Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,147
Wewe unaosema milioni tano ni hela ndogo huna uelewa na masuala ya pesa..Diamond hajakosa milioni tano lakini anayo mambo ya msingi zaidi ya kufanya na hiyo milioni tano kuliko kwenda kuitupa kwa Gold digger anayetumia kivuli cha mtoto ili kumchuna baba wa mtoto...Think brother....Acha kuwa na akili iliyolala..Ndo nyie ambao mnapenda kuishi nje ya uwezo wenu na mkiona mtu mwenye nazo anathibiti pesa zake zisipoetee kijinga jinga mnaita ubahili wakati matajiri wanaita financial management..Msanii Nasib Abdul maarufu Diamond Platinumz, ....