unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
Hamissa mjanja sana anajua mond hawezi kukubali kulipa hiyo hela hata mahakama haiwezi kukubali ilo ila itashushwa na ikishushwa haiwezi kua chini ya milioni 1 kwa mwezi, hata mahakama wanaangalia kipato cha baba...huwezi kuwa kwa mwezi baba unapata milion 10 au 20 halafu mtoto umpe laki 2 kwa mwezi hiyo ilikua zamani.
Ameenda kutafuta hela sababu baba hamtumzi mtoto so acha atafute hela....huyo mond angetaka missa atulie amlelee mtoto wake basi angetoa huduma inayotakiwa na sio laki 2 kwa mwezi.Kipato cha baba hakuna uhakika. Kina umri na pia kuchuja. So hapo haiwezekani ,na Hamisa anaonekana kenya na mtoto hana hata miezi 6. she has no qualities of a good Mother. Na ana watoto 2 kwa wazazi tofauti. So asipoangalia anaez kuula Wa chuya
Kipato cha mzazi.Naomba kufafanuliwa sheria inasemaje inapofikia wazazi kufikishana maakaman.Maakama inaangalia nn ili kumuamulu mzazi kutoa kiasi furan cha matumiz
MtajiHela yote hiyo ya nini?
Hata ungekua wewe usinglipa.Eti Msanii mwenye hela nyingi mara ajiite Dangote, kumbe ni mbwembwe tu hana kitu.
Hahahahahahah we dada umetishaHamisa anakamua mafuta kwenye miwa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
boya kweli huyo demu.Sh ngapi ndio inatakiwa? afu ujue mademu wanadhani hizi pesa huwa tunaokota etiangetoa huduma inayotakiwa na sio laki 2 kwa mwezi.
Nilikubishia wapi?! Una uhakika hii ID uliiona wakati mnabishana kuhusu malezi ya hiyo mimba?!Nakumbuka hata suala hamissa kuzaa na mond ulinibishia mnoo nilivyokuambia mond anatunza ile mimba kimya kimya, na kwa ili nabaki na msimamo wangu kuwa haiwezi shuka zaidu ya mil. 1
hivi mnajua majizzo anatoa sh ngp pale? Au mnaona raha tu Dully kuishi sehemu ambayo baba yake hana mchango wowote?
mimi ni team mond ila nafurahi sana yanayotokea haya, ili limpe funzo next time awe makini na mambo yake.
Nani kakuambia anatoa milioni 5? hatoi laki 2 ambayo mond ndiyo anataka atoe. next time mshaurini mtu wenu akumbuke kuvaa kinga kama hataki kutoa huduma.Nilikubishia wapi?! Btw, ndo unataka kusema huyo Majizo anatoa Sh. 5,000,000? Unaweza kuweka hapa mchanganuo wa matumizi ya Sh. 5M?
Acheni kugeuza watoto vitega uchumi!!!
Kwahiyo kama baba ni Bakhera pesa ya matunzo iwe bilioni moja hata kama gharama za matunzo halisi ni laki 5?! Acheni tamaa nyie watu...DIAMOND AACHE KULIALIA, MTOTO LAZIMA ATUNZWE KULINGANA NA KIPATO. KIPATO CHA MOND NI BN 1 KWA MWEZI