo mkubwa basi atatakiwa kutoa laki mbili tu.
Kwa mujibu wa kifungu kipi? Cha sheria ipi?Kisheria ni elfu 70000 per mnth
Hamisa pumbaf... Eti milioni 5 kwa mwezi? Sheria inasema matunzo ya mtoto kwa mwezi ni laki 2 tu.. Hamisa kaona Chibu ni bank ya kuchota hela, mwisho kumpa ni laki 2 tu
Haa ha ha, hili nalo neno!Hapo atamuudhi hadi hakimu.Hakimu akifikiria mshahara wake kwa mwezi na hela anayodai huyo dada,si ajabu akiamuru hamisa apewe hela isiyozidi laki kwa mwezi